Ng'wamapalala
JF-Expert Member
- Jun 9, 2011
- 6,808
- 6,500
KAMATI za Bunge zimetangazwa , ambapo wajumbe wa kamati mbili zilizowahi kutuhumiwa kwa rushwa, wamesambaratishwa.
Kwa mujibu wa orodha mpya ya wajumbe wa kamati hizo iliyotolewa jana na Ofisi ya Bunge, Kamati ya Hesabu za Serikali na ya Nishati na Madini zilizopata kutuhumiwa kwa rushwa, zimesambaratishwa.
Mbali na hatua hiyo, kwa maana ya wajumbe wake kusambazwa katika kamati zingine, aliyekuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Hesabu za Mashirika ya Umma, Zitto Kabwe, amepangwa kupambana na aliyekuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Hesabu za Serikali, John Cheyo.
Kusambaratishwa
Kamati ya Nishati na Madini iliyokuwa na wajumbe 25 ambao baadhi walituhumiwa kupokea rushwa ili kukwamisha Bajeti ya Wizara ya Nishati na Madini, imebakiwa na wajumbe watatu wa zamani.
Katika Kamati iliyopita, wajumbe walikuwa Selemani Zedi, aliyekuwa Mwenyekiti, Diana Chilolo, Makamu Mwenyekiti na John Mnyika.
Wengine walikuwa Yusuph Haji Khamis, Mariam Kisangi, Catherine Magige, Abia Nyabakari, Charles Mwijage, Yussuph Nassir, Christopher ole Sendeka, Dk Festus Limbu, Shaffin Sumar, Lucy Mayenga na Josephine Chagula.
Wengine ni Mwanamrisho Abama, David Silinde, Suleiman Nchambi Suleiman, Kisyeri Chambiri, Munde Abdallah, Sara Msafiri, Vicky Kamata, Mbarouk Ali, Athuman Mfutakamba na Pamela Palangyo.
Kwa sasa inaundwa na wajumbe wachache kuliko iliyopita akiwamo Victor Mwambalaswa, Saleh Pamba, David Silinde, Martha Mlata, Devotha Likokola, Raya Khamis, Murtaza Mangungu na Juma Njwayo.
Wengine ni Jerome Bwanausi, Richard Ndassa, Anne Kilango, Herbert Mntangi, Shaffin Sumar, Yussuf Haji Khamis na Riziki Lulida na wa zamani Chagula, Charles Mwijage na Mariam Kisangi.
Kamati ya Mrema
Kamati nyingine iliyosambaratishwa ni ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC), ambapo wajumbe walioteuliwa ni Deusderius Mipata, Filikunjombe, Asha Jecha na Lucy Owenya.
Wengine ni Esther Matiko, Cheyo, Zitto, Zainab Vulu, Ally Keissy, Zainab Kawawa, Kheri Ali Khamis, Faida Mohamed Bakari, Ismael Aden Rage, Modestus Kilufi, Abdul Marombwa, Gaudence Kayombo, Kombo Khamis Kombo na Catherine Magige.
Wajumbe wa zamani walikuwa Augustine Mrema, aliyekuwa Mwenyekiti, Iddi Azzan, Makamu Mwenyekiti; Riziki Saidi Lulinda, Zabein Mhita na Godfrey Zambi.
Wengine ni Subira Mgalu, Hasnain Murji, Susan Kiwanga, David Kafulila, Omary Badwel, Abdul Mteketa, Tauhida Nyimbo, Joseph Selasini, Kuruthum Mchuchuli, Maida Abdalah, Dk Cyril Chami.
Kamati hiyo, katika mikutano ya Bunge iliyopita, wajumbe wake walituhumiwa kujihusisha na vitendo vya rushwa huku mjumbe wake ambaye ni Mbunge wa Bahi, Badwel, akipandishwa kizimbani kwa tuhuma za kupokea rushwa na kesi yake bado inaendelea.
