Ilitakiwa wayakatae maagizo hayo sabaya sio muajiri wao wala hana mamlaka ya kuwawajibisha.Kamati ya ulinzi na usalama ina watu wengi kiongozi wengine wanapokea amri wengine ni kuandika tu na kuzipa mamlaka zingine kwa hatu unalijua hilo. Je unaushahidi hawakutimiza majukumu yao???
Sio kazi yetu kudhalilisha watu hapa JFKama unaishi nao mtaani weka picha tuone hayo masikio yaliyokatwa na Sabaya.
Sabaya bashite jiwe walijifichia tu kwenye kichaka hicho SAwa na mchawi na jambazi kukesha kanisaniHii nchi ilifikia mahala Pabaya sanaa, imagine huyu alikuwa ni mteule wa rais aliyekuwa akihubiri kutetea wanyonge na kwamba eti yeye ni mcha Mungu...
Mambo yanabadilika na kwenda kasi sana, kutoka kwa wapenda mabadiliko wa kweli mfano wa akina 𝗦𝗮𝗮 𝗡𝗮𝗻𝗲 na sasa hawa ndezi aina ya 𝗦𝗮𝗮 𝗕𝗮𝘆𝗮Sabaya bashite jiwe walijifichia tu kwenye kichaka hicho SAwa na mchawi na jambazi kukesha kanisani
Mahakama pekee ndiyo itathibitisha tuhuma dhidi ya Sabaya kuwa za kweli au uongo.Sio kazi yetu kudhalilisha watu hapa JF
JF ina sheria zake, na picha zina matumizi yake
Hao ni Binadamu hatuwezi zidi kudhalilisha watu hapa JF
Ulienda shule ili uwe na upeo mpana wa mambo, Nenda Hai na Arusha kafanye utafiti ndio lengo la wewe kupelekwa shule
Mtu mjinga ndie analazimisha kuletewa taarifa mdomoni
Ishu za Sabaya zina miaka mingi, Mama ameona yamezidi tu na wameamua kuchukua machache
Story za Sabaya zipo hapa JF kitambo sana, Sio kazi ya JF kukutafutia uzi, Tafuta soma
Hayo hayatuhusu sisiMahakama pekee ndiyo itathibitisha tuhuma dhidi ya Sabaya kuwa za kweli au uongo.
Hayo mengine mnayoyaleta mitandaoni ni "propaganda" tu za kisiasa.
Kuna kitu kinaitwa, "cyber bullying" na kuna wahuni wanaweza kutumiwa na "wahuni" wa kisiasa ili tu kumchafua mtu fulani kwenye mitandao.
Ni dhahiri na wazi kuwa CHADEMA mnachuki binafsi na Sabaya na mmeamua kumchafua.
Nonsense!!Hayo hayatuhusu sisi
Kelele za watu zimesikika huo ndio ushindi mkuu wa JF
JF imeshinda na itaendelea kushinda
Ameshinda kesi hana kesi hayo hayatuhusu sisi
Kazi tumemaliza kwa Jamaa kulala mahabusu na kukaguliwa kwenye makalio
Pumbafu wakwambie ww nan zaid ya kuwa zombie la mwendazake?What a foolish foolAlikiri wapi? lini? kwa kutumia nini?
Alikiri kwenye television ama wapi?
Una video au sauti inayothibitisha kuwa alikiri?
Niandike kwa kizungu: Do you have a voice note, a video or something?
Mbona unaniwekea mapicha ya bavicha?
Acha kubweka humu mpelekee mumeo Sabaya chakula Kisongo.Kibwengu weyeNonsense!!
Ameogopa kuoga kuleNonsense!!
Usisahau mchango ajili ya mawakili .....ingia i sta rusha pesa kuna number pia upeleke sabuni kisongoKama unaishi nao mtaani weka picha tuone hayo masikio yaliyokatwa na Sabaya.
Kwa taarifa yako hao hao Bavicha ndio walikuwa wahanga wake wakubwa. Kama Mwenyekiti wao wa chama ndiye aliyemfanyia unyama namna ile sasa hao Bavicha ni nani.Alikiri wapi? lini? kwa kutumia nini?
Alikiri kwenye television ama wapi?
