Afrika Furaha
JF-Expert Member
- Dec 16, 2010
- 329
- 9
Si nikaota bana usiku!? Eti niko miongoni mwa waalikwa katika birthday ya Mandela...wakati nawa-hug marais tofauti, ikafika zamu ya ''rais'' wenu , kudadadadek eti nikampa bonge la ngumi ya uso puani na nyingine ya chembe akazima palepale! ...hadi ndoto inaisha jamaa bado kazima!
Ndoto nyingine bana!?
Ndoto nyingine bana!?