Aidha, katika orodha hiyo mpya, aliyekuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Hesabu za Mashirika ya Umma, Zitto na Makamu wake, Filikunjombe, wameingizwa kwenye Kamati ya Hesabu za Serikali ambayo aliyekuwa Mwenyekiti wake, Cheyo anaendelea kuwa kwenye Kamati.
Kutokana na mabadiliko hayo, katika uchaguzi wa viongozi wa kamati hizo unaotarajiwa kufanyika leo, mchuano mkali utakuwa baina ya Zitto na Cheyo katika nafasi ya uenyekiti kutokana na taratibu zilizopo kuonesha kuwa Kamati hiyo, huongozwa na mbunge kutoka chama cha upinzani.
Aidha, katika orodha hiyo inaonesha kuwa aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Miundombinu, Kilango, ameondolewa kwenye Kamati hiyo na kuingizwa Kamati ya Nishati na Madini ambayo wajumbe wake wa awali 25, takribani wote isipokuwa wanne wamehamishiwa kamati zingine.
Chanzo: HabariLeo | Mwandishi: Halima Mlacha | Machi 15, 2013
ORODHA YA UTEUZI WA WAJUMBE WA KAMATI ZA BUNGE
Kwa Mamlaka aliyopewa Spika na kanuni ya 113 ya Kanuni za kudumu za Bunge Toleo la 2007, uteuzi wa wajumbe wa kamati kwa kipindi kilichobaki cha uhai wa Bunge hili sasa umekamilika kama ilivyo kwenye orodha.
Madhumuni ya kuwapanga upya waheshimiwa Wabunge kwenye kamati mbalimbali ni kuwapatia fursa wabunge kadri inavyowezekana kujipatia ujuziu na uzoefu wa shughuli za Kamati tofauti na pia kwa kuzingatia masharti yaliyowekwa na kanuni za 113 (5)
Uteuzi huu unaanza leo tarehe 14 Machi, 2013, na kesho saa sita mchana tarehe 15 Machi, 2003 ni uchaguzi wa Wenyeviti wa kamati hizo katika kumbi mbalimbali zinavyoonyesha .
Imetolewa na Idara ya Habari, Elimu kwa Umma na Uhusiano wa Kimataifa
Ofisi ya Bunge
DAR ES SALAAM
14 MACHI, 2013
Uk. 2 wa kurasa 18
KAMATI YA KANUNI ZA BUNGE
_____________________
1 Mhe. Anne Semamba Makinda, MB (Spika)
2)Mhe. Job Yustino Ndugai, MB (N/Spika)
