Ndugu Harris Kapiga

Status
Not open for further replies.
de locci huu sasa ndio balaa kabisa ..hahaa jamaa yako kachambuliwa kama karanga humu .. yaani watu wana file lake tangu akiwa st.Mary huko kisha akaenda kisha akafukuzwa kanisani kwa Rwakatale kwa tuhuma zakuliwa kisamvu".. akaenda praise power napo akaharibu kwa tuhuma hizo hizo za kutatuliwa nyuzi za marinda ".... napo akafukuzwa ndio akachukuliwa na CMG .. inshort jamaa anatia kinyaa
 
Duh. Nashawishika kuanza kuamini. Ila huyu mtangazaji anakipaji sana cha kuchambua neno la Mungu. Ila ndio hivyo tena binadamu wote sio wakamilifu. Kila mtu ana madhaifu yake. Mtu akiwa mkate wa BOFLO ni dhahiri Mungu alimpa hormone nyingi za kike. Inasikitisha kwakweli
 
Duuh!
Huu uzi umenifungua. Kuna wamkati alikuwa anafanya kazi Praise Power, alikuwa kiongozi fulani... Nikasoma kwenye gazeti moja la udaku, kuwa kuna mtangazaji wa redio ya mama Rwakatare ni shoga, Mama kaambiwa muda mrefu lakini hachukui hatua. Tena wakasema jina lake ni HK. Wakati huo kulikuwa na HK wawili, wenyewe walikuwa wanajiita HK1 na HK2. Baadaye nikasikia alikuja kutimuliwa ingawa sikujua kwa kosa gani.

Pia nilishamuona akiwa MC katika sendoff fulani, kama alivyosema mtoa mada, he is not man enough! Na huko kutinda nyusi hata kama mwanaume unajipenda, unafanya scrub, message, unajichubua na mazagazaga yote ya wanaume wa .com, lakini kutinda nyusi kwa staili ya kike, kwangu ni hapana, itatufanya tuamini yanayosemwa! Kujipenda gani huko? Tena ukijua kabisa wewe ni mpendwa, tena kazaliwa katika familia ya kichungaji sijui kiaskofu, yaani ni wale waliokulia madhabahuni! Najua yuko humu, anadharaulisha wazazi wake, mke wake, watoto wake, kanisa lake na wote waliokaribu nawe. Au la hawezi, atangaze tu biashara, ijulikane wazi....
Makaburi haya
 
Kaka kujipenda hadi ukatinda nyusi kama mwanamke mmmmh hapo pana ulakini, sio kila punga hana uwezo wa kuzalisha miaka ya 90's nimefanya kazi kwenye shirika moja la umma kulikuwa na bwana mmoja anafanya kazi na mkewe offisi moja amini usiamini huyo papa alikuwa punga na chakuchelesha alikuwa anatembea na mwamnaume mwenzie wanaefanya kazi wote na mkewe nae akawa anatembea na mtu wa hapohapo kazini.

Kitu walichokifanya ni wale waliokuwa wanatembea na mke na mme wakawa marafiki sasa mmoja wao akiwa na hamu na mpenzi wake wanapanga kila mtuanamchukua wake wanatoka ila yule anaye tembea na mama anakuwa wakwanza kumrelease mama ili asishtukiwe then baada ya saa moja baba nae anaruhusiwa kurudi nyumbani. na hii habari karibu watu wote walikuwa wanajua pale ofisini ila kwao iliwekwa kama siri kubwa sana, huyo mama alizaa watoto 3 na huyo baba ambaye ni mume wa ndoa ya kanisani. hivyo basi usimsemee mwenzio kwani hujui undani wake
hao walitisha!
 
Mmh basi juzi baada ya kusoma habari hii nilipishana naye pale Mugabe, basi mbele yake kulikuwa na gari kama limeziba njia kiaina, basi HK alimtazama kwa dharau sana yule kaka na Mark II yake. Mhh nikasema kalidharau gari au dreva wa gari. Nadhani alidharau dreva, manaa gari yake mwenyewe ilikuwa hizi ''baby walker'' za siku hizi ambazo kwetu Kimara ukikwama kwenye pothole vijana watano wanainyanyua juu na kukuvusha huku wewe na mkeo mkiwa ndani yake......
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom