Ndugu wasio na shukrani!

Wengine wanaanza kumchukia my wife wako kwamba ndiye anayezuia. Hapo ulisha wasaidia to the maximum, ukiwaambia wakuache nawe ujiweke sawa wanaanza majungu mbaya mbofu.

Oh yeah...wakati mwingine watu hutafuta scapegoat na kumdondoshea lawama na laana zote wawezazo!
 
Nikiwakumbuka the so called ndugu zangu, huwa najiuliza sijui kwanini imetokea mi ndugu yao...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…