Hizo zinaitwa manic hallusination, na zinatokana na maisha yako magumu na expectation ulizonazo, usisiamini hata siku moja kama una pikipiki ni sehemu nzr ya kuanzia wakati unazndelea kutafuta kazi..
Hizo zinaitwa manic hallusination, na zinatokana na maisha yako magumu na expectation ulizonazo, usisiamini hata siku moja kama una pikipiki ni sehemu nzr ya kuanzia wakati unazndelea kutafuta kazi..
Mimi si mtalaam wa kutafsiri ndoto,lakini Nina ushauri kwako,iko hivi,ukiota ndoto yoyote ile unapozinduka tu ongea na Mungu wako! Kama in ndoto mbaya ikemee isije ikatokea,kama in nzuri,omba Mungu akubariki itimie! Usiwe na hasira mkuu,omba tu Mungu kwa imani yatatimia!
Ndoto zinakuonesha waweza kufika wapi.Ila hazitoshi kama hauzifanyii kazi yaani huna mkakati wowote wa kuzifikia.Anza na hatua ndogo ndogo za kufika kule unakoota kwa kufanya kazi kwa bidii la sivyo unaweza kufa hujafikia hata ndoto moja maishani
hehe, we ndo poyoyo wa mwisho!! muvi imefikaje hapa?
anyways, back to topic...
nadhani mtoa mada unanyemelewa na kaugonjwa ka akili (kama hujawa mgonjwa mpaka sasa).. its as simple as that
Hizo Ndoto Zako Zote Zinaonyesha Kuwa Siku Zako Za Kufa Zinakaribia Na Kwamba Utakuwa Masikini Wa Kutupwa Hapa Tanzania.
Polesana kijana japo umenichekesha sanaaa lakini jambo kama hili kwamfano nikifahamu umri wako pia huwa ni rahisi kukushauri.
kuna vijarida vingi sana na watu wengi sana wamekuwa wakijiuliza mwaswali kama ya kwako watuwalio bobea katika psychology walitowa majibu yafyuatayo,Ndoto mara nyingi sana hutokana na Mawazo yako ya mchana,Pia usiku kama unaweza kukumbuka umeota saangapi pia kuna muda wa ndoto za matokeo na ndoto za mazingira tuu,na pia wakasema ndoto ni uchovu kwani kunawengine wanaweza kulala na kuanza kuzungumza mambo yamchana kama vili ni mchana.
Sasa basi sio kila ndoto ni ya kupuuzia,mfano unaota wewe umekuwa raisi wa nchifulani wakati unajielewa kabisaa hata darasa lasaba hujamaliza ndio zinakuwa ndoto za abunuasi!!!!!!!!!!
mkuu hizo ni fikra zako tu,expectations zangu nyingi wewe huzijui na wala haziwiani na hizi ndoto,halafu mbona unaegemea upande mmoja tu? mbona hutaki kuhoji kwa nini niliota kuhusu pikipiki na ikatokea? na je niliwahi kufikiri kuwa pikipiki yangu ingeshika moto? mbona sikuwa na mawazo hayo na ikatokea? siungi mkono hoja yako mkuu maana haiendani na mazingira yangu na mawazo yangu.
ahsante kwa kuchangia mkuu,ila mimi naamini sitakuwa maskini na roho ya mauti naikataa kwa jina la yesu wa nazareth.
Kuna watu wao ni kuvunja mioyo wenzao.Acha kudharau wenzako. Final destination means something about what other ppos think in a normal life. Labda sema hujaiona tyuuu