EasyFit
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 1,269
- 1,082
Akiongea na waandishi wa habari Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi Jaji mstaafu Damian Lubuva amewaonya wanasiasa wanaotoa matamshi yenye uchozezi huku akitolea mfano maneno yaliyotamkwa na kiongozi mmoja wa chama cha siasa hakumtaja, kuwa chama chake kitashinda Uchaguzi Mkuu ujao hata kwa goli la mkono.
Viongozi wawe makini wasitoe matamshi yanayoweza kuleta tafsiri mbaya. Goli la mkono ni matamshi yasiyo na breki, amesema Jaji Lubuva.
Viongozi wawe makini wasitoe matamshi yanayoweza kuleta tafsiri mbaya. Goli la mkono ni matamshi yasiyo na breki, amesema Jaji Lubuva.