Albedo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 5,559
- 1,452
Kama kiongozi wa Bunge nilitarajia Ndugu Job Ndugai awe Neutral na Asimamie Kanuni bila Kujali Mbunge anatoka Chama Gani. Ndugai ametetea Maneno ya kuudhi yaliyotolewa na Sitta dhidi ya Wabunge wa Upinzani, Ndugai ameyaunga mkono na kuyapa Uzito maneno hayo ( Namuomba tu asiwe Mkali akisikia Maneno kama hayo kutoka Upande mwingine wa Chama).
Ndugai aidha hajui majukumu ya Speaker au Amelewa Ukada lakini Namuambia Ndugai Wananchi wanaangalia Bunge na wanaona Namna gani ulivyojika Userikali na Kutetea Kila Uozo unaotolewa na CCM
Ndugai analifanya bunge kukosa Staha kabisa.
Ndugai Joho la Speaker linakupwaya ni Bora Ulivue
Ndugai aidha hajui majukumu ya Speaker au Amelewa Ukada lakini Namuambia Ndugai Wananchi wanaangalia Bunge na wanaona Namna gani ulivyojika Userikali na Kutetea Kila Uozo unaotolewa na CCM
Ndugai analifanya bunge kukosa Staha kabisa.
Ndugai Joho la Speaker linakupwaya ni Bora Ulivue