3)Mhe. Tundu Antiphas Mughway Lissu, Mb
4)Mhe. Andrew John Chenge, Mb
5) Mhe. Musa Azzan Zungu,Mb
6 Mhe. Dkt.Titus Mtengeya Kamani, Mb
7 Mhe. Jenista Joakim Mhagama, Mb
8 Mhe. William Mganga Ngeleja, Mb.
9 Mhe. Amina Abdallah Amour, Mb
10 Mhe. James Francis Mbatia, Mb
11 Mhe. Hamad Rashid Mohammed, Mb
12 Mhe. Jasson Samson Rweikiza, Mb
13 Mhe. Philapa Godifrey Mturano, Mb
14 Mhe. Anna Margareth Abdallah,Mb
15 Mhe. Christopher Ole-Sendeka, Mb
Uk. 3 wa kurasa 18
KAMATI YA HAKI, MAADILI NA MADARAKA YA BUNGE
_____________________
1.Mhe. Augustino Lyatonga Mrema, Mb
2.Mhe. Riziki Omar Juma, Mb
3.Mhe. Assumpter Nshunju Mshama, Mb
4.Mhe. Brig. Gen. Hassan Athuman Ngwilizi, Mb
5.Mhe. Agripina Zaituni Buyogera, Mb
6.Mhe. Said Juma Nkumba, Mb
7.Mhe. John Paul Lwanji, Mb
8. Mhe. Mch. Israel Yohana Natse, Mb
9.Mhe. Capt. John Zefania Chiligati, Mb
10.Mhe. Betty Eliezer Machangu, Mb
11.Mhe. Said Amour Arfi, Mb
12.Mhe. Gosbert Begumisa Blandes, Mb
13.Mhe. Augostino Manyanda Masele, Mb
14.Mhe. Dkt. Lucy Sawere Nkya, Mb
15.Mhe. Rashid Ali Abdallah, Mb
Uk. 4 wa kurasa 18
KAMATI YA MASUALA YA UKIMWI
______________________
1 Mhe. Said Suleiman Said,Mb
2 Mhe.Ahmed Ali Salum,Mb
3 Mhe. Maida Hamad Abdallah,Mb
4 Mhe.Lediana Mafuru Mung'ong'o ,Mb
5 Mhe. Maria Ibeshi Hewa, Mb
6 Mhe. Chiku Aflah Abwao, Mb
7 Mhe.Omary Ahmad Badwel, Mb
8 Mhe. Mbarouk Salim Ali, Mb
9 Mhe. Rashid Ali Omar, Mb
10 Mhe. Lameck Okambo Airo, Mb
11Mhe. Lucy Thomas Mayenga, Mb
12 Mhe. AnaMaryStella John Mallac, Mb
13 Mhe. Mch. Luckson Ndaga Mwanjale, Mb
14 Mhe. Mwanamrisho Taratibu Abama, Mb
15 Mhe.Diana Mkumbo Chilolo, Mb
16Mhe. Ignus Aloyce Malocha, Mb
17 Mhe. Saidi Ally Selemani Bungara, Mb
18 Mhe. Iddi Mohamed Azzan, Mb
19Mhe. Neema Mgaya Hamid Mb
20 Mhe. Sara Msafiri Ally, Mb
21 Mhe. Dkt. Engelbert Faustine Ndugulile, Mb
22Mhe. Maulidah Anna Valerian Komu Mb
Uk. 5 wa kurasa 18
KAMATI YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA
__________________
1 Mhe. Edward Ngoyai Lowassa, Mb
2 Mhe. Anastazia James Wambura, Mb
3 Mhe.John Magale Shibuda, Mb
4 Mhe. Khalifa Suleiman Khalifa, Mb
5 Mhe. Muhammad Ibrahimu Sanya, Mb
6 Mhe. Leticia Mageni Nyerere, Mb
7 Mhe.Thuwayba Idrisa Muhamed, Mb
8 Mhe. Susan Anselm Jerome Lymo, Mb
9 Mhe.Faith Mohamed Mitambo,Mb
10 Mhe.Juma Selemani Nkamia, Mb
11 Mhe. Betty Eliezer Machangu, Mb
12 Mhe. Selemani Saidi Jafo,Mb
13 Mhe. Mussa Azzan Zungu,Mb
14 Mhe.Salim Hemed Khamis,Mb
15 Mhe. Eng. Yussuf Hamad Masauni,Mb
Uk. 6 wa kurasa 18
KAMATI YA BAJETI
____________________
1Mhe. Andrew John Chenge, Mb
2Mhe. Christine Mughway Lissu,Mb.
