Michael Mwakyusa
JF-Expert Member
- Mar 18, 2012
- 306
- 55
Ni vizuri NECTA ikatoa ufafanuzi kuondoa mkanganyiko na tuhuma za waislam kwamba somo la islamic k,ledge matokeo yake kwa F6 kwamba yamechakachuliwa ili kuondoa dhana ya gonjwa hili baya la udini linaloelekea kuitafuna TZ hivi sasa.