Ndugu zangu wananichukia


Nyumba sio asset wala non-current asset. Non-current asset ni asset ambayo inatumika kusaidia uzalishaji wa kitu fulani kama vile mashine, gari n.k.
 
Kaunga naitaji msaada kwa ilo pliz
 
Last edited by a moderator:
Mmh huyo ni mama ako aliekubeba tumbon mwenyew?! au ulibambikwa kwake!? maana hainiingii akilin aisee!
 

Pole sana, ila jaribu kuufatilia kama huyo mama
ni mama yako mzazi , asije kuwa mama wa kufikia
maana kwa namna unavyoelezea , napata mashaka na
uhalisia wake kama kweli ndiye mzazi wako aliyeingia
leba kwenda kukuzaa.

Kwani mtu mwenye degedege iliyopanda kichwani
pekee ndi anaweza kutoa jibu kama alilotoa "Mama yako"
nilipomuambia anipeleke akasema amepasahau hapakumbuki
 
Hasira nimepata mimi.....dah
Wasamehe lakini kamwe usisahau iwe kama funzo kwako. Wewe ni mtu mzima, tafuta kiwanja unapopataka wewe hata huko mkoani Ulipo , jenga taratibu kwa kusimamia mwenyewe. Inshaallah mwenyezi Mungu atakusimamia na kukuneemesha zaidi ya hapo
 
Mmh huyo ni mama ako aliekubeba tumbon mwenyew?! au ulibambikwa kwake!? maana hainiingii akilin aisee!

ni mama yangu mzazi,kama nilibambikwa pia siwezi kujua maana nimekua namuona yeye tu cjawahi muona mama mwingine
 

nashindwa nifuatilie kwa nani kwa sababu ndugu wa baba yangu cwafahamu maana baba yangu hakuwa mtu wa nchi hii na ndugu wa mama huwa wananiambia huyu ni mama yangu
 
nisaidie babu kunibembelezea maana fighters wakikaa meza moja lazima kodi ya bandarini ionekane

Anza mdogomdogo kwankubembeleza PM. Then unijulishe ulipokwama kwa ajili ya msaada. Together we can.

Usimpoteze huyu mjasiriamali mpambanaji
 
we kweli kunguru unauliza nn sasa!! ulicho uliza kinaendana na mada???

---- kweli wewe si uache ajibu kwani wewe ndo Imetoa Mada bata nini shauri yako utaolewa
 
Pole Kwa kutopewa ushauri na wazee waliokuzidi umri hapo kazini...
Mie wazee niliowakuta kazini ambao wana umri wa kumzd baba yangu waliniambia maneno ya usiha mazuri na ambayo nilipoyapima nikajua kweli wananisaidia maana wao walisema wananamnia nisikosee kama wao..

Jenga kwanza nyumba yako mahali unapoishi na sio kwenu maana hutoishi kwenu ila utaishi palipo ofisi yako.

Wazazi saidia ukiweza ila wao si jukumu lako sana maana wao wanaishia ila ww una kizazi chako kinakuja na kitakushangaa kikikuta hujawaandalia mazingira mazuri kisa ulikuwa busy na wazazi wako. Huu ni ulimwengu wa everyman for himself, ila usiache kusaidia matatizo ya kwenu ambayo yana ulazima.

Usihangaike na magari,life style na anasa. Tafta kujiweka sawa kimaisha kwanza na hayo mambo utayakuta tuu maana yapo,yalikuepo na yatakuepo.

Mtumaini sana mungu na uheshimu kila mtu bila ubaguzi, usiwe mjuaji na nyenyekea sana hata wakikukosea.

Ukiwa na kwako ndio anza kusaidia na wengine kama uwezo unaruhusu na uweke akiba ya badae na kiendesha maisha ya familia yako.



*wanadamu tuna maudhi ila jifunze kupuuza mana hata ww unaudhi wengine pia
 
Achana na ndugu zako hao. una miaka mingapi? Mimi nina 32, nipo tayari kukuoa. unipate ndugu wa maana.
 
Yaliyopita si ndwele, sasa umeshajua ni ndugu wa aina gani wamekuzunguka hilo lenyewe tu ni jambo chanya.

Sasa kinachofuata ni wewe kufanya yale ambayo wewe kwa nafasi yako utaweza kuyasimamia.

Tumeumbwa tofauti sana mkuu hilo pia uishi ukilifahamu.
 
Pole sana dada angu!huo ndio ushindi wako!vumilia kwa mawazo uliyonayo saizi,kemea roho ya chuki itakayojitokeza kwa mama,lamsingi ni kuhesabu kuwa unaanza upya dada angu simama kama wewe pasipo kumchukia mama na nduguyo neno linasema shinda ubaya kwa wema
 
Miss Jay Wewe ni mtu mzima sasa jaribu kufanya maendeleo mwenyewe pia jenga mahali(mkoa) unapofanyia kazi hii itasaidia kusimamia wewe mwenyewe
 
Last edited by a moderator:
nashindwa nifuatilie kwa nani kwa sababu ndugu wa baba yangu cwafahamu maana baba yangu hakuwa mtu wa nchi hii na ndugu wa mama huwa wananiambia huyu ni mama yangu

Jitahidi ufanye utafiti flani juu ya hicho nilichosema
kwani kama ni mama yako mzazi kungekuwa kuna
kitu flani cha kuwavuteni "pamoja". Kumbuka
the blood is much more thicker than water.
 
Pole sana miss jay hayo yote yametokea ili mtu asikulaumu tena, pamoja na kuchukua vyote hivyo, lakini hawajachukua akili yako, huyo aliyekuwezesha kupata hivyo bado yupo atakuwezesha kupata vingine usikatetamaa kabisa,sasa umemfahamu mama Yako na dada yako usiache kuwa penda sisi wakristo ktk warumi 12 :19 kisasi ni cha mungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…