tamuuuuu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2014
- 19,964
- 25,196
Huyu anahatarisha kibarua chake. Jiwe lazima am-mind.
EXAMINATION CENTRE RANKING
EXAMINATION CENTRE REGION GEITA TOTAL PASSED CANDIDATES 233 EXAMINATION CENTRE GPA 3.6686 CENTRE CATEGORY CENTRE WITH 40 CANDIDATES OR MORE CENTRE POSITION IN ITS CATEGORY(REGIONWISE) 30/103 CENTRE POSITION IN ITS CATEGORY(NATIONWISE) 1209/3956
CHATO:
Watafukuzwa kazi, hawaoni wa Utalii anavyojikomba! Msonde take care unafukuzwa. You were supposed to inflate passes for this particular school! Salary Slip Sky Eclat BAK
Big up Canossa, mwanangu yuko mahala sahihi. Thanks God.
Sent using Jamii Forums mobile app
Binti yako yuko kidato cha ngapi?
Ndio ile ambayo ipo tegeta?Around 3.3 M registration fees inclusive. Uniforms and stationeries unalipa separately.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ilboru unaiacha wapi mkuu?? Kwa upande wa serikali Ilboru sasa hivi inafanya vizuri sana ikifuatiwa na MzumbeShule bora kabisa Tanzania achana na utopolo
Haya,ngoja nikazane na haya majaruba,,nikivuna nikauza lazima nijenge...Ukijenga mwalimu wa kwanza kumwajiri Geography niite, hakika hutajutia mkuu💯
HKL atapata shule ya serikaliDogo kapata dv III ya 23, atachaguliwa au ndo tujiandae na shule za private..
CIV - 'C' HIST - 'C' GEO - 'D' KISW - 'C' ENGL - 'B' FREN - 'F' BIO - 'D' B/MATH - 'D'
inasikitisha katika wavulana kumi MUISLAMU YUPO MMOJA TU.NECTA wameandika matokeo ya Kidato cha nne na Upimaji wa kidato cha cha Pili na Darasa la Nne 2021, yatatangazwa hivi punde kaa tayari ndio mida hii.
All the best Comrades, see you at the top.
===
Dar es Salaam. Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya kidato cha nne mwaka 2020 yakionyesha kuwa asilimia 85 ya waliofanya mtihani huo wamefaulu.
Kwa mujibu wa Necta iliyotangaza matokeo hayo leo Ijumaa Januari 15, 2021 kupitia kwa katibu mtendaji wake, Dk Charles Msonde, watahiniwa 434,654 walifanya mtihani huo na 373, 958 wamefaulu katika madaraja mbalimbali. Dk Msonde amesema kwa matokeo hayo kiwango cha ufaulu kimeongezeka kwa asilimia 5.19.
Katika mtihani huo Paul Luziga wa sekondari ya Pandahill iliyoko Mbeya amekuwa mwanafunzi wa kwanza kitaifa.
Orodha ya walioongoza kitaifa kidato cha nne
1. Paul Luziga - Panda Hill
2. Justina Gerald - Canossa.
3. Timothy Segu - Mzumbe
4. Isaya Rukamya - Feza Boys
5. Ashraf Ally - Ilboru
6. Samson Mwakabage - Jude
7. Derick Mushi - Ilboru
8. Layla Atokwete - Canossa
9. Innocent Joseph - Mzumbe
10. Lunargrace Celestine - Canossa.
Shule bora kitaifa ni St Francis Girls Secondary School kutoka MBEYA.
Mikoa 3 iliyofanya vizuri:
Dar es Salaam
Lindi
Arusha
Link ya matokeo kamili
https://matokeo.necta.go.tz/csee2020/csee.htm
=====
MATOKEO KIDATO CHA NNE 2020: NECTA YASEMA UFAULU UMEONGEZEKA KWA 5.19%
Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA), Dkt. Charles Msonde, amesema Watahiniwa wa Shule 373,958 (85.84%) kati ya 434,654 waliofanya Mitihani ya Taifa ya Kidato cha Nne 2020 wamefaulu
Ameeleza kuwa, idadi hiyo ni ongezeko la asilimia 5.19 ikilinganishwa na matokeo ya Mitihani ya mwaka 2019 ambapo Watahiniwa waliofaulu walikuwa 340,914 (80.65%)
Amesema Wasichana 193, 672 sawa na 85.44% wamefaulu Mitihani hiyo huku Wavulana wakiwa 182,086 sawa na 86.27%. Watahiniwa wapatao 490,213 walisajiliwa kufanya Mitihani hiyo
Nanda Kenya shule mbovu Kim kitaifa unakata tamaa kabisainasikitisha katika wavulana kumi MUISLAMU YUPO MMOJA TU.
katika wanawake 10 muislamu uyupo mmoja tu.
