URT mafanikio ya sekta ya elimu yanatengenezwa na shule binafsi. Ukiondoa shule binafsi sekta inakufa km ambavyo sekta ya afya itakufa km yafuatayo yakitokea 100%:-
1. Wakatoliki wakichukuwa hospitali za Bugando, St. Benedict Ndanda Hospital, St. Francis Referral Hospital Ifakara, Huruma Teule, Dareda Mission Hospital.
2. Wamennonite wakichukuwa hospitali ya rufaa ya Shirati.
3. Wa-AICT wakichukuwa hospitali ya Kolandoto.
4. Wamoravian wakichukuwa hospitali teule za Isoko na Mbozi.
5. KKKT wakichukuwa KCMC, Bunda Teule, Nyakahanga Teule, Haydom Hospital.
6. DCMC Trust wakichukuwa DCMC Dodoma.
7. Waanglikana wakichukuwa Mvumi Mission Hospital Dodoma na Muhimbili.
8. Waadventista wa Sabato wakichukuwa Heri Adventist Hospital HAH Sumbawanga na Nyarero SDA Hospital.
Vyuo vikuu vya umma viko 9, vya binafsi viko takriban 11.
Shule binafsi syllabus ya F4 inaisha F3. Shule gani ya umma hata za umahiri (vipaji maalum) wanamaliza mada za F4 wakiwa F3?
Elimu URT ni sekta binafsi. Habari ndiyo hiyo.