Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,488
- 13,608
Siku ile ya uapisho wa makatibu tawala wa mikoa Rais aliongelea namna Mama Mghwira alivyosumbuliwa na wakuu wa wilaya, akasema walimdharau yule mama mwanasheria lakini ujumbe wa Sabaya aliufikisha kwa yule Mama Agnes, akafanya kama anamsema yeye aliye mahali pale kumbe ujumbe unamhusu Sabaya ambaye kwa wakati ule alikuwa chini ya ulinzi.