Ndoto za usaliti


Pia kumueleza ni muhimu sana tena unamueleza kila unapoota, na unamuuliza kwanini naota sana hizi ndoto, hizi ndoto zinaleta wasiwasi zikizidi
 
Pia kumueleza ni muhimu sana tena unamueleza kila unapoota, na unamuuliza kwanini naota sana hizi ndoto, hizi ndoto zinaleta wasiwasi zikizidi
Nakumbuka wifiyo alikuwa ananiuliza hivyo hivyo na kisha anamalizia kama kuna jambo baya unataka kuitendea ndoa yako mungu atakuumbua mchana kweupe... yaani faster nasitisha mashambulizi na ndoto zinakatika....
 
 
Ndoto inayojirudia rudia sio ya kuipuuzia,narudia tena sio ya kuipuuzia,hapo kuna jambo linaendelea,iko siku utaleta mrejesho...
 
Mkuu ndoto hutokea sehemu tatu,...kwa Mungu unayemuamini, kwa shetani na mwisho ni ubongo wako(mawazo yako).

Kwa shetani na Mungu wako tupaache maana hatujui ndoto yako imetokea wapi, ila angalia wewe binafsi hauko na negative thoughts juu ya mpnz wako???

Kama uko na mawazo hasi ya kukusaliti basi utaota tu anakusaliti maana ubongo hukuletea katika picha kabisa yale uliyoyaingiza kichwani wakat umelala, kwa ushahidi ni ukiangalia movies za kutisha unawezajikuta unaota tena ukiwa umelala.

Hivyo Ondoa negative thoughts juu ya mwenzio uone itakuaje!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…