Katika shule bora kitaifa hakun a shule hata moja ya kiislamu., islamic semiary, serikali iingilie kati hili suala.
Tatizo litakuni ni nini hasa?Nanda Kenya shule mbovu Kim kitaifa unakata tamaa kabisa
Uwez amini huyo wakwanza mtoto wa mjomba yangu kabisa.NECTA wameandika matokeo ya Kidato cha nne na Upimaji wa kidato cha cha Pili na Darasa la Nne 2021, yatatangazwa hivi punde kaa tayari ndio mida hii.
All the best Comrades, see you at the top.
===
Dar es Salaam. Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya kidato cha nne mwaka 2020 yakionyesha kuwa asilimia 85 ya waliofanya mtihani huo wamefaulu.
Kwa mujibu wa Necta iliyotangaza matokeo hayo leo Ijumaa Januari 15, 2021 kupitia kwa katibu mtendaji wake, Dk Charles Msonde, watahiniwa 434,654 walifanya mtihani huo na 373, 958 wamefaulu katika madaraja mbalimbali. Dk Msonde amesema kwa matokeo hayo kiwango cha ufaulu kimeongezeka kwa asilimia 5.19.
Katika mtihani huo Paul Luziga wa sekondari ya Pandahill iliyoko Mbeya amekuwa mwanafunzi wa kwanza kitaifa.
Orodha ya walioongoza kitaifa kidato cha nne
1. Paul Luziga - Panda Hill
2. Justina Gerald - Canossa.
3. Timothy Segu - Mzumbe
4. Isaya Rukamya - Feza Boys
5. Ashraf Ally - Ilboru
6. Samson Mwakabage - Jude
7. Derick Mushi - Ilboru
8. Layla Atokwete - Canossa
9. Innocent Joseph - Mzumbe
10. Lunargrace Celestine - Canossa.
Shule bora kitaifa ni St Francis Girls Secondary School kutoka MBEYA.
Mikoa 3 iliyofanya vizuri:
Dar es Salaam
Lindi
Arusha
Link ya matokeo kamili
https://matokeo.necta.go.tz/csee2020/csee.htm
=====
MATOKEO KIDATO CHA NNE 2020: NECTA YASEMA UFAULU UMEONGEZEKA KWA 5.19%
Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA), Dkt. Charles Msonde, amesema Watahiniwa wa Shule 373,958 (85.84%) kati ya 434,654 waliofanya Mitihani ya Taifa ya Kidato cha Nne 2020 wamefaulu
Ameeleza kuwa, idadi hiyo ni ongezeko la asilimia 5.19 ikilinganishwa na matokeo ya Mitihani ya mwaka 2019 ambapo Watahiniwa waliofaulu walikuwa 340,914 (80.65%)
Amesema Wasichana 193, 672 sawa na 85.44% wamefaulu Mitihani hiyo huku Wavulana wakiwa 182,086 sawa na 86.27%. Watahiniwa wapatao 490,213 walisajiliwa kufanya Mitihani hiyo
Wazee wa "kusomea ujinga".
somo fikirishi ndio la kumpima mtoto na si hayo ya ana ana ana do kachanika ba sto....Uwezo halis wa wanafunzi umeonekana kwenye physics. Pamoja na one za point 7 nyingi Wana A moja physics
Hizi smartphones ni kama zoa zoa! Zinazoa kila aina ya guluguja.Utakuwaje TO huku kuandika neno NAWEZA hujui?.
Neno Kua maana yake ni kuongezeka, to grow, while kuwa ni kuwepo au to be.
Hebu tujifunze kuzungumza na kuandika kwa usahihi.