imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 61,236
- 98,403
Sisi sote tu waafrika watusi wahutu wasomali wangoni wakamba wamasai tusikubali kugawanywa.Ni kweli , Kagame anatisha , Sijui ! Labda awe Rais milele , unyama alioufanya ndani na nje ya Rwanda si wa kawaida .