NECTA iache unyanyasaji kwa Walimu

Bushmaster

JF-Expert Member
Jan 18, 2022
480
974
Moja kwa moja mada.

Hivi karibuni tumeshuhudia unyanyasaji mkubwa and unprofessional kabisa kwa walimu kupitia NECTA.

Kwanza kabisa NECTA na walimu ni idara mbili tofauti kabisa, NECTA husimamia natioanl assessment na walimu ni watekelezaji wa teaching and learning process,kwa Tanzania anaefundisha sie anaetunga mitihani

Katika masuala ya usahihishaji, NECTA huchukua walimu kutoka sehemu tofauti tofauti bara na visiwani, mfano mwalimu anawezatoka mtwara akaenda kumark Mwanza, siku ambayo atafika hua kuna seminar, baada ya hapo walimu hupewa muda wa kwenda kucover mahitaji yao madogo madogo mafuta n.k ili zoezi likianza asiwepo wa kutoka, walimu wanapewa muda na kuondoka kwenye vitua vya marking.

Iikitokea umechelewa kurudi walau kwa dk 15 huruhusiwi kuingia kwenye center hiyo na unaambiwa uondoke urudi ulikotoka,assume huyu mwalimu ametoka Mtwara yupo Mwanza unaambiwa uondoke muda huo wa 12 jioni uende wapi? Na hata hela aliosafiria kutoka Mtwara hapewi na utaratibu inatakiwa arudushiwe nauli na nights alizolala,huo ni unyanyasaji vitendo hivi vimefanyika ktk center nyingi sana mwaka huu,na nitazitaja hapa

Suala jingine, mwaka huu mitihani ya kidato cha pili na nne imesahihishwa pamoja suala ambalo halijawahi kutokea, sio tu zoezi linaathiri afya za markers kwa kufanya zoezi lifanyike kwa muda mrefu hali iliopelekea baadhi ya walimu kuparalyse mwili sababu ya kukukaa muda mrefu na uti wa mgongo kuuma, lakini pia markers wanaloose concentration kitu kinachopelekea matokeo yasipate uhalisia wake.

Lakini NECTA walicombine mitihani ili wawanyonye walimu kimaslahi, ikumbukwe mitihani huwa inalipiwa na wanafunzi lakin pia wanapokea ruzuku ya uendeshaji wa mitihani hii, licha ya zoezi la marking kufanywa kwa wakati mmoja ya mitihani ya kidato cha pili na nne kua marked pamoja na markers wale wale lakini maslai yalikua duni mno, huku karatasi moja likimakiwa kwa tsh 10. huku center nyingine ikiwa tsh 50, kigezo walichotumia eti baadhi ya masomo kua walimu wengi kwahyo kulipwa kidgo na masomo yaliyo na walimu wachache kulipwa zaidi, bado hii sababu ni illogical kabisa.

MAPENDEKEZO
NECTA isiwatumie vibaya walimu,nashauri kazi hii isifanywe na walimu pekee,itoe utaratibu ili watu mbalimbali waombe kufanya kazi hiyo, wataofanikiwa wapewe seminar za jinsi ya kusahihisha na kazi hii ipewe hadhi ya kua kazi kama kazi nyingine na mikataba ya kazi hii pia itolewe kwa majibu wa sheria either mikataba ya muda mfupi au mrefu.

Kwa kufanya ivyo itaondoka dhuluma,wanayodhulumiwa walimu
 
Moja kwa moja mada.

Hivi karibuni tumeshuhudia unyanyasaji mkubwa and unprofessional kabisa kwa walimu kupitia NECTA.

Kwanza kabisa NECTA na walimu ni idara mbili tofauti kabisa, NECTA husimamia natioanl assessment na walimu ni watekelezaji wa teaching and learning process,kwa Tanzania anaefundisha sie anaetunga mitihani

Katika masuala ya usahihishaji, NECTA huchukua walimu kutoka sehemu tofauti tofauti bara na visiwani, mfano mwalimu anawezatoka mtwara akaenda kumark Mwanza, siku ambayo atafika hua kuna seminar, baada ya hapo walimu hupewa muda wa kwenda kucover mahitaji yao madogo madogo mafuta n.k ili zoezi likianza asiwepo wa kutoka, walimu wanapewa muda na kuondoka kwenye vitua vya marking.

