NECTA yatangaza matokeo ya kidato cha nne na cha pili 2020

EXAMINATION CENTRE RANKING
EXAMINATION CENTRE REGION​
GEITA​
TOTAL PASSED CANDIDATES​
233​
EXAMINATION CENTRE GPA​
3.6686​
CENTRE CATEGORY​
CENTRE WITH 40 CANDIDATES OR MORE​
CENTRE POSITION IN ITS CATEGORY(REGIONWISE)​
30/103​
CENTRE POSITION IN ITS CATEGORY(NATIONWISE)​
1209/3956​


CHATO:
Watafukuzwa kazi, hawaoni wa Utalii anavyojikomba! Msonde take care unafukuzwa. You were supposed to inflate passes for this particular school! Salary Slip Sky Eclat BAK
Huyu anahatarisha kibarua chake. Jiwe lazima am-mind.
 
NECTA wameandika matokeo ya Kidato cha nne na Upimaji wa kidato cha cha Pili na Darasa la Nne 2021, yatatangazwa hivi punde kaa tayari ndio mida hii.

All the best Comrades, see you at the top.

===

Dar es Salaam. Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya kidato cha nne mwaka 2020 yakionyesha kuwa asilimia 85 ya waliofanya mtihani huo wamefaulu.

Kwa mujibu wa Necta iliyotangaza matokeo hayo leo Ijumaa Januari 15, 2021 kupitia kwa katibu mtendaji wake, Dk Charles Msonde, watahiniwa 434,654 walifanya mtihani huo na 373, 958 wamefaulu katika madaraja mbalimbali. Dk Msonde amesema kwa matokeo hayo kiwango cha ufaulu kimeongezeka kwa asilimia 5.19.

Katika mtihani huo Paul Luziga wa sekondari ya Pandahill iliyoko Mbeya amekuwa mwanafunzi wa kwanza kitaifa.

Orodha ya walioongoza kitaifa kidato cha nne

1. Paul Luziga - Panda Hill
2. Justina Gerald - Canossa.
3. Timothy Segu - Mzumbe
4. Isaya Rukamya - Feza Boys
5. Ashraf Ally - Ilboru
6. Samson Mwakabage - Jude
7. Derick Mushi - Ilboru
8. Layla Atokwete - Canossa
9. Innocent Joseph - Mzumbe
10. Lunargrace Celestine - Canossa.


Shule bora kitaifa ni St Francis Girls Secondary School kutoka MBEYA.

Mikoa 3 iliyofanya vizuri:
Dar es Salaam
Lindi
Arusha

Link ya matokeo kamili
emoji116.png


https://matokeo.necta.go.tz/csee2020/csee.htm

=====

MATOKEO KIDATO CHA NNE 2020: NECTA YASEMA UFAULU UMEONGEZEKA KWA 5.19%

Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA), Dkt. Charles Msonde, amesema Watahiniwa wa Shule 373,958 (85.84%) kati ya 434,654 waliofanya Mitihani ya Taifa ya Kidato cha Nne 2020 wamefaulu

Ameeleza kuwa, idadi hiyo ni ongezeko la asilimia 5.19 ikilinganishwa na matokeo ya Mitihani ya mwaka 2019 ambapo Watahiniwa waliofaulu walikuwa 340,914 (80.65%)

Amesema Wasichana 193, 672 sawa na 85.44% wamefaulu Mitihani hiyo huku Wavulana wakiwa 182,086 sawa na 86.27%. Watahiniwa wapatao 490,213 walisajiliwa kufanya Mitihani hiyo
inasikitisha katika wavulana kumi MUISLAMU YUPO MMOJA TU.
katika wanawake 10 muislamu uyupo mmoja tu.

Katika shule bora kitaifa hakun a shule hata moja ya kiislamu., islamic semiary, serikali iingilie kati hili suala.
 
inasikitisha katika wavulana kumi MUISLAMU YUPO MMOJA TU.
katika wanawake 10 muislamu uyupo mmoja tu.