3Mhe. Kidawa Hamid Saleh,Mb
4Mhe. Mansoor Shaniff Hiran, Mb
5Mhe. Saada Mukya Salum, Mb
6Mhe. Amina Abdallah Amour, Mb
7 Mhe. Joseph Roman Selasini, Mb
8Mhe. Josephat Sinkamba Kandege,Mb
9Mhe. Dkt. Cyril August Chami,Mb
10Mhe. Dkt. Bulugu FetusLimbu,Mb
11Mhe. Mwigulu Lameck Nchemba, Mb
12Mhe. Assumpter N. Mshama,Mb
13Mhe.James Francis Mbatia, Mb
14Mhe. Beatrice Matumbo Shellukindo, Mb1
5 Mhe. Hamad Rashid Mohamed, Mb
Uk. 7 wa kurasa 18
KAMATI YA KATIBA, SHERIA NA UTAWALA
____________________________________________
1 Mhe . Abas Zuberi Mtemvu, Mb
2 Mhe. Tundu Antiphas Mughway Lissu, Mb
3 Mhe. Gosbert Bagumisa Blandes
4 Mhe. Pindi Hazara Chana,Mb
5 Mhe. Nimrod Elirehema Mkono,Mb
6 Mhe. Felix Francis Mkosamali,Mb
7 Mhe. Nyambari Chacha Mariba Nyangwine, Mb
8 Mhe. Fakharia Khamis Shomari, Mb
9 Mhe. Rukia Kassim Ahmed, Mb
10 Mhe. Jaku Hashim Ayoub, Mb
11 Mhe. Mustapha Boay Akunaay, Mb
12 Mhe. Ramadhan Haji Saleh, Mb
13 Mhe. Jasson Samson Rweikiza, Mb
14 Mhe. William Mganga Ngeleja,Mb
15 Mhe. Deogratias Aloyce Ntukamazina , Mb
16 Mhe. Ali Khamis Seif, Mb
17 Mhe. Mariam Reuben Kasembe, Mb
18 Mhe. Abdallah Sharia Ameir, Mb
19 Mhe. Halima James Mdee, Mb
Uk. 8 wa kurasa 18
KAMATI YA UCHUMI, VIWANDA NA BIASHARA
1 Mhe. Mahmoud Hassan Mgimwa,Mb
2 Mhe. Eng. Habib Juma Mnyaa, Mb
3 Mhe. Margaret Agness Mkanga,Mb
4 Mhe. Haji Khatib Kai,Mb
5 Mhe.Ester Lukago Minza Midimu,Mb
6 Mhe. Hassein Nassor Amar,Mb
7 Mhe. Ahmed Juma Ngwali, Mb
8 Mhe. Luhaga Joelson Mpina Mb
9 Mhe. Dkt. Titus Mlengeya Kamani, Mb
10 Mhe. Joyce John Mukya, Mb1
1 Mhe. David Zakaria Kafulila, Mb
12 Mhe. Shawana Bukhet Hassan,Mb
13 Mhe. Said Mussa Zubeir, Mb
14 Mhe. Vicky Pascal Kamata, Mb
15 Mhe. Naomi Ami Mwakyoma Kaihula,Mb
16 Mhe.Khatibu Said Haji,Mb
17 Mhe. Freeman Aikael Mbowe, Mb
19 Mhe.Amina Mohamed Mwidau,Mb
20 Mhe. Josephine Jonson Genzabuke, Mb
21 Mhe. Dunstun Luka Kitandula,Mb
22 Mhe. Mohamed Hamis Misanga, Mb
Uk. 9 wa kurasa 18
KAMATI YA ULINZI NA USALAMA
____________________
1 Mhe. Brig.Gen. Hassan Athumani Ngwilizi,Mb
2 Mhe. Anna Margreth Abdallah,Mb
3 Mhe. Dkt. Muhamed Seif Khatib, Mb
4 Mhe. Capt. John Zefania Chiligati, Mb
5 Mhe. Augustino Manyanda Masele, Mb
6 Mhe. Masoud Abdallah Salim, Mb
7 Mhe. Mussa Hassan Mussa, Mb
8 Mhe. Omar Rashid Nundu,Mb
9 Mhe. Eng. Stella Martin Manyanya, Mb
10 Mhe. Cynthia Hilda Ngoye, Mb
