D DUBE JF-Expert Member Joined Apr 29, 2012 Posts 253 Reaction score 241 May 25, 2013 #61 Ana matatizo huyo ndugai,ajitambui tu,serikali ijayo hana chake ata kama atashida ubunge huko kwao,ataishia ubunge tu
Ana matatizo huyo ndugai,ajitambui tu,serikali ijayo hana chake ata kama atashida ubunge huko kwao,ataishia ubunge tu
U ungonella wa ukweli JF-Expert Member Joined Mar 27, 2012 Posts 4,210 Reaction score 556 May 25, 2013 #62 Nadhani meseji imefika kwake, wana kongwa kuchagua maccm ni jangwa kwa köngwa yenyewe na taifa kiujumla!
Nadhani meseji imefika kwake, wana kongwa kuchagua maccm ni jangwa kwa köngwa yenyewe na taifa kiujumla!
D donge Senior Member Joined Apr 7, 2011 Posts 129 Reaction score 67 May 25, 2013 #63 Nimeipenda sana hii habari,maana jamaa anajiona yeye ndiye mfalme wa jimbo hilo,sasa habari ndiyo hiyo.
Nimeipenda sana hii habari,maana jamaa anajiona yeye ndiye mfalme wa jimbo hilo,sasa habari ndiyo hiyo.
segwanga JF-Expert Member Joined Mar 16, 2011 Posts 2,788 Reaction score 731 May 25, 2013 #64 Atajuta kutokana na uamuzi wake wa kujitungia
Deshmo JF-Expert Member Joined Dec 20, 2012 Posts 4,820 Reaction score 4,264 May 25, 2013 #65 Alfu Lela Ulela said: Source? Click to expand... radio uhuru
KIJOME JF-Expert Member Joined Jun 7, 2012 Posts 3,084 Reaction score 733 May 25, 2013 #66 Mkataeni kabisa huyu ndung'ai hana lolote zaidi ya mitunguli anayotegemea...kwa taarifa yake nguvu ya umma ni zaidi ya tunguli.....
Mkataeni kabisa huyu ndung'ai hana lolote zaidi ya mitunguli anayotegemea...kwa taarifa yake nguvu ya umma ni zaidi ya tunguli.....
Ye Soya JF-Expert Member Joined Nov 24, 2011 Posts 237 Reaction score 249 May 25, 2013 #67 Mndengereko said: Duh wewe una balaa,hyo id 2 nthng else!!!! Click to expand... mi tu nimependa hiyo sign yako...unasema ati...''ukiona ndoto zako hazijatimia endelea kulala!!!'
Mndengereko said: Duh wewe una balaa,hyo id 2 nthng else!!!! Click to expand... mi tu nimependa hiyo sign yako...unasema ati...''ukiona ndoto zako hazijatimia endelea kulala!!!'
K Kisimbusi Senior Member Joined Jan 27, 2013 Posts 128 Reaction score 41 May 25, 2013 #68 Freedom is coming!