Need to launch complaint against GSM GROUP

We kama huwajui wahindi kaa utulie, au na wewe ni wa India? Hawa washenzi walikuwa wanatubagua hata utalaamu hawana, hawataki kukaa na sisi hata kula wanajitenga wakati hawajui kitu, wananyanyasa vijana siwezi kuwatetea hata kidogo

Mimi nimekua na wahindi, nimefanya nao kazi, ukikutana na mhindi mpumbavu pamoja na mwafrica mpumbavu hauwezi jua nani muhindi nani mpumbavu.
 
Kwanini mumemfanyia hivi huyu muhindi?Sasa Bwana Saleh ndio mpaka umeamua kufungua a/c mpya kumjibu muhindi?
 
mkuu inategemea kama lugha ni kigezo wa kazi yake, pengine yupo vizuri ana experience ya kutosha kwenye hiyo field.
Mkuu,ameshatusoma Watanzania na anajua hatujiamini ndiyo maana kajiamini sana hata kuandika lugha ya ajabuajabu,ka angekuwa anaongea kiswahili ningesema ana experience.
 
Mimi nimekua na wahindi, nimefanya nao kazi, ukikutana na mhindi mpumbavu pamoja na mwafrica mpumbavu hauwezi jua nani muhindi nani mpumbavu.
Nilifanya kazi na wahindi wa India, ubaguzi niliouona ulikuwa wa ajabu sana, ilifikia kipindi Wtz tukafanya fujo, hadi boss wao akaja kutoka Oman, kutuliza hali ya hewa, tuligoma kutoa data kwa muda wa wk 2 wakashika adabu ikabidi baadhi warudishwe kwao.
 
Haujaelewa?Nyambafu. Fils de pute.



Dada yangu huwa nakuona kichwa sana ila umeingia mkenge kwenye hii story ya huyu muhindi....Samahani lakini.

Fils de pute....Halafu mbona hv bwanaaa...Asante lakini
 
wewe umeshawahi kuwapa ajira watanzania wenzako wangapi?
 
GSM did everything wrong on handling this issue, and i think their arrogance will bite them back.
Bro bringing your problem here is a waste of time, especially the way you presented it. Why are you not contacting a lawyer for legal advice instead. People will bullshit you around.

Had you brought your complaint and trying to expose them with some wrongdoing then it could have made a bit of sense. But in this way few people seem to have sympathy with you ...!!
 
sio huyu sasa
 
...acha ubishi hao wahindi wako GSM wamelikoroga,na wasipokuwa makini hili jambo lililoletwa thru Jf na huyu mdosi litamfikia Jiwe na watanyanyuliwa mzegamzega na kubwagwa pwaaaa,_hapo akili itawakaa sawa
....just for your information humu Jf serikali imetamalaki...na ukisoma kwa umakini michango utajua walinda usalama wa nchi tayari kipindi wametia timu na wanaendelea kudodosa kwa umakini
 
You fucking indians you are lucky they did not *** you ass,you get imployment which africans can do and you still from your employer and now you complain in forum,the work you were doing Tanzanians could do,that permit should never be given to you as Tanzanians can do better,do you think african with the same qualification can get a job in india,i am writing to the minister to look over all permits in Tanzania,you should never had a permit in the first place.
 
Ni kosa la nani?
 
Kaka tukiachana na lugha wahindi wapo vizuri sana kwenye management na kubana matumizi.. Thats why hakuna kampuni kubwa ya bongo isokuwa na muhindi.
Hawana lolote ta hata mbongo anaweza kazi za management na kubana matumizi,tatizo ni colonial mentality mzungu first,muhindi second,mwafrika third badilli fikira zako.
 
Dada yangu huwa nakuona kichwa sana ila umeingia mkenge kwenye hii story ya huyu muhindi....Samahani lakini.

Fils de pute....Halafu mbona hv bwanaaa...Asante lakini
Mimi ndo hakimu nimemwambia awalete mahakamani ,nimekosea wapi ?T'es con. I speak Kisukuma, kiswahili, English and French frequently. I speak Espagnol and deutsch and ofcourse italienne perfectly.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…