NECTA wagoma kubadili jina langu. Nina ushahidi wa mahakama kukana jina la cheti cha kwanza

R.B

JF-Expert Member
May 10, 2012
6,296
2,575
Mwenye cheti kaishia Form 4 ; Niliyetumia jina LAKE LA CHETI : nimefika chuo kikuu ni Best student. JPM Nisaidie

Mimi muathirika cheti cha majina yaliyogongana; Nilimuomba mwenzangu kuombea kazi; Lakini cheti chake nimekitendea haki kuanzia kurisit , form six mpaka chuo kikuu na nina GPA 4.6.

Ushahidi wangu

1. wanafunzi nilisoma nao form six na walimu na monitor wote wananifahamu

2. wanafunzi niliosoma nao chuo kikuu na malecture wote wapo na wanaipenda sana.

3. Utendaji kazi wangu mzuri;

4. Kada za kazi haziendani Afisa kilimo na Degree ya Public Administration

Niliomba kubadili jina NECTA wamegoma kubadili ili nitumie Jina halisi; nimepeleka picha ya Form Six na taarifa za form six za picha , nimepeleka picha za chuo kikuu
NECTA ni jipu hawataki kubadilisha majina katika vyeti ingawa ushahidi wa kukana jina ninao toka mahakamani .
Hii imenifanya jina langu litokee majina mawili. Ingawa nilieomba cheti yeye elimu yake ni afisa kilimo. Mimi nina Degree ya public administratio Mzumbe.
 
Mwenye cheti kaishia Form 4 ; Niliyetumia jina LAKE LA CHETI : nimefika chuo kikuu ni Best student. JPM Nisaidie

Mimi muathirika cheti cha majina yaliyogongana; Nilimuomba mwenzangu kuombea kazi; Lakini cheti chake nimekitendea haki kuanzia kurisit , form six mpaka chuo kikuu na nina GPA 4.6.

Ushahidi wangu

1. wanafunzi nilisoma nao form six na walimu na monitor wote wananifahamu

2. wanafunzi niliosoma nao chuo kikuu na malecture wote wapo na wanaipenda sana.

3. Utendaji kazi wangu mzuri;

4. Kada za kazi haziendani Afisa kilimo na Degree ya Public Administration

Niliomba kubadili jina NECTA wamegoma kubadili ili nitumie Jina halisi; nimepeleka picha ya Form Six na taarifa za form six za picha , nimepeleka picha za chuo kikuu
NECTA ni jipu hawataki kubadilisha majina katika vyeti ingawa ushahidi wa kukana jina ninao toka mahakamani .
Hii imenifanya jina langu litokee majina mawili. Ingawa nilieomba cheti yeye elimu yake ni afisa kilimo. Mimi nina Degree ya public administratio Mzumbe.
Kwa nini ulikana jina? Labda fafanua kama hukuiba hicho cheti cha mtu wao watajuaje ?kama hata hukumwuua ukachukua cheti chake? Nenda mahakamani ukawathibitishie kuwa huyo mtu alikupa kwa hiari yake
 
Sio bure, naona umechanganyikiwa ndugu, jaribu kutuliza akili kidogo kwa muda. Yaani umekiri kuwa ulitumia cheti cha form 4 cha mtu mwingine but wewe umekitendea haki kwa kupata first class ya 4.6 gpa, unadhani hiyo ndiyo justification ya kufuta kosa lako la kutumia cheti cha mtu? Wewe jamaa naona una ujasiri!!!!!!!!!
 
Mwenye cheti kaishia Form 4 ; Niliyetumia jina LAKE LA CHETI : nimefika chuo kikuu ni Best student. JPM Nisaidie

Mimi muathirika cheti cha majina yaliyogongana; Nilimuomba mwenzangu kuombea kazi; Lakini cheti chake nimekitendea haki kuanzia kurisit , form six mpaka chuo kikuu na nina GPA 4.6.

Ushahidi wangu

1. wanafunzi nilisoma nao form six na walimu na monitor wote wananifahamu

2. wanafunzi niliosoma nao chuo kikuu na malecture wote wapo na wanaipenda sana.

3. Utendaji kazi wangu mzuri;

4. Kada za kazi haziendani Afisa kilimo na Degree ya Public Administration

Niliomba kubadili jina NECTA wamegoma kubadili ili nitumie Jina halisi; nimepeleka picha ya Form Six na taarifa za form six za picha , nimepeleka picha za chuo kikuu
NECTA ni jipu hawataki kubadilisha majina katika vyeti ingawa ushahidi wa kukana jina ninao toka mahakamani .
Hii imenifanya jina langu litokee majina mawili. Ingawa nilieomba cheti yeye elimu yake ni afisa kilimo. Mimi nina Degree ya public administratio Mzumbe.
Aione Bashite kwa msaada zaidi
 
Hivi ww ni best student kweli?khaaaa kwa uandishi wako tu shida,kama ulitumia cha aliyefeli ukarudia ukapata mmmmh kwann usitumie cha kwako ulichofeli????? Magu hataki ulisomaje au ulipataje ishu ni majina kugongana ww komaa tuuu jiongeze unajichosha kwenda Baraza.
 
Mwenye cheti halali cha form four ndio atakaebaki, mkuu hio gpa yako haitakusaidia
wengine unakuta mtu alifariki siku nyingi alifaulu vizuri mwingine anachukua cheti cha marehemu anakisomea .Kwenye hili aende tu mahakamani wanakojua mbivu na mbichi asisumbue baraza la mitihani
 
Kwanini umejianika hadharani kwa uhalifu wako? Kwanini hukutendea haki cheti chako cha form 4? Huo ni wizi wa wazi.
Ndio maana nilishauri NECTA waweke kituo cha polisi pale.

Kama una GPA kubwa hivyo na bado hulioni tatizo, basi elimu yetu ina matatizo. Umesoma wapi?

Kama hutambui uhalifu wako, ungeanza kwa kusema cheti chako cha form 4 kipo wapi.
 
Back
Top Bottom