Ndoto za kisiasa

Afrika Furaha

JF-Expert Member
Dec 16, 2010
329
9
Si nikaota bana usiku!? Eti niko miongoni mwa waalikwa katika birthday ya Mandela...wakati nawa-hug marais tofauti, ikafika zamu ya ''rais'' wenu , kudadadadek eti nikampa bonge la ngumi ya uso puani na nyingine ya chembe akazima palepale! ...hadi ndoto inaisha jamaa bado kazima!
Ndoto nyingine bana!?
 
Nenda kwa shehe Yahya akakutabirie........................huenda ikatokea kweli ukawa matatizoni!!!!
 
Back
Top Bottom