Necta vipi wadau?????

MAKAH

JF-Expert Member
Sep 27, 2010
1,582
265
URGENT PLS!! Wadau nisaidieni. Nimejaribu siku nzima kufanya usajili wa kijana wangu kupitia web ya NECTA bila mafanikio. Jamani nitumie njia gani li web hili ilfanye kazi???
 
Nashukuru. lakini acha mode of payment. Ni kwamba hai-upload picha na kwenda beyond. baadhi ya watu nimewauliza nao wanapata same problem leo siku nzima ya leo

Mkuu, wiki iliyopita nilikumbana na tatizo kama la kwako, ila nilifanikiwa baada ya kugundua kwa simbanet wanamatatizo ya ku-upload, hivyo nilikwenda cafe na kufanikiwa... Nakushauri jaribu kutumia mtandao tofauti na unaotumia sasa.

Pia mwanangu amekuja,mambo ya ajabu toka shuleni kwao kuhusiana na uandikishwaji wa necta, unaweza kucheck thread yangu kwenye jukwaa la hoja mchanganyiko, (huu ni ufisadi unao fanya makongo)
 
Mkuu, wiki iliyopita nilikumbana na tatizo kama la kwako, ila nilifanikiwa baada ya kugundua kwa simbanet wanamatatizo ya ku-upload, hivyo nilikwenda cafe na kufanikiwa... Nakushauri jaribu kutumia mtandao tofauti na unaotumia sasa.

Pia mwanangu amekuja,mambo ya ajabu toka shuleni kwao kuhusiana na uandikishwaji wa necta, unaweza kucheck thread yangu kwenye jukwaa la hoja mchanganyiko, (huu ni ufisadi unao fanya makongo)

Nimeisoma thread yako na nimeongeza kituko cha Mbeya kuhusu zoezi hili la NECTA. Inaelekea leo wameamua either kui maintain web yao maana nimejaribu broadband ya ttcl, moderm ya voda na airtel bila mafanikio wakati web nyingine kama jf nazitalii kwa raha zote. nashukuru hasante
 
Haya ni matataizo yanatokana na taasisi nyingi bado kuendesha mfumo wa ICT kizamani zamani.

Wanadhni kuwa na website ni lazima uwe na server ofisini. Matokeo yake na server siszo na uwezo.

NECTA walichotakiwa kufanya ni kutafuta webserver za nguvu nje ya nchi wao wabaki kudeal na content tu kama ilivyo jf.

Managing and administration ya infastructure na content ni gharama kubwa. Na teknolojia ya hardwae inabadilika kila siku. Sasa sijuiNECTA wanatumia mdel gani ya server.

Wanatakiwa ku outsoource managing ya infastructure( Web servers)
 
Back
Top Bottom