NEC ilichakachua matokeo 2010?

NEC ilichakachua matokeo 2010?

M-mbabe

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2009
Posts
13,201
Reaction score
23,030
tangu matokeo ya uchaguzi mkuu 2010 yatangazwe, kiukweli nimekuwa sceptical all along na zile allegations kuwa eti matokeo yaliyachakachuliwa in favour of CCM.

nimesoma article moja kwenye raia mwema la leo inayoonyesha kuwa kwenye jimbo la Tumbe kule Pemba eti CDM walishinda kwa 83%, CCM 9% na CUF 1%. nimekwenda kwenye web site ya NEC nikayakuta haya matokeo yamebandikwa hapo (The National Electrol Commission of Tanzania - Homepage).

sasa nimeamini!

something needs to be done. don't know what/how though.....
 
tangu matokeo ya uchaguzi mkuu 2010 yatangazwe, kiukweli nimekuwa sceptical all along na zile allegations kuwa eti matokeo yaliyachakachuliwa in favour of CCM.

nimesoma article moja kwenye raia mwema la leo inayoonyesha kuwa kwenye jimbo la Tumbe kule Pemba eti CDM walishinda kwa 83%, CCM 9% na CUF 1%. nimekwenda kwenye web site ya NEC nikayakuta haya matokeo yamebandikwa hapo (The National Electrol Commission of Tanzania - Homepage).

sasa nimeamini!

something needs to be done. don't know what/how though.....

mods vipi mbona mmechakachua title ya thread???

it should read "it's official - NEC ilichakachua matokeo 2010!"
 
Wewe ndio umejua leo? Unadhani wakina Slaa wanakichaa au wanaropoka hovyo (kama ambavyo we are forced to believe)???
 
sijakuelewa labda uiweke vizuri mod yako
 
ccm wezi wa kura.
wezi wa mali ya umma.
sasa tunawasubiri kwenye kona wakiingia tu........................
 
tangu matokeo ya uchaguzi mkuu 2010 yatangazwe, kiukweli nimekuwa sceptical all along na zile allegations kuwa eti matokeo yaliyachakachuliwa in favour of CCM.

nimesoma article moja kwenye raia mwema la leo inayoonyesha kuwa kwenye jimbo la Tumbe kule Pemba eti CDM walishinda kwa 83%, CCM 9% na CUF 1%. nimekwenda kwenye web site ya NEC nikayakuta haya matokeo yamebandikwa hapo (The National Electrol Commission of Tanzania - Homepage).

sasa nimeamini!

something needs to be done. don't know what/how though.....

Nami nimeona mkuu,Mbona mambo haya yapo wazi?hata ndani ya hao wanaojiita usalama wanasema ni kweli kulikuwa na uchakachuaji mkubwa,swali nalojiuliza je huu uchakachuaji utakoma vipi?kumbuka 2015 si mbali hata kidogo,wakati serikali inaangaika na kukamilisha ahadi ni bora vyama vya upinzani vikajijenga pande zote za nchi,nakumbuka kipindi kile mawakala nchi nzima walikuwa wanatakiwa kama 53000 hivi,ni bora mawakala wakaanza kufanyiwa screening kuanzia sasa na kuendelea ili kuwa na uhakika kwanza wa ulinzi wa kura.kwenye mawakala hapo ni tatizo kubwa na hapo ndipo kwa sehemu kubwa uchakachuaji uchukua nafasi kubwa,tofauti na kudhibiti hapo itakuwa sawa na kutwanga maji kwenye kinu!
 
Umechelewa sana kutambua. Nadhani sasa utakuwa umeelewa ni kwanini wabunge wa cdm walitoka bungeni kwenye hotuba ya "rais wa nec!"
 
Kwa ajili ya rekodi ..inabidi tuliweke wazi ....

Tumbe Results.JPG
 
khee tatizo letu waswahili mambo yakishapita tunasahau na hili lilishapita kitambo tu na raia wameshasahau..
 
