Evelyn Salt
Platinum Member
- Jan 5, 2012
- 77,672
- 167,738
Kwema bro, karai umeogea?Bro kwema
Kwema bro, karai umeogea?Bro kwema
Vizuri sana kama ni kwema BroKwema bro, karai umeogea?
Unaonekana usoni😂😂😂😂🏃🏽♂️Hamna asee
Wewe unalamba mchanga😂😂😂Na ilitakiwa kuwa makini ukioga na karai, likiyumba kidogo tuu maji chini povu usoni 🤣🤣🤣🤣
Amina kubwa🙏🏽Mtoa uzi ashukuriwe amenifanya nisahau uzito wa siku ya leo...barikiwa mtoa uzi
Hivi kwann Wali wa siku hizi haunukiiWanakula wali maharage hapo unanukiaaaa hadi mtaa wa saba...
Unarudi bafuni na machozi, chozi linakua ni kulilia wali huo
Acha tu, yani hapo hapo mpishi haupati harufu kabisa....wakati enzi hizo mtaa wa saba wanajuaHivi kwann Wali wa siku hizi haunukii
Sahivi mchele unanuka gunia...hauna ladha hadi utie naziAcha tu, yani hapo hapo mpishi haupati harufu kabisa....wakati enzi hizo mtaa wa saba wanajua
Water bending machine.Nn iyo?
Mbolea nying kuliko maelezoHivi kwann Wali wa siku hizi haunukii