11 Mhe. Henry Daffa Shekiffu, Mb
12 Mhe.Vita Rashid Mfaume Kawawa, Mb
13 Mhe. David Mciwa Mallole,Mb
14 Mhe. Hamad Ali Hamad, Mb
15 Mhe. Rachel Mashishanga Robert, M
b16 Mhe. Dkt. Augustino Lyatonga Mrema, Mb
17 Mhe. Vincent Josephat Nyerere, Mb
Uk. 10 wa kurasa 18
KAMATI YA HUDUMA ZA JAMII
________________________
1 Mhe.Fatuma Abdallah Mikidadi, Mb
2 Mhe. Ritta Louise Mlaki, Mb
3 Mhe. Riziki Omari Juma, Mb
4 Mhe. Salome Daudi Mwambu, Mb
5 Mhe. Ali Juma Haji, Mb
6 Mhe. Faki Haji Makame, Mb
7 Mhe. Margareth Simwanza Sitta, Mb
8 Mhe. Ezekia Dibogo Wenje, Mb
9 Mhe. Agripina Zaituni Buyogera, Mb
10 Mhe. Juma Sururu Juma, Mb
11 Mhe. Mch. Dkt. Getrude Pangalile Rwakatare, Mb
12 Mhe. Abia Muhama Nyabakari, Mb
13 Mhe. Zabein Mhaji Mhita,Mb
14 Mhe. Mohamed Gulam Dewji, Mb
15 Mhe. Dkt. Anton Gervas Mbasa, Mb
16 Mhe. Steven Hilari Ngonyani,Mb
17 Mhe. Martha Jachi Umbulla, Mb
18 Mhe. Prof. Kulikoyela Kanalwanda Kahigi, Mb
19 Mhe. Asnain Muhamed Murji, Mb
20 Mhe. Cecilia Daniel Paresso, Mb
21 Mhe. Abdulaziz Muhamed Aboud, Mb
Uk. 11 wa kurasa 18
MAENDELEO YA JAMII
________________________
1 Mhe. John Damiano Komba, Mb
2 Mhe. Moza Abedi Saidy,Mb
3 Mhe. Joseph Osmund Mbilinyi, Mb
4 Mhe. Mohamed Said Mohammed, Mb
5 Mhe. Nasib Suleiman Omar, Mb
6 Mhe. Mustafa Haidi Mkulo,Mb
7 Mhe. Jenista Joakim Mhagama, Mb
8 Mhe. Salum Halfan Barwany,Mb
9 Mhe. Kiumbwa Makame Mbaraka
10 Mhe. Salvatory Naluyaga Machemuli,Mb
11 Mhe. Livingstone Joseph Lusinde, Mb
12 Mhe. Saidi Mohamed Mtanda,Mb
13 Mhe. Agness Elias Hokororo, Mb
14 Mhe. Godbless Jonathan Lema, Mb
15 Mhe.Mary Pius Chatanda, Mb
16 Mhe.Juma Othman Ali, Mb
17 Mhe. Jaddy Simai Jaddy, Mb
18 Mhe. Dkt. Maua Abeid Daftar, Mb
19 Mhe. Albert Obama, Ntabaliba, Mb
20 Mhe.Rose Kamili Sukum, Mb
21 Mhe.Rosemary Kasimbi Kirigini, Mb
Uk. 12 wa kurasa 18
KAMATI YA KILIMO, MIFUGO NA MAJI
_________________________________
1.Mhe. Prof. David Homeli Mwakyusa, Mb
2.Mhe. Dkt. Christine Gabriel Ishengoma, Mb
3.Mhe. Asaa Othman Hamad, Mb
4.Mhe. Abdulsalaam Selemani Ameir, Mb
5.Mhe. Said Juma Nkumba, Mb
6.Mhe. Abdllah Haji Ali, Mb
7.Mhe. Haji Juma Sereweji,Mb
8.Mhe. Lolensia Masele Bukwimba, Mb
9.Mhe. Mch. Peter Simon Misigwa, Mb
10.Mhe. Prof. Peter Mahmudu Msolla, Mb
11.Mhe. Nameloki Edward Moringe Sokoine, Mb
12.Mhe. Dkt. Lucy Sawere Nkya, Mb
13.Mhe. Sylvestry Francis Koka, Mb
