Wa Ndima
JF-Expert Member
- Aug 13, 2010
- 1,526
- 323
Malima alisema Upandishaji huu hautamguza Raia wa Kawaida? Sasa wenye Guta nao ni Matajiri?
hapo sasa, ukimuongezea mwenye guta namna hii yeye si atampandishia mteja? Tutaumia sana
Malima alisema Upandishaji huu hautamguza Raia wa Kawaida? Sasa wenye Guta nao ni Matajiri?
ni magufuri n0t maguduri,
hata wakija wapya wataiba
kivuko ni sawa na daraja ndugulile ndo kachemsha so kipo chini ya wizara ya ujenzi it seems hawa watu hawajui wanachokifanya
suala la nauli ya kivuko hata wadau wangejadiliana isingebadili chochote ila na wananchi pia tuangalie je unaweza kulinganisha nauli ya mwaka 96 na leo hii ? Fikiria hicho kivuko unapewa wewe unaweza kuendesha kwa gharama ya sh mia?
ni magufuri n0t maguduri,
hata wakija wapya wataiba
ni magufuri n0t maguduri,
hata wakija wapya wataiba
Siyo MAGUFULI ni Dr. John Joseph Pombe MAGHUFULI. Usiharibu jina la mtu na kumwondolea sifa yake aliyoisotea!sio maguduri wala magufuri, bali ni MAGUFULI usiharibu jina la mtu.
ina maana mwenye guta ana maisha mazuri kuliko mwenye gari???????????????????
Hawa wabunge wanatia aibu sana..... EWURA?
Kile kivuko si kipo chini ya Comworks?
Live Channel Ten Mbunge wa Kigamboni Anamuumbua live Live Magufuli na Wazara yake kuwa Hawana haki ya kuongeza Nauli Mpya kwani hiyo mamlaka amaepewa EWURA tena lazima Wadau washirikishwe...
Magufuri kakurupuka tu hajui Sheria kazi yake ni kutukana wananchi tu wa Kigamboni Wanaomba Serikali Imchukulie Hatua kali ikiwemo kumvua Gamba... Sasa tuone nani Zaidi Wametengeneza tiketi Bandia wanachumia matumboni mwao pesa nyingi haziingii serikalini Na pia ticket zinauzwa mara kadhaa so pale cha muhimu wadhibiti makusanyo kituo kinaweza kujiendesha na ikiwezekana wabadilishwe wote pale waje waongoza kivuko wapya.
Like father like son!
Mbona kuandaa mchakato wa katiba rais naye hakuhitaji maoni ya wananchi? Magufuri naye aliona ikiwa jambo zito kama Katiba Rais hakuhitaji maoni ya wananchi au wadau, kwa nini jambo dogo tu kama kivuko?
Swali ni kwa siku kivuko hicho kinavusa watu wangapi na kinaingiza Shilingi ngapi na ngapi zinzingia serikalini?suala la nauli ya kivuko hata wadau wangejadiliana isingebadili chochote ila na wananchi pia tuangalie je unaweza kulinganisha nauli ya mwaka 96 na leo hii ? Fikiria hicho kivuko unapewa wewe unaweza kuendesha kwa gharama ya sh mia?
Live Channel Ten Mbunge wa Kigamboni Anamuumbua live Live Magufuli na Wazara yake kuwa Hawana haki ya kuongeza Nauli Mpya kwani hiyo mamlaka amaepewa EWURA tena lazima Wadau washirikishwe...
Sioni mantiki ya kupata maoni ya wananchi ili upandishe bei ya bidhaa yako. Jamani tuache siasa kwenye mambo ya msingi. Bei bado ziko reasonable.