Ndunda Ndunda na Salum Mwalimu!

Ndunda Ndunda na Salum Mwalimu!

Kilicho nishangaza ni cheo chake na muonekano wake yani chapwaaaaa
Ka mchuzi usio kuwa na ndimu
Aisee

Wewe ni kati ya vilaza na wasiyo jitambua,au ndio ulikuwa unausongo na kupost chochote jf?
 
Hapa Dom Maeneo ya Rainbow carwash na familia yake kwenye kluger ya buluu no T2....CJN
Nikabaki namshangaa tu na ushamba wangu huu.....................!
Kumbe ndo huyu jeusi kama nduli dada fild masho genelali Idd Amin
Chadema kazi mnayo mwaka huu.

Stupid!!
 
ungekuwa ni uwezo wangu mijitu kama ninyi ningewafutilia mbali Jf....kila siku watu kama ndo ninyi mnashusha hadhi sana ya Jf....
 
Daktari amewaamuru manesi wapitie vitanda vyote kuangalia kama kuna mgonjwa ametoroka hospitali
Mkuu una maanisha msako wa kitanda kwa kitanda uanze kufanyika kuanzia pale Milembe - Dodoma hospitali kuu ya vichaa Tanzania!!
 
Back
Top Bottom