14.Mhe. Kheri Khatib Ameir, Mb
15.Mhe.Meshack Jeremia Opulukwa,Mb
16.Mhe. Philemon Kiwelu Ndesamburo, Mb
17.Mhe. Jitu Vrajlal Soni, Mb
18.Mhe. Sadifa Juma Khamis, Mb
19.Mhe.Donald Kelvin Max, Mb
20.Mhe. Moshi Selemani Kakoso, Mb
21.Mhe. Subira Khamis Mgalu, Mb
22.Mhe.Magdalena Hamisi Sakaya, Mb
Uk. 13 wa kurasa 18
KAMATI YA MIUNDOMBINU
_____________________
1 Mhe. Peter Joseph Serukamba, Mb
2 Mhe. Maryam Salum Msabaha, Mb
3 Mhe. Clara Diana Mwatuka, Mb
4 Mhe. Zamda Shamte Madabida, Mb
5 Mhe. Innocent Edward Kalogeris, Mb
6 Mhe. Hussein Mussa Mzee, Mb
7 Mhe. Aliko Nikusuma Kibona, Mb
8 Mhe. Said Ramadhani Bwanamdogo, Mb
9 Mhe. Zahra Ali Hamad, Mb
10 Mhe. Ahmed Mabkhut Shabiby,Mb
11 Mhe. Dkt. Pudenciana Wilfred Kikwembe, Mb
12 Mhe.Mussa Haji Kombo, Mb
13 Mhe. Prof. Juma Athuman Kapuya, Mb
14 Mhe. Mtutura Abdallah Mtutura, Mb
15 Mhe. Abdul Rajab Mteketa, Mb
16 Mhe. Suleiman Masoud Nchambi, Mb
17 Mhe. Saidi Amour Arfi, Mb
18 Mhe. Eng. Ramo Matala Makani, Mb
19 Mhe. Rebecca Michael Mngodo, Mb
20 Mhe. Elizabeth Nkunda Batenga, Mb
Uk. 14 wa kurasa 18
KAMATI YA HESABU ZA SERIKALI
___________________
1 Mhe. Deusiderius John Mipata, Mb
2 Mhe. Deo Haule Filikunjombe, Mb
3 Mhe. Asha Mshimba Jecha, Mb
4 Mhe. Lucy Philemon Owenya, Mb
5 Mhe.Ester Nicholas Matiko, Mb
6 Mhe. John Momose Cheyo, Mb
7 Mhe. Kabwe Zitto Zuberi, Mb
8 Mhe.Zainab Matitu Vulu, Mb
9 Mhe. Ally Keissy Mohamed, Mb
10 Mhe. Zainab Rashid Kawawa, Mb
11 Mhe. Kheri Ali Khamis, Mb
12 Mhe. Faida Mohamed Bakari, Mb
13 Mhe. Ismael Aden Rage,Mb
14 Mhe.Modestus Dickon Kilufi, Mb
15 Mhe. Abdul Jabir Marombwa, Mb
16 Mhe.Gaudence Casssian Kayombo, Mb
17 Mhe. Kombo Khamis Kombo, Mb
18 Mhe. Catherine Valentine Magige, Mb
Uk. 15 wa kurasa 18
KAMATI YA HESABU ZA SERIKALI ZA MITAA
_______________________________________
1 Mhe. Tauhida Cassian Galosi Nyimbo, Mb
2 Mhe. Dunstan Daniel Mkapa, Mb
3 Mhe. Azza Hillal Hamad, Mb
4 Mhe. Yahya Kassim Issa, Mb
5 Mhe. Menrad Lutengano Kigola,Mb
6 Mhe. Bahati Ali Abeid, Mb
7 Mhe. Kulthum Jumanne Mchuchuli, Mb
8 Mhe. Rajab Mbarouk Mohammed,Mb
9 Mhe. Yusuph Abdallah Nassir, Mb
10 Mhe. Philipa Geofrey Mturano, Mb
11 Mhe. Eustas Osler Katagira, Mb
12 Mhe. Muhonga Said Ruhwanywa, Mb
13 Mhe. Munde Tambwe Abdallah, Mb
14 Mhe. Ezekiel Magolyo Maige,Mb
15 Mhe. Mch. Israel Yohana Natse, Mb
