Roman Israel Esq
JF-Expert Member
- Nov 23, 2017
- 2,024
- 3,281
Niambie faida moja tu ya hili bandiko lako, na mimi nitakupa sababu lukuki za kwanini ni useless.Wahindi ni wanyonyaji wakubwa, wabaguzi na wanaotumikisha waswahili kwa ujira mdogo muache na yeye akome anajua huko kwao hata kazi ya bodaboda hawezi kupata kwa jinsi walivyo wengi. Hao jamaa wakija Tz huwa hawataki kurudi kwao wanasifia maisha yetu kuna vyakula vingi mboga nzuri kama samaki.
Na hii ni kwa muktadha uliopo...
Huoni kwamba bandiko lako lime igonre mambo ya msingi zaidi?