Mopao 1850
Member
- Mar 11, 2020
- 42
- 21
Kuna siku nlikuwa nimelala, nikaota ndoto moja, yaan ilikuwa ni bonge moja la aidia ni kama MUNGU alinishushia, hii ilikuwa aidia MPYA kabisa kuwahi kutokea. cha kushangaza sasa nmeamka asubuhi nimesahau kabisa niliota nini, yani najua kuna kitu niliota lkn ndo hivyo tena nmesahau; back n time wakati na kuwa, nilikuwa mtundu wa mabo ya kielectronic so aidia nyingi nilikuwa napata wakat nimelala Mshana Jr najua unachakutufundisha hapa, dili nyingi muhimu kwa mwanadamu znakuja wakati amelala, sasa kipindi hiyo nilkuwa napata adia ya project flan kwa mfano kutengeneza boti, so nakitengeneza ktk ndoto nikiamka najua cha kufanya, ulishawahi kuwa ktk wakat kama huu?
ndoto ni maisha jamani.
ndoto ni maisha jamani.