Iikitokea umechelewa kurudi walau kwa dk 15 huruhusiwi kuingia kwenye center hiyo na unaambiwa uondoke urudi ulikotoka,assume huyu mwalimu ametoka Mtwara yupo Mwanza unaambiwa uondoke muda huo wa 12 jioni uende wapi? Na hata hela aliosafiria kutoka Mtwara hapewi na utaratibu inatakiwa arudushiwe nauli na nights alizolala,huo ni unyanyasaji vitendo hivi vimefanyika ktk center nyingi sana mwaka huu,na nitazitaja hapa

Suala jingine, mwaka huu mitihani ya kidato cha pili na nne imesahihishwa pamoja suala ambalo halijawahi kutokea, sio tu zoezi linaathiri afya za markers kwa kufanya zoezi lifanyike kwa muda mrefu hali iliopelekea baadhi ya walimu kuparalyse mwili sababu ya kukukaa muda mrefu na uti wa mgongo kuuma, lakini pia markers wanaloose concentration kitu kinachopelekea matokeo yasipate uhalisia wake.

Lakini NECTA walicombine mitihani ili wawanyonye walimu kimaslahi, ikumbukwe mitihani huwa inalipiwa na wanafunzi lakin pia wanapokea ruzuku ya uendeshaji wa mitihani hii, licha ya zoezi la marking kufanywa kwa wakati mmoja ya mitihani ya kidato cha pili na nne kua marked pamoja na markers wale wale lakini maslai yalikua duni mno, huku karatasi moja likimakiwa kwa tsh 10. huku center nyingine ikiwa tsh 50, kigezo walichotumia eti baadhi ya masomo kua walimu wengi kwahyo kulipwa kidgo na masomo yaliyo na walimu wachache kulipwa zaidi, bado hii sababu ni illogical kabisa.

MAPENDEKEZO
NECTA isiwatumie vibaya walimu,nashauri kazi hii isifanywe na walimu pekee,itoe utaratibu ili watu mbalimbali waombe kufanya kazi hiyo, wataofanikiwa wapewe seminar za jinsi ya kusahihisha na kazi hii ipewe hadhi ya kua kazi kama kazi nyingine na mikataba ya kazi hii pia itolewe kwa majibu wa sheria either mikataba ya muda mfupi au mrefu.

Kwa kufanya ivyo itaondoka dhuluma,wanayodhulumiwa walimu
Kumbe ndio mambo yalivyo huko sirini

Eeh tuambie na zile shule wanazofaulu sana wanaandika andika vipi essay zao

Toa siri, Toa siri. Huo ndio ujanja
 
Hongera Ndugu kwa bandiko lako!!! Marking ni kichaka cha upigaji hapa nchini!!Maafisa elimu na wakuu wa shule wanatesa Sana markers kumbe hadi Necta mambo ni hayo hayo??;;; Nakumbuka pale nzega Queen of peace mwaka 2016 niliwahi uliza kasoro Fulani zilizo jitokeza kwenye Marking matokeo yake nilifukuzwa Marking eti kwa kigezo maswali yangu yaliharibu atmosphere ya kikao!!!ilikuwa Necta form 2 !!eti markers wanasahisha bila kuapishwa hadi siku tatu ndio wanaapishwa!!!halafu markers wamekurupushwa tu huko vijijini tena maduka na usafiri mbovu hata malipo ya awali ili wanunue hata dawa ya meno Hamna eti wakaanza kufokea watu!!!Hadi leo sihoji tena chochote zaidi ya kutumia jukwaaa hili!!
 
Moja kwa moja mada.

Hivi karibuni tumeshuhudia unyanyasaji mkubwa and unprofessional kabisa kwa walimu kupitia NECTA.

Kwanza kabisa NECTA na walimu ni idara mbili tofauti kabisa, NECTA husimamia natioanl assessment na walimu ni watekelezaji wa teaching and learning process,kwa Tanzania anaefundisha sie anaetunga mitihani

Katika masuala ya usahihishaji, NECTA huchukua walimu kutoka sehemu tofauti tofauti bara na visiwani, mfano mwalimu anawezatoka mtwara akaenda kumark Mwanza, siku ambayo atafika hua kuna seminar, baada ya hapo walimu hupewa muda wa kwenda kucover mahitaji yao madogo madogo mafuta n.k ili zoezi likianza asiwepo wa kutoka, walimu wanapewa muda na kuondoka kwenye vitua vya marking.

