Ndoto za mabinti wengi ni harusi

Ndoto za mabinti wengi ni harusi

KUNASABABU KADHAA WANAUME WANAOGOPA KUOA

HIII MOJA YAKUTOKUWA NA HAKIKA NA MBEGU ZAKE ZINATOA MTOTO AMA LAH IMEKUWA NW LUBWA ZAIDI


WATAALAM WANASEMA UKIWAKITOMBIISANAA BADAEE MBEGU ZINAKOSA NGUVU HAYAYANAWAPA MAUMIVUU SANAA MBAYA UKIOA NDUGUWOTEE WANASUBIRI MIEZISITAA TU WANAANZA KULETA MASHAIRI
 
kabisa ndo
Time is against us. Nyie ambao mnaogopa kuoa, mtashangaa mnafika 60 hamna partners, watoto wa kuwasaidia. Na vile vile kila mtu unayemjua mtasikia tu habari kafariki. Ushauri, oeni tu, yote hayo ni changamoto. Ukioa unapata rafiki wa maisha.

-callmeGhost
kabisa ndoa si vita na vilevile hakuna alie kamilika hivyo basi tuko kukamilishana .Hivyo nasi mshirikishe Mungu ktk maswala haya maana wanadamu hawawezi ona mioyo ya watu .Bandugu Mungu ni mwema ukimwomba mimi sijutii ndoa yangu hata iwe ina dhoruba gani nafurahia kupata life patner kwa kweli wakati wa raha kweli ni raha wa shida tunafarijiana na kumwomba Mungu .Jamani mtu mwenye hofu ya Mungu ni mzuri mno .
 
Hii imebase upande mmoja. Vijana was siku hizi na wenyewe wanapenda maisha ya mafanikio haraka. Mara chache ndoa za siku hizi utakuta kijana anaoa mwanamke asie na kazi.
Hawapendi kumuemdeleza mke wake na hata kama Ana ndoto za biashara au elimu ni wanaume 1 kati ya 10 atamsaidia kufika malengo.
Wanaume hawa hawa anapenda mke mrembo, wa kisasa lakini hawako tayari kumhudumia na kuhakikisha anapendeza!
Mume unakuta anataka kodi alipe nusu na mke nusu, likewise kwa matumizi mengine ya ndani!
Wengi wao huwa wanafikiria ndoa ni kufungua zipu tu. Likija swala la majukumu mnaanza ku dodge....
Wanaume wana expect mke a sacrifice her happiness ila wao wabaki kama walivyo!
Mke abaki home, afue, apike,afanye usafi na kulea watoto wakati yeye yuko bar na marafiki!The lady would as well have loved to hang out with her friends!Kwanini usibaki nyumbani talk her and give her company to make the chores seem lighter!
Ndo sio lele mama... mkitaka kufaidi stand by your partner ila sio kumfanya ajute
Kijana ni nani? Maana naona umechanganya kalimati, kababu, pizza, na mishikaki (mwanamke, kijana, mume, mke). Mleta mada kaongela kijana wa kike ambaye hajaolewa (kumbuka huyu huwezi kumuita mke kama ulivyo fanya wewe) , ila mwishoni pia kamsema na kijana wa kiume (kumbuka huyu nae huwezi kumuita mme) ambaye hajaoa jinsi wanavyotakiwa kulichukulia suala la ndoa na mazito yake.
Sasa kusema ameongelea au kupendelea upande moja no vipi, au ncha ya kisu imegota kwenye mfupa?
 
Huko ikikutana na anti-marriage, sampuli za kina [HASHTAG]#Lala[/HASHTAG] one sijui kama itahimili
[HASHTAG]#Lara1[/HASHTAG] hana shida na mambo ya ndoa, mkuu usifikiri mtu anachokiandikaga humu hufanya.
 
Mimi ndio Maana nawagonga nawabanjua then nawatema nasepa mbele...

Wazo la kuoa sina hata nukta....
GONGA BANJUA PIGA CHINI SEPA MBELE. OVER.

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
Chief acha kuwatenda watoto wa watu lazima huwa unakutana na wasiojielewa
 
NDOTO ZA MABINTI WENGI NI HARUSI.

