NEC Imekuwa mbele sana kujipendekeza kwa CCM na kuanza kujadili hoja badala ya kuwaaachia vyama vishindane. Vile vile wana toa miongozo ambayo haiwahusu ya kitu gani au agenda gani ziongelewe.
Vurugu itatokea tu pale ambako hakutakuwa na uwazi kwenye siku ya kura na kuhesabu kura. Ukiangalia hakuna mbunge hata mmoja wa CCM ambaye amenyimwa au kuzuia kugombea lakini imebakia ni wapinzani pekee hii pia ni kujipendekeza na kusikiliza wagombea binafsi badala ya kujali maslahi ya taifa.
Mkurugenzi wa NEC kuonekana kwenye video ya CCM Arusha siku za nyuma akijadili jinsi wanavyosaidia CCM kwenye uchaguzi na kutaja kwa sifa mtu wake wa computer nayo inaonyesha huyu ni kada.
Kama NEC haitawaruhusu vyama vya wapinzani kuwa na wawakilishi wao na kuwapa matokeo kwenye kila kituo watakuwa wametangaza fujo maana matokeo yeyote hapo hayata kubaliwa. Cha ajabu NEC wanafikiri Lissu na Seif pekee ndiyo tatizo kumbe tatizo kubwa na watu wa kuwaogopa ni wananchi ambao hawa ni waakilishi tu.
Tushauri NEC ihakikishe uchaguzi unakuwa halali msije kumpeleka Magufuli masikini kwenye kesi za mauaji kama Kenyetta. Na kibaya zaidi ushahidi sasa upo na kuna kundi tayari limeanza kuandaa video zote wakati wa kampeni. Polisi mpaka sasa wanafanya kazi nzuri.
Vurugu itatokea tu pale ambako hakutakuwa na uwazi kwenye siku ya kura na kuhesabu kura. Ukiangalia hakuna mbunge hata mmoja wa CCM ambaye amenyimwa au kuzuia kugombea lakini imebakia ni wapinzani pekee hii pia ni kujipendekeza na kusikiliza wagombea binafsi badala ya kujali maslahi ya taifa.
Mkurugenzi wa NEC kuonekana kwenye video ya CCM Arusha siku za nyuma akijadili jinsi wanavyosaidia CCM kwenye uchaguzi na kutaja kwa sifa mtu wake wa computer nayo inaonyesha huyu ni kada.
Kama NEC haitawaruhusu vyama vya wapinzani kuwa na wawakilishi wao na kuwapa matokeo kwenye kila kituo watakuwa wametangaza fujo maana matokeo yeyote hapo hayata kubaliwa. Cha ajabu NEC wanafikiri Lissu na Seif pekee ndiyo tatizo kumbe tatizo kubwa na watu wa kuwaogopa ni wananchi ambao hawa ni waakilishi tu.
Tushauri NEC ihakikishe uchaguzi unakuwa halali msije kumpeleka Magufuli masikini kwenye kesi za mauaji kama Kenyetta. Na kibaya zaidi ushahidi sasa upo na kuna kundi tayari limeanza kuandaa video zote wakati wa kampeni. Polisi mpaka sasa wanafanya kazi nzuri.