shalolizo
JF-Expert Member
- Aug 6, 2013
- 336
- 203
Habarini ndugu zangu,
Naomba kuuliza kuhusu ndoto nyevu za usiku,maana nimekuwa naota nafanya mapenzi mpaka nina chafua shuka,kuna mtu niliwahi kumuuliza akaniambia eti nina jini mahaba je ni kweli?
Tatizo langu la pili ni kuwahi kupiga bao pindi nifanyapo mapenzi yani ndani ya dakika 2 kitu hicho na mbaya zaidi jana ndo nimeshangaaa maana nimepiga bao hata bila ya kuingiza uume wangu ndani ya uke wa mwanamke,NAOMBA KUJUA HAYA NI MATATIZO AMBAYO YANAHITAJI DAWA AU NI KAWAIDA TU?
Naomba kuuliza kuhusu ndoto nyevu za usiku,maana nimekuwa naota nafanya mapenzi mpaka nina chafua shuka,kuna mtu niliwahi kumuuliza akaniambia eti nina jini mahaba je ni kweli?
Tatizo langu la pili ni kuwahi kupiga bao pindi nifanyapo mapenzi yani ndani ya dakika 2 kitu hicho na mbaya zaidi jana ndo nimeshangaaa maana nimepiga bao hata bila ya kuingiza uume wangu ndani ya uke wa mwanamke,NAOMBA KUJUA HAYA NI MATATIZO AMBAYO YANAHITAJI DAWA AU NI KAWAIDA TU?