Ukizungumza na wasichana au wanawake ambao hawajaolewa, unapozungumzia suala la Ndoa, kwa bahati mbaya sana wengi vichwani mwao inajengeka taswira ya harusi. Ukisema Ndoa yeye anawaza gauni jeupe (Shela) lenye mkia mrefu na maids wamelishika huku na huku. Anawaza suti ya mume wake, gari ya kifahari iliyopambwa, sijui wasindikizaji watoto pale mbele. Anawaza Ukumbini, baharini kupiga picha na mwisho usiku wa Honeymoon.

Ndio maana wengi wanakazana kuchangia harusi za wenzao na kushiriki hata kushona sare ili na yeye kwenye [HASHTAG]#HARUSI[/HASHTAG] yake wamchangie.
Inasikitisha sana kwamba wengi hawafikirii maisha ya Ndoa.

Hawajiulizi maswali ya msingi kama;

=> JE NIKO TAYARI KUWA MKE WA MTU?

=> NIKO TAYARI KUJIDHABIHU KWAAJILI YA FURAHA YA MTU MWINGINE?

=> JE' NIKO TAYARI KUSALIMISHA MATAKWA YANGU KUFANYA MATAKWA YA MTU MWINGINE? (Surrendering my will)

=> JE' NIKO TAYARI KUWA MAMA NA KULEA FAMILIA?

=> JE' NIKO TAYARI KUPIGANIA NDOTO ZA MTU MWINGINE?

=> JE' NIKO TAYARI KUAMBATA IKIBIDI KUHAMA MJI NINAOPENDA NA KWENDA KUISHI NISIKOPENDA ILI KUTIMIZA NDOTO YA MUME WANGU?

*Niko tayari kuingia ukoo mwingine na kuufanya kuwa ukoo wangu, watu wake wawe watu wangu na Mungu wao awe Mungu wangu?

*Ikitokea umeolewa na Mume wako akapata shida ghafla mfano Ugonjwa na akashindwa kutunza familia, una mbinu gani mbadala ya kuendesha maisha yenu mpaka atakapopona na kusimama tena?

*Una uwezo wa kubeba majukumu kama Mama maana kuzaa ni jukumu lingine kabisa?

*Tabia yako vipi? Inafaa kuwa mke wa mtu? Au unahitaji muda kwanza na uhuru ujirushe ukichoka ndio utulie uolewe?

*Kuna msemo "Nyuma ya kila mwanaume aliyefanikiwa kuna mwanamke" ukijiangalia wewe una uwezo wa kumshauri mtu akafanikiwa? Na hilo tunalipima kwa kuangalia ni nini ambacho binafsi umefanikisha katika maisha yako.

*Moja jumlisha moja huzaa mbili, wewe una moja gani ya kuchanganya na moja aliyonayo mume wako mkazalisha mafanukio? Au unaenda kuwa Mama wa Nyumbani na mzigo. Ulishwe, uvishwe, upewe kila kitu wakati hakuna unachozalisha?

Nadhani kuna mambo ya maana ya kufanya, kupanga na kujiandaa kabla hujawaza rangi ya harusi (Wedding colour), keki ya ngazi saba na hotel ya kwenda Honeymoon. Me nimemaliza.
Kwa usawa huu hakuna mwanaume anataka kuoa mzigo. Usije ukaishia kufurahia harusi na baada ya mwaka ukaanza kutafuta Washauri wa Ndoa.

[HASHTAG]#JIONGEZE[/HASHTAG]

NAWATAKIA SIKU NJEMA.
 
Kabisa mkuu ile anameremeta, anawawaka ina raha yake, tena iwe na mtu unayempenda.
 
Umeongea vizuri na nachangia kama ifuatavyo.hao wanaume wamejipanga nao kujitoa dhabihu kua watakua waume,baba,vichwa vya nyumba?kutekeleza majukumu yao ya mume na baba na atamshawish mkewe VIP ili amsupport hyo ndoto?is it realistic ndoto italeta Tija au wastage of resources?ndugu wanaume muombe Mungu awape wake watakaotambua nafasi zao..akikaa home Huyo mkeo kma unajua majukumu yako mwanaume hawezi lia lia na kuona mkewe yaan mwil wake ubavu wake mzigo.
 
Back
Top Bottom