Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,521
- 96,267
Umemsahau Juma Nkumba, samuel sitaKwa kuongezea tu..... Ezekieli wenje, James Lembeli, David Kafulila, Wasira, H. Kiwia...... Felix Mkosamali
Umemsahau Juma Nkumba, samuel sitaKwa kuongezea tu..... Ezekieli wenje, James Lembeli, David Kafulila, Wasira, H. Kiwia...... Felix Mkosamali
Chaliiiiiiiiiiiiiiii...Tuendeleze orodha: Assah Mbene, Muhingo Rweyimamu, Salva Rwey-Imamu, Novel a tour us Makunga, Elizabeth Chalamila, Gabri Ndyerumaki, Felix Sunzu, Imaa Okwii, Omar Mapuri, J J Okocha....
Enhee, Chalii wangu, sema!Chaliiiiiiiiiiiiiiii
WanaBodi,
Napenda kujua habari za wanasiasa wafuatao (yaani kwa sasa wako wapi na wanafanya nini?). Kwa nia nzuri kabisa kwa sababu wana jamii tumewamisi sana.
1. Isimail Aden Rage
2. Charles Keenja
3. Iddi Azan
4. Rostam Aziz
6. Abdul Rahman Kinana
7. Ritta Mlaki
8. Juma Othman Kapuya
9. Omar Ramadhan Mapuri
10. Augustino Lyatonga
11. Benedicto Mutungirehi
12. Christopher Sendeka
13. Seleman Kumchaya
Aden Rage alipigwa laana na Mwenyezi Mungu baada ya kushiriki kumshambulia kada wa cdm kule dodoma , yule jamaa ilikuwa auwawe lakini miujiza ya Mungu ilimuokoaWanaBodi,
Napenda kujua habari za wanasiasa wafuatao (yaani kwa sasa wako wapi na wanafanya nini?). Kwa nia nzuri kabisa kwa sababu wana jamii tumewamisi sana.
1. Isimail Aden Rage
2. Charles Keenja
3. Iddi Azan
4. Rostam Aziz
6. Abdul Rahman Kinana
7. Ritta Mlaki
8. Juma Othman Kapuya
9. Omar Ramadhan Mapuri
10. Augustino Lyatonga
11. Benedicto Mutungirehi
12. Christopher Sendeka
13. Seleman Kumchaya
Watu wenye asili ya rage huwa hawana huruma hata kidogoAden Rage alipigwa laana na Mwenyezi Mungu baada ya kushiriki kumshambulia kada wa cdm kule dodoma , yule jamaa ilikuwa auwawe lakini miujiza ya Mungu ilimuokoa
Sijawahi kuona mwanasiasa uchwara kama huyu.10. Augustino Lyatonga
acha waisome namba, wakati wanaimba walijua wanawaimbia WasomaliWanaBodi,
Napenda kujua habari za wanasiasa wafuatao (yaani kwa sasa wako wapi na wanafanya nini?). Kwa nia nzuri kabisa kwa sababu wana jamii tumewamisi sana.
1. Isimail Aden Rage
2. Charles Keenja
3. Iddi Azan
4. Rostam Aziz
6. Abdul Rahman Kinana
7. Ritta Mlaki
8. Juma Othman Kapuya
9. Omar Ramadhan Mapuri
10. Augustino Lyatonga
11. Benedicto Mutungirehi
12. Christopher Sendeka
13. Seleman Kumchaya
Mbona kagame pia ni haohao?Watu wenye asili ya rage huwa hawana huruma hata kidogo
Ni kweli , Kagame anatisha , Sijui ! Labda awe Rais milele , unyama alioufanya ndani na nje ya Rwanda si wa kawaida .Mbona kagame pia ni haohao?
Upo Dunia gani?huyu mzee wawatu(Kigoda) ni marehemu...hapa sasa ndio nimeamini jf inawakurupukaji.Na hawa pia wako wapi? Natanguliza samahani kama wengine wametutoka
Daniel Yona
Njelu Kasaka
Mussa Nkhangaa
Abdallah Kigoda
Bakari Mbonde