Landcruiser
JF-Expert Member
- May 27, 2013
- 1,805
- 601
basi kulikuwa na bastola mbili
Na Ufoo ataendelea kuogelea kwenye raha ya milele ndani ya mali za Mushi alizopora zikagarimu maisha ya mama yake!!!!!!!!?????hakuna cha utata uyo mushi yuko anaogelea kwenye bwawa la moto kwa kitendo alichofanya
hili ni picha jingine jipyaaaaaa limeanza kumbe bi dada ni mjamzito astakhafurlah laazim!!!Hiyo mimba aliyonayo Ufo ni ya nani! Ndio beneficiary wa kadhia hii!
Watu wote walizuiwa kumwona isipokuwa ... ,duh! anatafuna pia nasikia tena kitambo,mzalendo wa uwekezaji mpaka kwa wajukuu.
Nukuu "... wakati mwili wa Mushi, aliyejiua kwa risasi na kumuua mama mkwe wake, Anastazia Saro pamoja na kumjeruhi mchumba wake Ufoo, ukiagwa..."
Uandishi katika Vyombo vyetu vya "Bongo", iwe katika Kishahili au katika "ng'eng'e" ni janga!
Isitoshe, Marehemu Mushi bado ni MTUHUMIWA wa kujeruhi, kuua na kujiua kwa risasi kwa sababu uchunguzi wa Tukio bado kukamilika.
Hivyo angalau ingesomeka "... wakati mwili wa Marehemu Mushi, anayetuhumiwa kumjeruhi kwa risasi Mzazi mwenzie, Ufoo Saro, kumuua kwa risasi Mama wa Ufoo na kisha kujiua mwenyewe kwa risasi, ukiagwa..."
Mkuu una hatari wewe ujue, haya bwana, kwahiyo unataka kusema kwamba nanii ndio kasababisha haya, mim isitaki kuamini bwanaWatu wote walizuiwa kumwona isipokuwa ... ,duh! anatafuna pia nasikia tena kitambo,mzalendo wa uwekezaji mpaka kwa wajukuu.
Strange! Risasi mbili utajipigaje? Behind the sene!
Hapa panaweza kuwa na mengi sana.tuvute subira tutaona,akina Msangi hawajaanza uchunguzi bado?au wanasubiri FBI waje kusaidia uchunguzi.
Hili swala wa si utata kwa kujipiga risasi mbili.kwanza tukio linaonesha huyu jamaa alikuwa na silaha yenye ku load more than 8 bullets maana yeye kajipiga 2 mkewe 2 mama mkwe 5 lakin kawaida ya risas inapoingia mwlinili ikikutana na damu mwili unatabioa ya kufa ganzi kwaiyo kama alijirenga kidevun ni dhahiri mwili ulipoanzakufa ganzi wakat mkono unashuka kidole kilikuwa bado na trigger ikashuti began maana ktk hali ya kawaida huwezi kujipiga began ukitegemea utakufa.
Lakin kwa ufo naye hatuambia palikuwa na kurupushani gani maana kwa risasi tano kwa mama yake na na bastola inavyoonekana ambayo ilitumika kutokana na capcity ya risasi zilizotoka japo hatujaambiwa walikuta risas ngap zkwenye magazine ni dhahisi sem automatic kiasi kwamba ndani ya sekunde 15 paka 20 alikuwa ametumia kumpiga mama yake sasa kwa wakati huo yeye alichukua defense gan au kuna nn kiliendelea
Hiyo mimba aliyonayo Ufo ni ya nani! Ndio beneficiary wa kadhia hii!
Kwa hiyo inaweza kuwa WAMEMMACHAME?