WA-UKENYENGE
JF-Expert Member
- Oct 1, 2011
- 2,918
- 1,236
Nchi ya kimafia.....
Nasubiri muda niji******* kama yule kijana wa Tunisia!
Nchi inaongozwa na wastaafu unategemea nini mkuu?
huyo HAMAD OMAR KOMBO wa CDM yuko wapi? kwa sababu kama NEC imetoa matokeo hivyo yeye na wasimamizi na viongozi wa huko Zanzibar walikuwa wapi/wako wapi? mimi nafikiri watu wa kuwalaumu si NEC bali ni viongozi wa CDM walioshindwa kusimamia kura ili kiongozi wao atangazwe.
aliyechakachua ni nani? CUF? CCM? kama ni NEC hawange publish hivyo I think.
Mbunge aliyepo ni Rashid Ali Abdallah wa CUF. I think there is a problem somewhere kwani hata CCM hawangekubali
Hivi kuna mtu bado anaiamini hiyo NEC-Zanzibar au NEC - Tanzania? Ni kiini macho hicho chombo hakina maana yeyote katika uwanja wa democrasia, ila kwa CCM kina maana kubwa.
Sasa mbona hawakumtangaza mbunge wa CHADEMA kuwa mshindi?
Wamtangaze, mbona ungesikia pamechimbika mpaka bara. Tukubali kuwa bado tunasua sua kuingia kwenye democrasia ya kweli. Inshu iko wazi kuwa NEC has to be independent, lakini watawala wetu bado wanang'ang'a katiba inasema ooooh, mwenyekiti atateuliwa na mwenyekiti wa ccm taifa ambaye ndiyo amiri jeshi mkuu na rais wa Tanzania. Hapo hapo, vyama vya upinzani havionyeshi dalili ya kushtuka na huu mchezo mchafu. NEC ni ushuzi mtupu!
Inabidi tuingie kwenye mfumo wa ki-elektroniki labda utapunguza uchakachuaji, kwani kukiwa na mfumo unapiga kura na matokeo yanatoka moja kwa moja pasipo kusubiri itakuwa vigumu kuchakachua japo kwa bongo usishangae kusikia imewezekana..
Watu wanatumia pesa siyo vipesa kutafuta ushindi. Watu wenyewe ukiwaangalia wako kwenye 56 - 70 years old, why not invest the money in building small scale and iron industries? Ukifikiria sana utagundua kuwa hawa jamaa wanaogopa kufa mapema, so they just want luxury life like bunge one, totoz pembeni hakuna shida. Wenye kutambua na kuchua hilo ni sisi vijana!!