Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,254
- 34,205
Nilicheki jana ulivyokua unamtusi ONTARIO , kwa kifupi amesaidia wengi wengine walikua hawana hata kazi akawapa kitengo pale mjengoni kwake!Nipatie ajira mkuu au nikope hizo hela samahani.
Nakumbuka kuna thread ya interveiw yake kuna kijana alimuomba kazi kwenye ule ule uzi na muda huo huo jamaa akamuita kazini, kuna lawyer alimuomba kazi jamaa akamtafutia kitengo!! na kuna mwingine alipewa mafunzo ya forex free of charge baada ya kuanzisha uzi wa kumuomba msaada!!
Now you can see huyu uliyekua unamponda jana leo wenda angekupa kazi na mshahara mnono kabisa tena bila longo longo!!
Kilichonishangaza ni kwamba kumbe na wewe ni kama akina nanii alafu badala ya kujifunza kwa walio fanikiwa unatumia muda mwingi kuwa kashifu na kutamani wawe kama wewe!!
Ni vyema tuka badilika maana unayemtusi leo kesho ndiye anaweza kuwa msaada wako!!
Kila la heri mkuu!!