Filosofia ya Rorya
JF-Expert Member
- Sep 20, 2021
- 3,211
- 3,614
Udanganyifu kwy mitihani ya darasa la saba 2022 unampunguzia sifa kaimu Katibu Mtendaji wa NECTA Athumani Amasi; za kuthibitishwa kwenye nafasi hiyo adhimu na kuibua matamanio ya enzi za Katibu Mtendaji wa zamani wa taasisi hiyo Dr. Charles Enoch Msonde aliyehamishiwa Ofisi ya Rais TAMISEMI kwenye wadhifa wa Naibu Katibu Mkuu.
Jitihada za Dr. Msonde zilipewa msukumo na nguvu ya Mhe. Prof. Joyce Ndichako aliyeapa na kufanikiwa kuishi kwenye kiapo chake hicho cha mitihani kutovuja au udanganyifu kutofanyika kwa muda wote wa utumishi wake wizara ya elimu.
Kwa litmus test hii ya kwanza kabisa kwa Athumani Amasi; ya udanganyifu kwenye mitihani ya taifa ya darasa la saba, ni wazi kabisa kwamba ama mmoja wa wafuatao arudishwe kwenye nafasi zao za awali au nchi iendelee kunasa kwenye uozo:
1. Dkt. Charles Enoch Msendo
2. Prof. Joyce Ndalichako
Jitihada za Dr. Msonde zilipewa msukumo na nguvu ya Mhe. Prof. Joyce Ndichako aliyeapa na kufanikiwa kuishi kwenye kiapo chake hicho cha mitihani kutovuja au udanganyifu kutofanyika kwa muda wote wa utumishi wake wizara ya elimu.
Kwa litmus test hii ya kwanza kabisa kwa Athumani Amasi; ya udanganyifu kwenye mitihani ya taifa ya darasa la saba, ni wazi kabisa kwamba ama mmoja wa wafuatao arudishwe kwenye nafasi zao za awali au nchi iendelee kunasa kwenye uozo:
1. Dkt. Charles Enoch Msendo
2. Prof. Joyce Ndalichako