Katika shule bora kitaifa hakun a shule hata moja ya kiislamu., islamic semiary, serikali iingilie kati hili suala.
Nanda Kenya shule mbovu Kim kitaifa unakata tamaa kabisa
 
NECTA wameandika matokeo ya Kidato cha nne na Upimaji wa kidato cha cha Pili na Darasa la Nne 2021, yatatangazwa hivi punde kaa tayari ndio mida hii.

All the best Comrades, see you at the top.

===

Dar es Salaam. Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya kidato cha nne mwaka 2020 yakionyesha kuwa asilimia 85 ya waliofanya mtihani huo wamefaulu.

Kwa mujibu wa Necta iliyotangaza matokeo hayo leo Ijumaa Januari 15, 2021 kupitia kwa katibu mtendaji wake, Dk Charles Msonde, watahiniwa 434,654 walifanya mtihani huo na 373, 958 wamefaulu katika madaraja mbalimbali. Dk Msonde amesema kwa matokeo hayo kiwango cha ufaulu kimeongezeka kwa asilimia 5.19.

Katika mtihani huo Paul Luziga wa sekondari ya Pandahill iliyoko Mbeya amekuwa mwanafunzi wa kwanza kitaifa.

Orodha ya walioongoza kitaifa kidato cha nne

1. Paul Luziga - Panda Hill
2. Justina Gerald - Canossa.
3. Timothy Segu - Mzumbe
4. Isaya Rukamya - Feza Boys
5. Ashraf Ally - Ilboru
6. Samson Mwakabage - Jude
7. Derick Mushi - Ilboru
8. Layla Atokwete - Canossa
9. Innocent Joseph - Mzumbe
10. Lunargrace Celestine - Canossa.


Shule bora kitaifa ni St Francis Girls Secondary School kutoka MBEYA.

Mikoa 3 iliyofanya vizuri:
Dar es Salaam
Lindi
Arusha

Link ya matokeo kamili
emoji116.png


https://matokeo.necta.go.tz/csee2020/csee.htm

=====

MATOKEO KIDATO CHA NNE 2020: NECTA YASEMA UFAULU UMEONGEZEKA KWA 5.19%

Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA), Dkt. Charles Msonde, amesema Watahiniwa wa Shule 373,958 (85.84%) kati ya 434,654 waliofanya Mitihani ya Taifa ya Kidato cha Nne 2020 wamefaulu

Ameeleza kuwa, idadi hiyo ni ongezeko la asilimia 5.19 ikilinganishwa na matokeo ya Mitihani ya mwaka 2019 ambapo Watahiniwa waliofaulu walikuwa 340,914 (80.65%)

Amesema Wasichana 193, 672 sawa na 85.44% wamefaulu Mitihani hiyo huku Wavulana wakiwa 182,086 sawa na 86.27%. Watahiniwa wapatao 490,213 walisajiliwa kufanya Mitihani hiyo
Uwez amini huyo wakwanza mtoto wa mjomba yangu kabisa.
 
Utakuwaje TO huku kuandika neno NAWEZA hujui?.
Neno Kua maana yake ni kuongezeka, to grow, while kuwa ni kuwepo au to be.
Hebu tujifunze kuzungumza na kuandika kwa usahihi.
Hizi smartphones ni kama zoa zoa! Zinazoa kila aina ya guluguja.

The Illiterates, incompetent and every tom and jerry!

Tutashuhudia mengi!
 
Kama una mtoto wako kasoma SIMANJIRO SECONDARY SCHOOL na akapata div 3. Mfanyie sherehe.
Duh..Simanjiro Secondary School mmetisha!!
 
Mwenye like file linaonyesha shule zilizofanya vizuri na zisizofanya vizuri naomba share nasi tafadhal
 
Back
Top Bottom