Chadema ni chama kinachoendeshwa katika misingi ya kilaghai...
we una mtindio wa ubongo wahi kwa profesa matuja kabla hujaharibikiwa zaidiAnasema janja yao ni hofu kuwa bunge la katiba wabunge CUF wakiungana na wawakilishi wa znz ambao nao watakuja bunge la ktiba watakuwa wengi na hivo kuchukua nafasi ya kambi rasmi ya upinzani wakati wa hilo bunge la katiba. CDM wanalijua hilo ndo maana wanajaribu kucheza mchezo ili isiwe hivo waendelee kuwa kambi rasmi. Lissu povu linamtoka kumbe sababu hatakuwa na nafasi ya kusikika! chezea siasa!
ujinga m2pu
Uwsh nkupe like bas tu natumia simu.Nyie andikeni porojo tu! Sisi kibano chetu ni kwa Mwenyekiti wenu. Mdanganyeni kadiri mnavyo weza na hasa mnapo jifungia ndani pale Dodoma.
Mwisho wa siku anajua ISANGA atakwenda peke yake. Bahati nzuri ameshaling'amua hilo. Na ndio maana anapiga kelele kuhusu ICC maana anajua ni MTEJA MTARAJIWA.
Huyu mleta mada nafikiri amebugi tu,,, ndo maana hajaweka hata chanzo cha habari hiyo.siamini kama ndugai anaweza kutoa kauli hizo.km kutakuwa na vyama kwenye bunge hili je wale wajumbe 166 wasio na vyama watakwenda kambi gani?Hivi kwenye bunge la katiba kuna vya upinzani na tawala tena?!!! Maana vile nijuavyo litakuwa bunge neutral (literally), ambalo zaidi ya wabunge hawa wa kupitia vyama, kutakuwa pia na wajumbe watakaokuwa wameteuliwa kuwakilisha taasisi mbali mbali ambazo hazihusiani na vyama...
Hivi ni kwa nini akina ndugai na w. malecela wanauweka huu mchakato wa katiba ki-ccm vs CDM, wakati katiba itakuwepo hata kama hivyo vyama vita-expire?!!!
Huyu mleta mada nafikiri amebugi tu,,, ndo maana hajaweka hata chanzo cha habari hiyo.siamini kama ndugai anaweza kutoa kauli hizo.km kutakuwa na vyama kwenye bunge hili je wale wajumbe 166 wasio na vyama watakwenda kambi gani?
Anasema janja yao ni hofu kuwa bunge la katiba wabunge CUF wakiungana na wawakilishi wa znz ambao nao watakuja bunge la ktiba watakuwa wengi na hivo kuchukua nafasi ya kambi rasmi ya upinzani wakati wa hilo bunge la katiba. CDM wanalijua hilo ndo maana wanajaribu kucheza mchezo ili isiwe hivo waendelee kuwa kambi rasmi. Lissu povu linamtoka kumbe sababu hatakuwa na nafasi ya kusikika! chezea siasa!
Anasema janja yao ni hofu kuwa bunge la katiba wabunge CUF wakiungana na wawakilishi wa znz ambao nao watakuja bunge la ktiba watakuwa wengi na hivo kuchukua nafasi ya kambi rasmi ya upinzani wakati wa hilo bunge la katiba. CDM wanalijua hilo ndo maana wanajaribu kucheza mchezo ili isiwe hivo waendelee kuwa kambi rasmi. Lissu povu linamtoka kumbe sababu hatakuwa na nafasi ya kusikika! chezea siasa!
Anasema janja yao ni hofu kuwa bunge la katiba wabunge CUF wakiungana na wawakilishi wa znz ambao nao watakuja bunge la ktiba watakuwa wengi na hivo kuchukua nafasi ya kambi rasmi ya upinzani wakati wa hilo bunge la katiba. CDM wanalijua hilo ndo maana wanajaribu kucheza mchezo ili isiwe hivo waendelee kuwa kambi rasmi. Lissu povu linamtoka kumbe sababu hatakuwa na nafasi ya kusikika! chezea siasa!
Na mkulu wa kaya kawaabisha wote, vox populi vox deiukistaajabu ya ndugai ya wasirana lukuvi utayakinai
Chadema ni chama kinachoendeshwa katika misingi ya kilaghai...
Huyu mleta mada nafikiri amebugi tu,,, ndo maana hajaweka hata chanzo cha habari hiyo.siamini kama ndugai anaweza kutoa kauli hizo.km kutakuwa na vyama kwenye bunge hili je wale wajumbe 166 wasio na vyama watakwenda kambi gani?
Na mkulu wa kaya kawaabisha wote, vox populi vox dei