Iikitokea umechelewa kurudi walau kwa dk 15 huruhusiwi kuingia kwenye center hiyo na unaambiwa uondoke urudi ulikotoka,assume huyu mwalimu ametoka Mtwara yupo Mwanza unaambiwa uondoke muda huo wa 12 jioni uende wapi? Na hata hela aliosafiria kutoka Mtwara hapewi na utaratibu inatakiwa arudushiwe nauli na nights alizolala,huo ni unyanyasaji vitendo hivi vimefanyika ktk center nyingi sana mwaka huu,na nitazitaja hapa

Suala jingine, mwaka huu mitihani ya kidato cha pili na nne imesahihishwa pamoja suala ambalo halijawahi kutokea, sio tu zoezi linaathiri afya za markers kwa kufanya zoezi lifanyike kwa muda mrefu hali iliopelekea baadhi ya walimu kuparalyse mwili sababu ya kukukaa muda mrefu na uti wa mgongo kuuma, lakini pia markers wanaloose concentration kitu kinachopelekea matokeo yasipate uhalisia wake.

Lakini NECTA walicombine mitihani ili wawanyonye walimu kimaslahi, ikumbukwe mitihani huwa inalipiwa na wanafunzi lakin pia wanapokea ruzuku ya uendeshaji wa mitihani hii, licha ya zoezi la marking kufanywa kwa wakati mmoja ya mitihani ya kidato cha pili na nne kua marked pamoja na markers wale wale lakini maslai yalikua duni mno, huku karatasi moja likimakiwa kwa tsh 10. huku center nyingine ikiwa tsh 50, kigezo walichotumia eti baadhi ya masomo kua walimu wengi kwahyo kulipwa kidgo na masomo yaliyo na walimu wachache kulipwa zaidi, bado hii sababu ni illogical kabisa.

MAPENDEKEZO
NECTA isiwatumie vibaya walimu,nashauri kazi hii isifanywe na walimu pekee,itoe utaratibu ili watu mbalimbali waombe kufanya kazi hiyo, wataofanikiwa wapewe seminar za jinsi ya kusahihisha na kazi hii ipewe hadhi ya kua kazi kama kazi nyingine na mikataba ya kazi hii pia itolewe kwa majibu wa sheria either mikataba ya muda mfupi au mrefu.

Kwa kufanya ivyo itaondoka dhuluma,wanayodhulumiwa walimu
Nyie ndio mmewapitisha hawa ccm kwenye uchaguzi wacha necta watii ilani ya ccm
 
Moja kwa moja mada.

Hivi karibuni tumeshuhudia unyanyasaji mkubwa and unprofessional kabisa kwa walimu kupitia NECTA.

Kwanza kabisa NECTA na walimu ni idara mbili tofauti kabisa, NECTA husimamia natioanl assessment na walimu ni watekelezaji wa teaching and learning process,kwa Tanzania anaefundisha sie anaetunga mitihani

Katika masuala ya usahihishaji, NECTA huchukua walimu kutoka sehemu tofauti tofauti bara na visiwani, mfano mwalimu anawezatoka mtwara akaenda kumark Mwanza, siku ambayo atafika hua kuna seminar, baada ya hapo walimu hupewa muda wa kwenda kucover mahitaji yao madogo madogo mafuta n.k ili zoezi likianza asiwepo wa kutoka, walimu wanapewa muda na kuondoka kwenye vitua vya marking.

Iikitokea umechelewa kurudi walau kwa dk 15 huruhusiwi kuingia kwenye center hiyo na unaambiwa uondoke urudi ulikotoka,assume huyu mwalimu ametoka Mtwara yupo Mwanza unaambiwa uondoke muda huo wa 12 jioni uende wapi? Na hata hela aliosafiria kutoka Mtwara hapewi na utaratibu inatakiwa arudushiwe nauli na nights alizolala,huo ni unyanyasaji vitendo hivi vimefanyika ktk center nyingi sana mwaka huu,na nitazitaja hapa

Suala jingine, mwaka huu mitihani ya kidato cha pili na nne imesahihishwa pamoja suala ambalo halijawahi kutokea, sio tu zoezi linaathiri afya za markers kwa kufanya zoezi lifanyike kwa muda mrefu hali iliopelekea baadhi ya walimu kuparalyse mwili sababu ya kukukaa muda mrefu na uti wa mgongo kuuma, lakini pia markers wanaloose concentration kitu kinachopelekea matokeo yasipate uhalisia wake.

