ntamaholo
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 12,906
- 6,909
Necta wana mpango gani na form 4 leavers.
Kama kuna mwenye tetesi kuhusu matokeo yatatoka lini anijulishe basi.
wasiwasi wako nini? si usubirie watatoa wakiwa tayari? mnataka watoe kwa mashinikizo yenu? hawajawa tayari, wakiwa tayari wataweka hadharani.
cha msingi inatakiwe uwe upo unafanya kazi ya kukuweka busy, la sivyo utaishi kwa pressure ukilazimisha kupata mmatokeo