Peleka CV Hq pale postaMoyo utaridhika sababu bank is not exist any more...kinaniuma coz the bank i was dreaming is still there na kuna watu wanaishi ndoto yangu(employees and all staff)
Peleka CV Hq pale postaMoyo utaridhika sababu bank is not exist any more...kinaniuma coz the bank i was dreaming is still there na kuna watu wanaishi ndoto yangu(employees and all staff)
Umeona eeee flexibility muhimu sanaMm mwenyewe kuna kampuni nilikuwa nafanya nayo kazi nikaapa sito apply tRNA kazi mahala pengine bali nikitoka pale nitajiajiri mwenyewe......kweli sikuwahi kuapply kazi yeyote nikiwa nafanya nao kazi......weee!.... Dude LA magufuri likaikumba kampuni hatimaye kampuni inaenda kufa....watu tukapewa tubarua mdogo mdogo kwamba tuanze kuangalia shughuri zingine....na tupo huku tunaangalia ahughuri zingine...usijipe matumaini makubwa hivyo!!!!!!!!
wewe sio mchaga?Kwa sasa ukiji ajiri kuna uwezekano mkubwa sana wa kufanikiwa kwa mda mfupi.
LAZIMA NIJIAJIRI kwasababu na uchu wa mafanikio.....lakini kusoma kwangu mpaka chuoo nilikua na ndoto ya kufanya kazi katika bank ya CRDB...NDIO MAANA nikaenda IFM kusoma banking and finance baada ya kufauru vizur form six...nilibahatika kufanya field katika branch moja...
Kwa sasa ni muda tu tangu nipeleke aplication letter lakin hawajawahi niita...ROHO INANIUMA SANA sababu ndo ilkua ndoto yangu .
Naamini wapo wakurugenzi wa pale....naomba mnisaidie kukamilisha ndoto yangu(NITAFURAHI MAISHA YANGU YOTE)
Baada ya hapo naweza nikawa happy hata kujiajiri pia ntajiajiri
[HASHTAG]#SAIDIA[/HASHTAG] KUFANYA NIISHI KWENYE NDOTO ZANGU##
Ndio ukweli wenyeweDaah...nimetoka zangu iringa ndugu yangu
Kweli kabisa, utashangaa unaangukia pua endapo utaweka matumaini asilimia zoteUmeona eeee flexibility muhimu sana
Ume apply NMB imeshindikana ,Kazi huna, Umewapikia ndugu zako Nyumban wanaofanya kazi umechoka, Umezurula kila ofisi Posta Dar imeshindikana, Sasa umeapply CRDB unaogapa ushindani ubaki Peke yako interview utasubiri miaka 20Kweli maisha yanatofautiana sana,me binafsi sipendi kabisa kazi za bank.
Kweli aseee....nashukuru!!....kwanza nipeleke cv pale nikifanikiwa nilate ata experience!! Ila big up sana mnyaru...kama vipi anzia hata Access ujenge network mnyalu!
.simamia ndoto yako,itatimia inshaAllah!
Na benki ya maustadahti ni ipi hiyo?Crdb ni Benki ya WACHAGA na wakristo..kma una hvo vgezo viwili na sura yako inalipa jiongezeeeee...otherwise its a dream unlikely to be true!
Amana Bank...Na benki ya maustadahti ni ipi hiyo?
Nyiie ndo matapeli humu JF Kuna mmoja anaitwa Katerero kawalia mpunga watu wanataka kwenda kwa Mzee Trump hawanahamuuna GPA ya ngapi nikufanyie mpango hapo CRDB pia unapenda ufanyie kwenye region ipi kwa hapa Tanzania. Ukinijibu hayo maswali mawili nitakupa mengine mawili ili niweze kukusaidia