16 Mhe. Alfaxard Kange Lugola, Mb
17 Mhe. Felista Aloyce Bura, Mb
18 Mhe.Suleiman Jumanne Zedi, Mb
Uk. 16 wa kurasa 18
KAMATI YA TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
_________________________
1 Mhe. John Paul Lwanji,Mb
2 Mhe. Hamis Andrea Kigwangalla,Mb
3Mhe.Godfrey Weston Zambi, Mb
4 Mhe. Highness Samson Kiwia, Mb
5 Mhe. Benardetha Kasabago Mushashu, Mb
6 Mhe. Asha Mohamed Omari, Mb
7 Mhe. Dkt. Kebwe Stephen Kebwe, Mb
8 Mhe. Rosweeter Faustine Kasikila, Mb
9 Mhe. Christopher Olonyokie Ole-Sendeka, Mb
10 Mhe. Eugen Elishininga Mwaiposa, Mb
11 Mhe. Rashid Ali Abdallah, Mb
12 Mhe. Eng. Athuman Rashid Mfutakamba, Mb
13 Mhe.Pauline Gekul,Mb
14 Mhe. Sabreena Hamza Sungura,Mb
15 Mhe. Mkiwa Adam Kimwanga, Mb
16 Mhe.Mariam Salum Mfaki, Mb
17 Mhe. Moses Joseph Machali, Mb
18 Mhe. Sylvester Masele Mabumba,Mb
Uk. 17 wa kurasa 18
KAMATI YA NISHATI NA MADINI
__________________________
1 Mhe. Victor Kilasile Mwambalaswa, Mb
2 Mhe. Saleh Ahmed Pamba, Mb
3 Mhe. Josephine Tabitha Chagulla Mb
4 Mhe. David Ernest Silinde, Mb
5 Mhe. Martha Moses Mlata, Mb
6 Mhe. Devotha Mkuwa Likokola, Mb
7 Mhe. Raya Ibrahim Khamis, Mb
8 Mhe. Mariam Nassor Kisangi, Mb
9 Mhe.Murtaza Ally Mangungu, Mb
10 Mhe. Juma Abdallah Njwayo, Mb
11 Mhe. Jerome Dismas Bwanausi, Mb
12 Mhe. Richard Mganga Ndassa Mb
13 Mhe. Anne Kilango Malecela , Mb
14 Mhe. Charles John Paul Mwijage, Mb
15 Mhe. Herbert James Mntangi, Mb
16 Mhe. Shaffin Ahmedali Sumar, Mb
17 Mhe. Yussuf Haji Khamis, Mb
18 Mhe. Riziki Saidi Lulida, Mb
Uk. 18 wa kurasa 18
KAMATI YA ARDHI, MALIASILI NA MAZINGIRA
_________________________________
1. Mhe. James Daud Lembeli, Mb
2. Mhe. Abdulkarim Esmail Hassan Shah, Mb
3. Mhe. Sylvester Mhoja Kasulumbayi,Mb
4. Mhe. Zakia Hamdani Meghji,Mb
5. Mhe. Susan Limbweni Aloyce Kiwanga,Mb
6. Mhe. Dkt. Mary Machuche Mwanjelwa, Mb
7. Mhe. Muhamad Amour Chomboh, Mb
8. Mhe. Waride Bakar Jabu, Mb
9. Mhe. Kaika Saning'o Telele, Mb
10. Mhe. Amina Andrew Clement,Mb
11. Mhe. Ester Amos Bulaya, Mb
12. Mhe. John John Mnyika, Mb
13. Mhe. Michael Lekule Laizer, Mb
14. Mhe. Mwanakhamis Khasim Said, Mb
15. Mhe. Salim Hemed Khamis, Mb
16. Mhe. Al-Shymaa Kwegyr, Mb
17. Mhe. Grace Sindato Kiwelu, Mb
18. Mhe. Salim Abdullah Turky, Mb
19. Mhe. Abuu Hamoud Juma, Mb
20. Mhe. Kisyeri Werema Chambiri, Mb
Angalizo:
Let's the conspiracy begin