Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 59,203
- 79,433
BILL GATES, KIKWETE WAHUDHURIA HARUSI YA MTOTO WA DANGOTE:
Mwanzilishi wa kampuni ya Microsoft na tajiri namba mbili duniani, Bill Gates, pamoja na Rais mstaafu wa awamu ya nne Tanzania, Jakaya Kikwete, wamehudhuria harusi ya binti wa tajiri namba moja Afrika, Aliko Dangote iliyofanyika kwenye mji mkuu wa Nigeria, Lagos.
Fatma Dangote amefunga ndoa na Jamili Abubakar, mtoto wa aliyekuwa Inspekta Jenerali wa Jeshi la Polisi nchini humo, Mohammed Dikko Abubakar.
Sambamba na Bill Gates watu wengine mashuhuri waliohudhuria sherehe hiyo ni pamoja na viongozi wa serikali na wafanyabiashara wakubwa duniani.
Rais wa Ghana Nana Akufo-Addo, Makamu wa rais wa Nigeria, Yemi Osinbajo pamoja na mkewe ni miongoni mwa waliohudhuria.
MY TAKE
Itakuwa cancellation ya Dangote cement factory in Kenya imeleta maneno.
Mwanzilishi wa kampuni ya Microsoft na tajiri namba mbili duniani, Bill Gates, pamoja na Rais mstaafu wa awamu ya nne Tanzania, Jakaya Kikwete, wamehudhuria harusi ya binti wa tajiri namba moja Afrika, Aliko Dangote iliyofanyika kwenye mji mkuu wa Nigeria, Lagos.
Fatma Dangote amefunga ndoa na Jamili Abubakar, mtoto wa aliyekuwa Inspekta Jenerali wa Jeshi la Polisi nchini humo, Mohammed Dikko Abubakar.
Sambamba na Bill Gates watu wengine mashuhuri waliohudhuria sherehe hiyo ni pamoja na viongozi wa serikali na wafanyabiashara wakubwa duniani.
Rais wa Ghana Nana Akufo-Addo, Makamu wa rais wa Nigeria, Yemi Osinbajo pamoja na mkewe ni miongoni mwa waliohudhuria.
MY TAKE
Itakuwa cancellation ya Dangote cement factory in Kenya imeleta maneno.