Ndugu hawa wako wapi?

Ndugu hawa wako wapi?

Ni kweli , Kagame anatisha , Sijui ! Labda awe Rais milele , unyama alioufanya ndani na nje ya Rwanda si wa kawaida .
Sisi sote tu waafrika watusi wahutu wasomali wangoni wakamba wamasai tusikubali kugawanywa.
 
WanaBodi,

Napenda kujua habari za wanasiasa wafuatao (yaani kwa sasa wako wapi na wanafanya nini?). Kwa nia nzuri kabisa kwa sababu wana jamii tumewamisi sana.

1. Isimail Aden Rage
2. Charles Keenja
3. Iddi Azan
4. Rostam Aziz
6. Abdul Rahman Kinana
7. Ritta Mlaki
8. Juma Othman Kapuya
9. Omar Ramadhan Mapuri
10. Augustino Lyatonga
11. Benedicto Mutungirehi
12. Christopher Sendeka
13. Seleman Kumchaya
Pia kuna hizi namba zilikuwa maarufu nazinapata kick ya kutosha katika serikali ya awamu ya nne
1) Mnyika
2) Godbless lema
3)Tundu Lissu
4) Zito Kabwe
5) Ananilea Nkya
6) Mchungaji Msigwa
7)Freeman Mbowe
8) Mchungaji Gwajima
9) Dr Ulimboka
 
Mleta Uzi alitaka kujua wako wapi si kumwongezea idadi na ukiongeza sema Yuko wapi. Mimi naomba nimsemee Bernard Kamillius Membe. Huyu mwanadiplomasia na kachero yupo anaendelea kuandika vitabu. Tayari Kati ya vitabu 4 kuhusu siasa na usalama katika Afrika anazoandika amekimaliza. Huyu mtu amekuwa ni msaada mkubwa kwa JPM katika masuala Fulani lakini soon atanitokeza.
 
Wakoloni weupe walitugawa ni kweli sasa wakoloni weusi nao..eti nawao.
Wakoloni weupe walitugawa....waafrika wenyewe tukajigawa tena ECOWAS SIJUI EAC MARA SADC .... TUKAJIGAWA KIKANDA SIJUI NYANDA ZA JUU KUSINI , MARA KANDA YA ZIWA...HAIKUTOSHA ....TUKAJIGAWA TENA KISIASA. .. TUTAJIGAWA MPAKA MWISHO DHAMBI HII HAIFUTIKI
 
Upo Dunia gani?huyu mzee wawatu(Kigoda) ni marehemu...hapa sasa ndio nimeamini jf inawakurupukaji.

Ndio maana nikatanguliza samahani. Mimi niliondoka Tanzania wakati wa utawala wa rais Mkapa, lakini siku hizi najitahidi kufuatilia habari za nyumbani.
 
Aden Rage alipigwa laana na Mwenyezi Mungu baada ya kushiriki kumshambulia kada wa cdm kule dodoma , yule jamaa ilikuwa auwawe lakini miujiza ya Mungu ilimuokoa
.....Nakumbuka alivyo koswa koswa na mawe....Maskini Aden. Simba ni kama kasahaulika vile...
 
Kila chenye mwanzo kina mwisho wake.

UKIANZA KUWAULIZIA TU, JUA MWISHO WAO ULISHAFIKA TANGU HAPO WALIPOANZA KUPOTEA.

TENDA WEMA NDUGU-DUNIA DUARA
 
Na hawa pia wako wapi? Natanguliza samahani kama wengine wametutoka

Daniel Yona
Njelu Kasaka
Mussa Nkhangaa
Abdallah Kigoda
Bakari Mbonde
Huyo danny lazima utakuwa unapishana naye pale sinza,maana ulizoea kumuona kavaa suti,sasa hivi yuko ndani ya suti ya blue na mabuti meupe na fagio mkononi,lazima umpite,hata ile miwani ya macho sidhani kama anavaa, akiwa adhabuni.
 
Back
Top Bottom