CR wa PROB
Senior Member
- Sep 21, 2011
- 170
- 29
Hongereni sana vijana wa UDSM kwa kupewa kipaumbele, Yani kweli nimeamini ya kwamba SERIKALI MARA ZOTE INAWASIKILIZA WAPIGA KELELE, Yani sisi wengine huku tunadai Faculty allowance toka semista hii ianze hadi leo hii, Na bado kuna fedha ya Special projects ambayo hata haieleewki kuwa itatoka lini. Na kwanza ndio tunakaribia kufunga likizo fupiii!!!!
Hongereni sana enyi wanaharakati wa UDSM kwa mambo makubwa mnayoyafanya kwenye hili taifa letu. Mimi natammbua sana na kuthamini mchango wenu kwani hili hii circular mpya ya boom nyie ndio mlioianzisaha, mimi sio mwanafunzi wa UD ilazao lenu nalikubali sana. Tena nawaombeni sana kuwa mkimaliza masomo yenu hizo harakati MUZIENDELEZE vizuri hata huko makazini muendapo kwani Taifa limepelekwa pabaya na hawa wanaojiita wenye Nchi.
Hongereni sana enyi wanaharakati wa UDSM kwa mambo makubwa mnayoyafanya kwenye hili taifa letu. Mimi natammbua sana na kuthamini mchango wenu kwani hili hii circular mpya ya boom nyie ndio mlioianzisaha, mimi sio mwanafunzi wa UD ilazao lenu nalikubali sana. Tena nawaombeni sana kuwa mkimaliza masomo yenu hizo harakati MUZIENDELEZE vizuri hata huko makazini muendapo kwani Taifa limepelekwa pabaya na hawa wanaojiita wenye Nchi.