Nyani Ngabu Platinum Member Joined May 15, 2006 Posts 98,019 Reaction score 142,905 Aug 19, 2016 Thread starter #81 chifu77 said: Wengine wanaanza kumchukia my wife wako kwamba ndiye anayezuia. Hapo ulisha wasaidia to the maximum, ukiwaambia wakuache nawe ujiweke sawa wanaanza majungu mbaya mbofu. Click to expand... Oh yeah...wakati mwingine watu hutafuta scapegoat na kumdondoshea lawama na laana zote wawezazo!
chifu77 said: Wengine wanaanza kumchukia my wife wako kwamba ndiye anayezuia. Hapo ulisha wasaidia to the maximum, ukiwaambia wakuache nawe ujiweke sawa wanaanza majungu mbaya mbofu. Click to expand... Oh yeah...wakati mwingine watu hutafuta scapegoat na kumdondoshea lawama na laana zote wawezazo!
Davion Delmonte Jr. JF-Expert Member Joined Oct 27, 2013 Posts 2,149 Reaction score 1,720 Aug 19, 2016 #82 Nikiwakumbuka the so called ndugu zangu, huwa najiuliza sijui kwanini imetokea mi ndugu yao...