Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,349
- 6,476
Jana nimebadilisha kata na jimbo la uchaguzi katika daftari la kudumu la wapiga kura. Mwandikishaji akaandika majina mawili tu badala ya matatu ambayo nilikuwa nimeandikisha awali (Jina la kwanza, la kati na la ukoo).
Nikamwuliza kwa nini akuandika 'surname' na akajibu kuwa wameambia waandikishe majina mawili tu. Nilikuwa mbogo kidogo na ilibidi aandike yote matatu, sasa kama vitambulisho hivi inasemekana hununuliwa je hii sio mbinu ya kupata vitambulisho vyenye majina tofauti vya ziada bila gharama yoyote?
Cha ajabu vitambulisho vya zamani vinabaki na kurudishwa kwenye tume bila kutobolewa mbele ya mpiga kura aliyekibadilisha, je akitakwenda kutumika kama vile vinavyonunuliwa? Hivi jina kamili uandikwa vipi? Nijuavyo mimi ni 'first name', 'middle name' na 'surname'. Kabla ya uchaguzi tutasikia takwimu zao ambazo zitakuwa na utata tu!
Nikamwuliza kwa nini akuandika 'surname' na akajibu kuwa wameambia waandikishe majina mawili tu. Nilikuwa mbogo kidogo na ilibidi aandike yote matatu, sasa kama vitambulisho hivi inasemekana hununuliwa je hii sio mbinu ya kupata vitambulisho vyenye majina tofauti vya ziada bila gharama yoyote?
Cha ajabu vitambulisho vya zamani vinabaki na kurudishwa kwenye tume bila kutobolewa mbele ya mpiga kura aliyekibadilisha, je akitakwenda kutumika kama vile vinavyonunuliwa? Hivi jina kamili uandikwa vipi? Nijuavyo mimi ni 'first name', 'middle name' na 'surname'. Kabla ya uchaguzi tutasikia takwimu zao ambazo zitakuwa na utata tu!