Chillah
JF-Expert Member
- Oct 12, 2016
- 8,299
- 8,862
Hapa gugo ana sema kutoka shule moja hadi nyingine hapo arusha ni Km 8.4 hivyo si mbali ukifika arusha umefika eneo husika
Hapa gugo ana sema kutoka shule moja hadi nyingine hapo arusha ni Km 8.4 hivyo si mbali ukifika arusha umefika eneo husika
Gugo ni msaada mzuri sana ktk kutrack location hivyo nakushuli usisite kutumia gugo na kuchanganya na maarifa uliyo nayo...Nimeona niulize wenyeji ili nipate ufafanuzi zaidi kuliko kutegemea Google
asije kusema hukumwambiahiyo shule imejaa wazungu, wahindi waafrika ni wachache wale watoto wa matajiri na raia wa kigeni, niko arusha sasa hivi wamenipita wanafunz wa hiyo shule hakuna anaejua kiswahili kabisa, kama kiingereza chako ni cha ugoko utateseka sana
Samahani hivi kuna Km 470 kutoka Dar mpaka Arusha ?
SawaWewe mwl mtarajiwa tayari umeshafeli intaviyuuu! Yaani mwajiri wako mtarajiwa hujui hata anapatikana wapi? Yaani kuwa na njaa ya Kazi unaomba omba Kazi bila hata kufanya tafiti kidogo juu ya huyo unayetaka akuajiri?! Aibu hii.
Siwezi kukupangia cha kukoment your a free mind.Wewe mwl mtarajiwa tayari umeshafeli intaviyuuu! Yaani mwajiri wako mtarajiwa hujui hata anapatikana wapi? Yaani kuwa na njaa ya Kazi unaomba omba Kazi bila hata kufanya tafiti kidogo juu ya huyo unayetaka akuajiri?! Aibu hii.
Samahani hivi kuna Km 470 kutoka Dar mpaka Arusha ?
Woga ndo unawaweka hapo mlipoasije kusema hukumwambia
Hahah Sina eti korosho sijalipwaUsipoelewa mtoa mada njoo nkueleweshe vzur pm uje na buku ya vocha lakn
Siwezi kukupangia cha kukoment your a free mind.
Mkuu Kuna namna mbali mbali za kupata information juu ya mahali fulani Kuna kazi,, umepewa deadline ya kuomba Sasa utaanza kufanya utafiti na muda una kusubiri? Acha mambo ya uswahili mkuuLakini ninayoyasema yana ukweli. Haukufanya tafiti yoyote juu ya huyu mwajiri mtarajiwa wako kabla ya kupeleka maombi ya ajira. Kama mwl uluyepitia mafunzo lazima ulielewe hili. Anyway; kila la kheri ktk intaviyuuu yako. Tuletee mrejesho basi
Mkuu Kuna namna mbali mbali za kupata information juu ya mahali fulani Kuna kazi,, umepewa deadline ya kuomba Sasa utaanza kufanya utafiti na muda una kusubiri? Acha mambo ya uswahili mkuu
Kiongoz nakusihi kama kuna kamuda bado pita kwanza pale migo kwa rasi simba ukalainishe koo kwanzaHaha mambo ya job mkuu si unajua lengo mkono uende kinywani
Dogo acha ligi unachoambiwa ni sahihi kitaalam unatakiwa uwe na abc za mwajiri. Wewe ndo kwanza unaanza kuulizia majengo yako wapi. wasomi wa sasa mnafundishwa nini huko shuleni.chaaa...Mkuu Kuna namna mbali mbali za kupata information juu ya mahali fulani Kuna kazi,, umepewa deadline ya kuomba Sasa utaanza kufanya utafiti na muda una kusubiri? Acha mambo ya uswahili mkuu
Ni kweli anacho ongea hiyo shulehiyo shule imejaa wazungu, wahindi waafrika ni wachache wale watoto wa matajiri na raia wa kigeni, niko arusha sasa hivi wamenipita wanafunz wa hiyo shule hakuna anaejua kiswahili kabisa, kama kiingereza chako ni cha ugoko utateseka sana
Master J hakusoma hapo,alisoma St COHiyo shule ali soma master j producer, ni kiwango sana bro ipo km chache sana kutoka jijini chuganian. karibu sana officer