Lakini NECTA walicombine mitihani ili wawanyonye walimu kimaslahi, ikumbukwe mitihani huwa inalipiwa na wanafunzi lakin pia wanapokea ruzuku ya uendeshaji wa mitihani hii, licha ya zoezi la marking kufanywa kwa wakati mmoja ya mitihani ya kidato cha pili na nne kua marked pamoja na markers wale wale lakini maslai yalikua duni mno, huku karatasi moja likimakiwa kwa tsh 10. huku center nyingine ikiwa tsh 50, kigezo walichotumia eti baadhi ya masomo kua walimu wengi kwahyo kulipwa kidgo na masomo yaliyo na walimu wachache kulipwa zaidi, bado hii sababu ni illogical kabisa.

MAPENDEKEZO
NECTA isiwatumie vibaya walimu,nashauri kazi hii isifanywe na walimu pekee,itoe utaratibu ili watu mbalimbali waombe kufanya kazi hiyo, wataofanikiwa wapewe seminar za jinsi ya kusahihisha na kazi hii ipewe hadhi ya kua kazi kama kazi nyingine na mikataba ya kazi hii pia itolewe kwa majibu wa sheria either mikataba ya muda mfupi au mrefu.

Kwa kufanya ivyo itaondoka dhuluma,wanayodhulumiwa walimu
Nilifikiri unapendekeza hiyo Mitihani ifutwe, haina tija kwa Taifa.
 
Moja kwa moja mada.

Hivi karibuni tumeshuhudia unyanyasaji mkubwa and unprofessional kabisa kwa walimu kupitia NECTA.

Kwanza kabisa NECTA na walimu ni idara mbili tofauti kabisa, NECTA husimamia natioanl assessment na walimu ni watekelezaji wa teaching and learning process,kwa Tanzania anaefundisha sie anaetunga mitihani

Katika masuala ya usahihishaji, NECTA huchukua walimu kutoka sehemu tofauti tofauti bara na visiwani, mfano mwalimu anawezatoka mtwara akaenda kumark Mwanza, siku ambayo atafika hua kuna seminar, baada ya hapo walimu hupewa muda wa kwenda kucover mahitaji yao madogo madogo mafuta n.k ili zoezi likianza asiwepo wa kutoka, walimu wanapewa muda na kuondoka kwenye vitua vya marking.

Iikitokea umechelewa kurudi walau kwa dk 15 huruhusiwi kuingia kwenye center hiyo na unaambiwa uondoke urudi ulikotoka,assume huyu mwalimu ametoka Mtwara yupo Mwanza unaambiwa uondoke muda huo wa 12 jioni uende wapi? Na hata hela aliosafiria kutoka Mtwara hapewi na utaratibu inatakiwa arudushiwe nauli na nights alizolala,huo ni unyanyasaji vitendo hivi vimefanyika ktk center nyingi sana mwaka huu,na nitazitaja hapa

Suala jingine, mwaka huu mitihani ya kidato cha pili na nne imesahihishwa pamoja suala ambalo halijawahi kutokea, sio tu zoezi linaathiri afya za markers kwa kufanya zoezi lifanyike kwa muda mrefu hali iliopelekea baadhi ya walimu kuparalyse mwili sababu ya kukukaa muda mrefu na uti wa mgongo kuuma, lakini pia markers wanaloose concentration kitu kinachopelekea matokeo yasipate uhalisia wake.

Lakini NECTA walicombine mitihani ili wawanyonye walimu kimaslahi, ikumbukwe mitihani huwa inalipiwa na wanafunzi lakin pia wanapokea ruzuku ya uendeshaji wa mitihani hii, licha ya zoezi la marking kufanywa kwa wakati mmoja ya mitihani ya kidato cha pili na nne kua marked pamoja na markers wale wale lakini maslai yalikua duni mno, huku karatasi moja likimakiwa kwa tsh 10. huku center nyingine ikiwa tsh 50, kigezo walichotumia eti baadhi ya masomo kua walimu wengi kwahyo kulipwa kidgo na masomo yaliyo na walimu wachache kulipwa zaidi, bado hii sababu ni illogical kabisa.

MAPENDEKEZO
NECTA isiwatumie vibaya walimu,nashauri kazi hii isifanywe na walimu pekee,itoe utaratibu ili watu mbalimbali waombe kufanya kazi hiyo, wataofanikiwa wapewe seminar za jinsi ya kusahihisha na kazi hii ipewe hadhi ya kua kazi kama kazi nyingine na mikataba ya kazi hii pia itolewe kwa majibu wa sheria either mikataba ya muda mfupi au mrefu.

Kwa kufanya ivyo itaondoka dhuluma,wanayodhulumiwa walimu
I po siku tupige kazi
 
Back
Top Bottom