JS
JF-Expert Member
- Sep 29, 2009
- 2,064
- 506
Wadau, mie leo usiku niliota Barack Obama (eee huyuhuyu Rais wa Marekani) ananitongoza na akataka niende nae Hanoi Vietnam kwa weekend..........yani it looked so real lol!! Ingekuwa kweli mbona shida zangu za hapa mjini zingeniisha?? au ndo namtamani sana Obama mpaka nafikia kumuota??? Eti he was checking me out in his office akanipa kinote akiniambia niende naye huko Hanoi na kila kitu kimeshawekwa sawa.......................damn i wish it was true...halafu he looked so handsome in person
Wadau letteni ndotoni zenu hapa tufurahie ambazo unatamani zingekuwa kweli
JS
Wadau letteni ndotoni zenu hapa tufurahie ambazo unatamani zingekuwa kweli
JS