Kivumishi Kielezi
JF-Expert Member
- Nov 1, 2019
- 1,028
- 2,448
Manini hayo yatanikuta?iko siku yatakukuta...
Manini hayo yatanikuta?iko siku yatakukuta...
Hahahaa....Msengerema flani ivi usiye na hoja.
Kimawazo ww umekufa Tena umeoza.
Mdhamini wenu mambo yake imeisha hebu jaribun kubuni kazi za kufanya,mlishazoea kuvaa suti na kupangiwa kazi za utapeli na huyo basha wenuWanashangaza sana hawa.
Tuhuma wanaziweka mitandaoni, lakini wakiulizwa wanakimbia kimbia wanasema tuende kwenye vyombo husika.
Mara sijui majalada yapo kwa afande gani huko!
Hawa watu wa mtandaoni bwana wanachekesha kweli kweli.
Sasa hivi unakata mauno tu humu akipigwa mvua ya miaka jela ndo utajua ushahidi upo au haupoVyombo husika maana yake nini?
Nyinyi mnaoleta hizi habari uchwara mitandaoni hamkujua kwamba kuna vyombo husika?
Tukiwajibu ndio mnakumbuka kwamba kuna vyombo husika?
Safar hii lazima mpakatwe tuu hilo halina ubishi,kama unabisha sema ndioWeweee acha kufoka foka mitandaoni.
Kwanza hata sikujui mimi!
Hebu kale machips huko usije ukanifia hapa!
Muweke na picha au hizo video za waathirika basi. Yasiwe maneno tu.Mashtaka yako uliyosomewa ni madogo sana, Sabaya ulipaswa kukaa Gereza lenye Mateso makubwa na kazi ngumu hasa yale magereza ya Kilimo
Kikosi chako maalum cha mabaunsa kimevunja watu miguu na Wengine kukatwa masikio, Wengine uliwasaga vidole Sabaya Leo wanashindwa kutembea
Nashangaa hujasomewa bado haya mashtaka wewe na Kikosi chako cha mabaunsa
Hata kama ulitumwa au ulirogwa, Hakuna aliyekutuma kubaka na kukata watu masikio
Sabaya hakuwa binadamu wa kawaida mwenye akili timamu, Alijawa unyama na alitapakaa damu mkononi mwake
Nenda Sabaya Gerezani, Mashtaka uliyosomewa ni kidogo sana hayakidhi kiu ya watu wa Hai na Arusha
Watu wa Hai na Arusha bado tu nashangaa mamlaka kwanini hawajamsomea mashtaka ya utekaji, ubakaji, na unyanyasaji
Hata kama hujasomewa mashtaka na Mamlaka yanayogusa maumivu na ulemavu uliowaachia watu wa Hai na Arusha kuna siku na wewe utakatwa mikono, masikio na kusagwa vidole kama ulivyowatendea watu wa Hai na Arusha
Mamlaka ushahidi mnao, Magazeti yote yameenda Arusha na Hai na kukutana na walemavu wanaoguza majeraha. Gazeti la mwananchi la tarehe 05 June limefanya mahojiano maalum na wahanga walioachwa ulemavu wa kudumu na Ole Sabaya
Mashtaka uliyosomewa Ole Sabaya ni kidogo sana, Ulijigeuza Mfalme na Igwe, Ulipopita barabarani wanawake walikuwa wanakimbia kuogopa utawakamata na kuwabaka
Mamlaka mnahitaji ushahidi upi wakati tayari ushahidi mnao na wahanga mnawafahamu
CCTV Camera za hotel Sabaya alizofanya uharamia zinajulikana
Sent using Jamii Forums mobile app
Na mimi nashangaa,yaani watu wanaongea mno. Kweli wangekuepo hao walioliwa tigo na kukatwa masikio si wangeshawaweka aisee.Hao watu waliokatwa masikio wako wapi?
Maana nyie majasusi uchwara wa mitandaoni kwa porojo hamjambo!
Hebu weka japo kaushahidi basi tuone!
