Kwanza nianze kwa kukushangaa na kukuuliza swali kuwa Tume inasababishaje vurugu wakati haipigi kampeni zaidi ya wao kusimamia Sheria pia kila chama kitakua na wakala wakati upigaji kura, uhesabuji kura wanakuwepo Sasa huo wizi unatokeaje?NEC Imekuwa mbele sana kujipendekeza kwa CCM na kuanza kujadili hoja badala ya kuwaaachia vyama vishindane. Vile vile wana toa miongozo ambayo haiwahusu ya kitu gani au agenda gani ziongelewe.
Vurugu itatokea tu pale ambako hakutakuwa na uwazi kwenye siku ya kura na kuhesabu kura. Ukiangalia hakuna mbunge hata mmoja wa CCM ambaye amenyimwa au kuzuia kugombea lakini imebakia ni wapinzani pekee hii pia ni kujipendekeza na kusikiliza wagombea binafsi badala ya kujali maslahi ya taifa.
Mwenyekiti wa NEC kuonekana kwenye video ya CCM Arusha siku za nyuma akijadili jinsi wanavyosaidia CCM kwenye uchaguzi na kutaja kwa sifa mtu wake wa computer nayo inaonyesha huyu ni kada.
Kama NEC haitawaruhusu vyama vya wapinzani kuwa na wawakilishi wao na kuwapa matokeo kwenye kila kituo watakuwa wametangaza fujo maana matokeo yeyote hapo hayata kubaliwa. Cha ajabu NEC wanafikiri Lissu na Seif pekee ndiyo tatizo kumbe tatizo kubwa na watu wa kuwaogopa ni wananchi ambao hawa ni waakilishi tu.
Tushauri NEC ihakikishe uchaguzi unakuwa halali msije kumpeleka Magufuli masikini kwenye kesi za mauaji kama Kenyetta. Na kibaya zaidi ushahidi sasa upo na kuna kundi tayari limeanza kuandaa video zote wakati wa kampeni. Polisi mpaka sasa wanafanya kazi nzuri.
acha kuandika upuuzi.Lissu hana kura za kuifanya NEC ipindishe matokeo.
Lissu ni debe tupu yule
Dawa ni chadema kumfungulia kesi mkurugenziccm wa Tumeccm kwenye mahakama ya ICC The Hague mapema kwa viashiria vya kuhatarisha AmaniNEC Imekuwa mbele sana kujipendekeza kwa CCM na kuanza kujadili hoja badala ya kuwaaachia vyama vishindane. Vile vile wana toa miongozo ambayo haiwahusu ya kitu gani au agenda gani ziongelewe.
Vurugu itatokea tu pale ambako hakutakuwa na uwazi kwenye siku ya kura na kuhesabu kura. Ukiangalia hakuna mbunge hata mmoja wa CCM ambaye amenyimwa au kuzuia kugombea lakini imebakia ni wapinzani pekee hii pia ni kujipendekeza na kusikiliza wagombea binafsi badala ya kujali maslahi ya taifa.
Mwenyekiti wa NEC kuonekana kwenye video ya CCM Arusha siku za nyuma akijadili jinsi wanavyosaidia CCM kwenye uchaguzi na kutaja kwa sifa mtu wake wa computer nayo inaonyesha huyu ni kada.
Kama NEC haitawaruhusu vyama vya wapinzani kuwa na wawakilishi wao na kuwapa matokeo kwenye kila kituo watakuwa wametangaza fujo maana matokeo yeyote hapo hayata kubaliwa. Cha ajabu NEC wanafikiri Lissu na Seif pekee ndiyo tatizo kumbe tatizo kubwa na watu wa kuwaogopa ni wananchi ambao hawa ni waakilishi tu.
Tushauri NEC ihakikishe uchaguzi unakuwa halali msije kumpeleka Magufuli masikini kwenye kesi za mauaji kama Kenyetta. Na kibaya zaidi ushahidi sasa upo na kuna kundi tayari limeanza kuandaa video zote wakati wa kampeni. Polisi mpaka sasa wanafanya kazi nzuri.
Tumeccm NECCCM ni chombo binafsi cha CCM haifanyi kazi kwa mjibu wa Sheria na katiba bali inafanya kazi kwa mjibu wa zidumu fikra zisizo sahihi za mtukufu mwenyekiti wa CCMKwanza nianze kwa kukushangaa na kukuuliza swali kuwa Tume inasababishaje vurugu wakati haipigi kampeni zaidi ya wao kusimamia Sheria pia kila chama kitakua na wakala wakati upigaji kura, uhesabuji kura wanakuwepo Sasa huo wizi unatokeaje?
Tumeshajiandaa kisaikolojia kwamba NEC wataleta vurugu sisi mkakati wetu nikianza nao Kwanza kabla hatujahamia kwa wale tumwa tumwa
NEC mnawaonea tu wakina Dr Mahera, wanaoleta fujo ni maccm na mgombea wao asiyependwa kupingwaNEC Imekuwa mbele sana kujipendekeza kwa CCM na kuanza kujadili hoja badala ya kuwaaachia vyama vishindane. Vile vile wana toa miongozo ambayo haiwahusu ya kitu gani au agenda gani ziongelewe.
Vurugu itatokea tu pale ambako hakutakuwa na uwazi kwenye siku ya kura na kuhesabu kura. Ukiangalia hakuna mbunge hata mmoja wa CCM ambaye amenyimwa au kuzuia kugombea lakini imebakia ni wapinzani pekee hii pia ni kujipendekeza na kusikiliza wagombea binafsi badala ya kujali maslahi ya taifa.
