mikedean
JF-Expert Member
- Mar 15, 2018
- 3,255
- 4,599
Hakuna mwanadamu anayezaliwa na hekima.Hata sulemani hakuzaliwa na hekima.Ndio maana hata Mungu kwenye biblia amesema wazi "mtu akipungukiwa na hekima na aombe" kwa hiyo hekima inapatikana baada ya kuzaliwa na wala si kuzaliwa nayo.Hekima haifundishwi popote! Kazi ya msingi ya chuo kikuu chochote ni kufundisha, tafiti, na ushauri. Nani duniani humu amewahi kufikia "Hekima ya Sulemani"? Alisomea chuo kikuu kipi kuipata hekima ile? UDSM ijikite kwenye majukumu yake ya msingi badala ya kuambatana na siasa uchwara!
Sent using Jamii Forums mobile app