Mpige picha mmoja basi mkuu.Huwezi kuyajua Haya wala kuwa na huruma kwani familia yako haijaguswa, Ben Saanane na Azory Gwanda familia zao zilizoguswa wakati wa Mwendazake hawawezi kamwe kumsifia huyo mtu kwani hata makaburi ya hao watu hayajulikani yapo wapi?. Ingawa TBC wanasema Mwendazake ni shujaa wa Africa
Kama upo Hai na Arusha, Hakuna ambalo halijulikani, Hao watu tunaishi nao mitaani wanauguza majeraha
Sent using Jamii Forums mobile app
Safar hii lazima mpakatwe
Kuna mtu mmoja yupo humu anaitwa atlas copco anasema alifirwa na sabaya.Na mimi nashangaa,yaani watu wanaongea mno. Kweli wangekuepo hao walioliwa tigo na kukatwa masikio si wangeshawaweka aisee.
Sasa hivi unakata mauno tu humu
Hiyo chain haitakiwi kuachwa,wanatakiwa wajumuishweHayo aliyatenda chini ya OCD wa wilaya plus kamati ya ulinzi na usalama ikiwa nyuma yake ikimpa maaskari na ulinzi pia
Wote wataunganishwa kwenye kesi ya SabayaHayo aliyatenda chini ya OCD wa wilaya plus kamati ya ulinzi na usalama ikiwa nyuma yake ikimpa maaskari na ulinzi pia
Hata kuwa mahabusu nahisi wanatudanganya hawa.Mashtaka yako uliyosomewa ni madogo sana, Sabaya ulipaswa kukaa Gereza lenye Mateso makubwa na kazi ngumu hasa yale magereza ya Kilimo
Kikosi chako maalum cha mabaunsa kimevunja watu miguu na Wengine kukatwa masikio, Wengine uliwasaga vidole Sabaya Leo wanashindwa kutembea
Nashangaa hujasomewa bado haya mashtaka wewe na Kikosi chako cha mabaunsa
Hata kama ulitumwa au ulirogwa, Hakuna aliyekutuma kubaka na kukata watu masikio
Sabaya hakuwa binadamu wa kawaida mwenye akili timamu, Alijawa unyama na alitapakaa damu mkononi mwake
Nenda Sabaya Gerezani, Mashtaka uliyosomewa ni kidogo sana hayakidhi kiu ya watu wa Hai na Arusha
Watu wa Hai na Arusha bado tu nashangaa mamlaka kwanini hawajamsomea mashtaka ya utekaji, ubakaji, na unyanyasaji
Hata kama hujasomewa mashtaka na Mamlaka yanayogusa maumivu na ulemavu uliowaachia watu wa Hai na Arusha kuna siku na wewe utakatwa mikono, masikio na kusagwa vidole kama ulivyowatendea watu wa Hai na Arusha
Mamlaka ushahidi mnao, Magazeti yote yameenda Arusha na Hai na kukutana na walemavu wanaoguza majeraha. Gazeti la mwananchi la tarehe 05 June limefanya mahojiano maalum na wahanga walioachwa ulemavu wa kudumu na Ole Sabaya
Mashtaka uliyosomewa Ole Sabaya ni kidogo sana, Ulijigeuza Mfalme na Igwe, Ulipopita barabarani wanawake walikuwa wanakimbia kuogopa utawakamata na kuwabaka
Mamlaka mnahitaji ushahidi upi wakati tayari ushahidi mnao na wahanga mnawafahamu
CCTV Camera za hotel Sabaya alizofanya uharamia zinajulikana
Sent using Jamii Forums mobile app
Mim nakujua ww nke ya Sabaya jambiziWeweee acha kufoka foka mitandaoni.
Kwanza hata sikujui mimi!
Hebu kale machips huko usije ukanifia hapa!
Siku zote watu wenye ubabe wa kishamba kama Sabaya huwa sio majasiri ni lzm atawataja wote alioshirikiana nao labda wawalinde tu.Wote wataunganishwa kwenye kesi ya Sabaya
Mbona umeandika kama shoga?Mim nakujua ww nke ya Sabaya jambizi
Asubuhi saiz mpelekee mumeo chai kisongo,haya maneno ya kihuni hayakusaidiMbona umeandika kama shoga?
How come?
Huyo hapo..kataa sasa!Hao watu waliokatwa masikio wako wapi?
Maana nyie majasusi uchwara wa mitandaoni kwa porojo hamjambo!
Hebu weka japo kaushahidi basi tuone!