Mwenyekiti wa NEC kuonekana kwenye video ya CCM Arusha siku za nyuma akijadili jinsi wanavyosaidia CCM kwenye uchaguzi na kutaja kwa sifa mtu wake wa computer nayo inaonyesha huyu ni kada.
Kama NEC haitawaruhusu vyama vya wapinzani kuwa na wawakilishi wao na kuwapa matokeo kwenye kila kituo watakuwa wametangaza fujo maana matokeo yeyote hapo hayata kubaliwa. Cha ajabu NEC wanafikiri Lissu na Seif pekee ndiyo tatizo kumbe tatizo kubwa na watu wa kuwaogopa ni wananchi ambao hawa ni waakilishi tu.
Tushauri NEC ihakikishe uchaguzi unakuwa halali msije kumpeleka Magufuli masikini kwenye kesi za mauaji kama Kenyetta. Na kibaya zaidi ushahidi sasa upo na kuna kundi tayari limeanza kuandaa video zote wakati wa kampeni. Polisi mpaka sasa wanafanya kazi nzuri.
ICC na taasisi zote za haki za binadamu wapo wanaendelea kumchunguza vizuri baada ya uchaguzi mkuu atafikishwa The HagueHawa wote mnawalaumu bure, kama fujo zikitokea na kuvuruga Uchaguzi kwavile JIWE anaelekea kushindwa, wakulaumiwa ni JIWE peke yake kwani ndiye ARCHITECT!!
PLPL alisha sema Kukiwa na tume huru CCM hawatashindaIle rasimu ya Warioba ya Katiba Mpya wakati ule ilikuwa muhimu sana, ingeondoa haya madudu yote, hawa wateule wa Rais hawawezi kwenda kinyume na mapenzi ya bosi wao, tena mbaya zaidi bosi mwenyewe akiwa na tabia ya kisirani na visasi kama huyu aliyepo.
Hii inawalazimu jamaa kuropoka ujinga wowote kulinda nafasi zao, hawapo huru katika kutimiza majukumu yao.
NECCCM Tumeccm ni chombo binafsi cha CCMNEC mnawaonea tu wakina Dr Mahera, wanaoleta fujo ni maccm na mgombea wao asiyependwa kupingwa
Tume imejaa wapumbavu watupuNEC Imekuwa mbele sana kujipendekeza kwa CCM na kuanza kujadili hoja badala ya kuwaaachia vyama vishindane. Vile vile wana toa miongozo ambayo haiwahusu ya kitu gani au agenda gani ziongelewe.
Vurugu itatokea tu pale ambako hakutakuwa na uwazi kwenye siku ya kura na kuhesabu kura. Ukiangalia hakuna mbunge hata mmoja wa CCM ambaye amenyimwa au kuzuia kugombea lakini imebakia ni wapinzani pekee hii pia ni kujipendekeza na kusikiliza wagombea binafsi badala ya kujali maslahi ya taifa.
Mwenyekiti wa NEC kuonekana kwenye video ya CCM Arusha siku za nyuma akijadili jinsi wanavyosaidia CCM kwenye uchaguzi na kutaja kwa sifa mtu wake wa computer nayo inaonyesha huyu ni kada.
Kama NEC haitawaruhusu vyama vya wapinzani kuwa na wawakilishi wao na kuwapa matokeo kwenye kila kituo watakuwa wametangaza fujo maana matokeo yeyote hapo hayata kubaliwa. Cha ajabu NEC wanafikiri Lissu na Seif pekee ndiyo tatizo kumbe tatizo kubwa na watu wa kuwaogopa ni wananchi ambao hawa ni waakilishi tu.
Tushauri NEC ihakikishe uchaguzi unakuwa halali msije kumpeleka Magufuli masikini kwenye kesi za mauaji kama Kenyetta. Na kibaya zaidi ushahidi sasa upo na kuna kundi tayari limeanza kuandaa video zote wakati wa kampeni. Polisi mpaka sasa wanafanya kazi nzuri.
Tanzania haikuota kama uyoga. Bado siku 30 tunakwenda kuizika Chadema na makuwadi wao.NEC Imekuwa mbele sana kujipendekeza kwa CCM na kuanza kujadili hoja badala ya kuwaaachia vyama vishindane. Vile vile wana toa miongozo ambayo haiwahusu ya kitu gani au agenda gani ziongelewe.
Vurugu itatokea tu pale ambako hakutakuwa na uwazi kwenye siku ya kura na kuhesabu kura. Ukiangalia hakuna mbunge hata mmoja wa CCM ambaye amenyimwa au kuzuia kugombea lakini imebakia ni wapinzani pekee hii pia ni kujipendekeza na kusikiliza wagombea binafsi badala ya kujali maslahi ya taifa.
Mwenyekiti wa NEC kuonekana kwenye video ya CCM Arusha siku za nyuma akijadili jinsi wanavyosaidia CCM kwenye uchaguzi na kutaja kwa sifa mtu wake wa computer nayo inaonyesha huyu ni kada.
Kama NEC haitawaruhusu vyama vya wapinzani kuwa na wawakilishi wao na kuwapa matokeo kwenye kila kituo watakuwa wametangaza fujo maana matokeo yeyote hapo hayata kubaliwa. Cha ajabu NEC wanafikiri Lissu na Seif pekee ndiyo tatizo kumbe tatizo kubwa na watu wa kuwaogopa ni wananchi ambao hawa ni waakilishi tu.
Tushauri NEC ihakikishe uchaguzi unakuwa halali msije kumpeleka Magufuli masikini kwenye kesi za mauaji kama Kenyetta. Na kibaya zaidi ushahidi sasa upo na kuna kundi tayari limeanza kuandaa video zote wakati wa kampeni. Polisi mpaka sasa wanafanya kazi nzuri.