Ilitakiwa wayakatae maagizo hayo sabaya sio muajiri wao wala hana mamlaka ya kuwawajibisha.Kamati ya ulinzi na usalama ina watu wengi kiongozi wengine wanapokea amri wengine ni kuandika tu na kuzipa mamlaka zingine kwa hatu unalijua hilo. Je unaushahidi hawakutimiza majukumu yao???
Kwa hio alikuwa anapewa tu silaha akafanye uhalifu sababu tu kaagiza