Nami nimeona mkuu,Mbona mambo haya yapo wazi?hata ndani ya hao wanaojiita usalama wanasema ni kweli kulikuwa na uchakachuaji mkubwa,swali nalojiuliza je huu uchakachuaji utakoma vipi?kumbuka 2015 si mbali hata kidogo,wakati serikali inaangaika na kukamilisha ahadi ni bora vyama vya upinzani vikajijenga pande zote za nchi,nakumbuka kipindi kile mawakala nchi nzima walikuwa wanatakiwa kama 53000 hivi,ni bora mawakala wakaanza kufanyiwa screening kuanzia sasa na kuendelea ili kuwa na uhakika kwanza wa ulinzi wa kura.kwenye mawakala hapo ni tatizo kubwa na hapo ndipo kwa sehemu kubwa uchakachuaji uchukua nafasi kubwa,tofauti na kudhibiti hapo itakuwa sawa na kutwanga maji kwenye kinu!

Unaongea mambo too hypothetical, kutokana na muundo wa tume (NEC) na katiba yetu, mawakala wana ubavu wa kulinda kura za ubunge na u-diwani TU, mawakala hawana ubavu wa kulinda kura za u-Rais. NEC ni Mungu mtu inaweza kutangaza matokea ya kura za u-Rais bila hata kuyapata kutoka majimboni.

Huu ndio ukweli mchungu!
 
Wewe ndio umejua leo? Unadhani wakina Slaa wanakichaa au wanaropoka hovyo (kama ambavyo we are forced to believe)???

sawa, lakini..............

akisema slaa inachukuliwa kama siasa - si rasmi.

inapokuja official statement ya NEC - this is totally different. ni ushahidi unaoweza kuwa na substance kisheria!
 
Jamani NEC hawakuchakachua kitu! walikosea tu kuandika hayo majina ya vyama, sehemu ya Chadema inatakiwa iwe CCM na sehemu ya CCM inatakiwa iwe Chadema.
 
Umechelewa sana kutambua. Nadhani sasa utakuwa umeelewa ni kwanini wabunge wa cdm walitoka bungeni kwenye hotuba ya "rais wa nec!"

sawa...lakini je CDM walikuwa wana ushahidi rasmi kutoka NEC ambao wangeweza kuuonyesha kwa yeyote? labda ni mimi tu nilikuwa siko aware kwani nilichokiona ni majedwali tu ambayo they could have originated from anywhere!

this latest revelation is outrageously official and could have a legal bearing.
 
mmmhhhh......ndomana huwa naamini hii nchi ni mkusanyiko wa vilaza.
katika hali ya kawaida ilibidi hata hizo record waziweke kama walivyochakachua, lakini kwa vile mchakachuaji mwenyewe kilaza, aliyechakachuliwa kilaza, maisha yanaendelea as usual.
 
tangu matokeo ya uchaguzi mkuu 2010 yatangazwe, kiukweli nimekuwa sceptical all along na zile allegations kuwa eti matokeo yaliyachakachuliwa in favour of CCM.

nimesoma article moja kwenye raia mwema la leo inayoonyesha kuwa kwenye jimbo la Tumbe kule Pemba eti CDM walishinda kwa 83%, CCM 9% na CUF 1%. nimekwenda kwenye web site ya NEC nikayakuta haya matokeo yamebandikwa hapo (The National Electrol Commission of Tanzania - Homepage).

sasa nimeamini!

something needs to be done. don't know what/how though.....


Habar hii imenikumbusha mbaaaali sana. Enzi hizo wakti nasoma sekondari. Nakumbuka kulikuwa na mechi za mashindano ya mpira wa kikapu baina ya Tambaza na Forodhani kwenye viwanja vya Gymkhana. Kumbuka hiyo sio tambaza ya leo. Hiyo ni Tambaza ya Head master Mzee Kalumuna. Na Forodhani ya Mama Kamsin, Azania ya Kisamo, Jangwani ya Tegisa. n.k

Nakumbuka mechi ilikuwa kali sana na ktk robo ya mwisho kuna mtu alitamka maneno kama hayo hapo juu japo alitumia lugha nyingine.

Mgongo wa Chadema kujipenyeza mpaka pemba kupitia waandishi makanjanja. Haya sie yetu macho. Lakin mnakumbuka kura za maruhani? kazi kwenu.

Jiandaeni jimbo la wawi basi tuwaone.

 
Back
Top Bottom