Una video au sauti inayothibitisha kuwa alikiri?
Niandike kwa kizungu: Do you have a voice note, a video or something?
Mbona unaniwekea mapicha ya bavicha?
hupo mkoa gani,kama hupo vijijini embu uliza mfano tosha kipindi cha makonda dar alivopelekesha watu.wewe hupo mkoa mwengine unataka yakufikie hapo wakati sio sehemu hiyoWeka ushahidi wewe wacha porojo!
nimegundua maeneo yenye wafuasi wengi wa CHADEMA kuna watu waoga sana mfano Tarime waliwahi kutishwa na mtu mmoja anaitwa KINOKHE wakawa wanalala saa 9.30 mchana-akiwemo Heche. Arusha na HAI chini ya kamanda Lema na Don Mbowe wamenyamazishwa na mtu mmoja tu Sabaya walafu wanjiliza hapa kuwa wamebakwa wamebakwa- Nyamazeni Mama SSH afanye kazi yake muuone CCM inavyotekelza utawala wa sheria bila kuonea mtu.Mashtaka yako uliyosomewa ni madogo sana, Sabaya ulipaswa kukaa Gereza lenye Mateso makubwa na kazi ngumu hasa yale magereza ya Kilimo
Kikosi chako maalum cha mabaunsa kimevunja watu miguu na Wengine kukatwa masikio, Wengine uliwasaga vidole Sabaya Leo wanashindwa kutembea
Nashangaa hujasomewa bado haya mashtaka wewe na Kikosi chako cha mabaunsa
Hata kama ulitumwa au ulirogwa, Hakuna aliyekutuma kubaka na kukata watu masikio
Sabaya hakuwa binadamu wa kawaida mwenye akili timamu, Alijawa unyama na alitapakaa damu mkononi mwake
Nenda Sabaya Gerezani, Mashtaka uliyosomewa ni kidogo sana hayakidhi kiu ya watu wa Hai na Arusha
Watu wa Hai na Arusha bado tu nashangaa mamlaka kwanini hawajamsomea mashtaka ya utekaji, ubakaji, na unyanyasaji
Hata kama hujasomewa mashtaka na Mamlaka yanayogusa maumivu na ulemavu uliowaachia watu wa Hai na Arusha kuna siku na wewe utakatwa mikono, masikio na kusagwa vidole kama ulivyowatendea watu wa Hai na Arusha
Mamlaka ushahidi mnao, Magazeti yote yameenda Arusha na Hai na kukutana na walemavu wanaoguza majeraha. Gazeti la mwananchi la tarehe 05 June limefanya mahojiano maalum na wahanga walioachwa ulemavu wa kudumu na Ole Sabaya
Mashtaka uliyosomewa Ole Sabaya ni kidogo sana, Ulijigeuza Mfalme na Igwe, Ulipopita barabarani wanawake walikuwa wanakimbia kuogopa utawakamata na kuwabaka
Mamlaka mnahitaji ushahidi upi wakati tayari ushahidi mnao na wahanga mnawafahamu
CCTV Camera za hotel Sabaya alizofanya uharamia zinajulikana
Sent using Jamii Forums mobile app
Msengerema flani ivi usiye na hoja.Hahahahaaa...
Nyie misukule wa mtandaoni ni useless na half-brained.
Mashtaka madogo sana
Kuandika kwenye hujui, umeng'ang'ana tu!hupo mkoa gani,kama hupo vijijini embu uliza mfano tosha kipindi cha makonda dar alivopelekesha watu.wewe hupo mkoa mwengine unataka yakufikie hapo wakati sio sehemu hiyo
Weka ushahidi acha porojo!Kwa taarifa yako hao hao Bavicha ndio walikuwa wahanga wake wakubwa. Kama Mwenyekiti wao wa chama ndiye aliyemfanyia unyama namna ile sasa hao Bavicha ni nani.
Huyo Sabaya na huyo aliyempa hiyo kazi hawakuwa watu ila walikuwa ni mashetani kabisa wenye sura ya binadamu.
Weweee acha kufoka foka mitandaoni.Pumbafu wakwambie ww nan zaid ya kuwa zombie .. What a foolish fool