Nitaomba na mimi nipate copyMe nazijua, ni pm, Nina kitabu flani kinaitwa Myths and Legends of the Bantu, ni cha urithi toka kwa padre wa kwanza wa kiafrika jimbo la Mtwara, ila kiliandikwa na wamisionari wa kizungu kwa tafiti zao. Kipo wazi kwa mambo mengi hasa hili la ndondocha. Huwezi kupata kokote kitabu hicho kwani hata teknolojia yao ya maandishi yanaonesha hawakuwa na soft copy.
OK, ila volume yake ni kubwa pia. Maana ime cover tamaduni za wabantu wa kusini mwa jangwa la sahara, ila suala la ndondocha walilifanyia tafiti haswa kutoka kwa wayao.Nitaomba na mimi nipate copy
Hili ni jipya kwangu na laweza kuwa hybrid kwenye myth nzima ya undondocha...nijuavyo mimi ndondocha lazima awe ndugu kinyume cha hapo huyo ni msukule na kwa taarifa yako ukishakuwa ndondocha huwezi kuwa na nguvu ya kufanya mapenzi hivyo hapo kuna walakini. .. la sivyo kungekuwa na kizazi cha ndondocha tupu na watu wangezidi kupeta na utajirimashan Jr kuna taarifa kuwa baadhi ya watu wanauza ndondocha na wengine wananunua kuna ukweli hapa, kuna hatari ipi endapo ndondocha hatatoka katika kifungo chake kwa yule mmiliki , ni kweli kuwa ndondocha anahitaji kuwa na mwenza wa kufunya naye mpenzi kuna hatari yeyote ile kwa family kuingilia kimwili na ndondocha endapo hakikosa mwenza wake.
Nasikia lazima awe ndugu yako wa karibu tena unayempenda kama vile mzazi au mtoto wako.hivi unaweza kumtoa mtu mwingine ukiacha nduguzo?
Ama kweli kitalaamu mtu huyu akishakuwa ndondocha anakuwa idiotic hajitambui hajui baya na zuri yaan anakuwa kwenye mental retardation.....so hawezi kukumbuka mapenzi.Hili ni jipya kwangu na laweza kuwa hybrid kwenye myth nzima ya undondocha...nijuavyo mimi ndondocha lazima awe ndugu kinyume cha hapo huyo ni msukule na kwa taarifa yako ukishakuwa ndondocha huwezi kuwa na nguvu ya kufanya mapenzi hivyo hapo kuna walakini. .. la sivyo kungekuwa na kizazi cha ndondocha tupu na watu wangezidi kupeta na utajiri
inaitwa 'kamata fursa'Kuna harufu ya mtu kutaka kufanya kitu hapa
Me nazijua, ni pm, Nina kitabu flani kinaitwa Myths and Legends of the Bantu, ni cha urithi toka kwa padre wa kwanza wa kiafrika jimbo la Mtwara, ila kiliandikwa na wamisionari wa kizungu kwa tafiti zao. Kipo wazi kwa mambo mengi hasa hili la ndondocha. Huwezi kupata kokote kitabu hicho kwani hata teknolojia yao ya maandishi yanaonesha hawakuwa na soft copy.
Kwanza niseme wazi kabisa kwamba hili nimeshindwa kulipatia majibu ya kutosha hata baada ya kujipa muda wa kutosha kulitafit.
Binafsi nilishawahi kumuona walau ndondocha mmoja mwenye asili ya kiasia pale buguruni kwa tajiri mmoja wa magari ya kusafirisha mizigo..huyo ndondocha alikuwa mama mzazi wa huyo tajiri na alikuwa kawekewa wafanyakazi wawili wa kumwangalia kwa kila kitu...alikuwa anafungiwa chumbani muda wote na alikuja kufariki mwaka 2004 na jamaa kufilisika kabisa mwaka 2005.
Hizi habari za ndondocha zinahusishwa pia na wakinga na watani zangu wachaga japo kwa kiasi kidogo na wabondei na makabila mengine kwa uchache.
Nimeshindwa kupata jibu la hakika inakuwaje kumfanya mtu ndondocha kisha wewe upate utajiri...!!!yani mwingine ateseke aishi kifungoni huku wewe kupitia yeye uishi maisha ya ufahari sifa mafanikio heshima na umaarufu???
Utajiri wa ndondocha hauna tofauti na utajiri wa kuua lazima uishi kwenye maagano na viapo na masharti mengi..! Unapenda utajiri sawa unapenda mafanikio sahihi kabisa..! Lakini angalia unapata utajiri wa aina gani ili mwisho wa siku tusikuone unafilisika ghafla na kuwa na mikosi kibao.
Utajiri wa ndondocha unatesa wengi sana kwakuwa huyu akifa inabidi fasta uandae mwingine wa ku take cover na kumbuka wote lazima wawe ndugu wa karibu
Na ukitaka kujua wamemtengeneza kamwe hawampekeki hospitalHii dunia kuna watu shwain kweli,kuna jamaa alitoka kwao njombe MAKETE huko akaja pale Ilala mtaa wa lindi na shaulimoyo kwa nduguze akiwa safi kabisa,ndugu yake alikua anamiliki baa,miezi kazaa nikawa namuona anabadilika taratibu kuwa wa ovyo mpaka akawa chizi,kwa kua ile ndo ilikua njia yangu ya kwenda shule kwa hyo mamjua tangu anakuja,tangu yule bwana awe chizi baa ya nduguye ikashamiri ikakua,nikaja kuskia nduguze ndo wamemtenda ili wafanikiwe,tukawa tunamuita tu chizi MAKETE,Mi ndugu siwaamini kabisa.
Huyo ni msukule sio ndondocha, kwakuwa ndondocha hahitajiki kufa na hufanywa ndondocha na ndugu yake wakati msukule ni mambo ya wachawi wanaweza kumchukua yeyotemashana Jr nimerudi tena kuna swali nimekumbuka ili MTU hawe ndondocha lazima afariki wakati wamemzika uku kwetu maeneo ya pwana kuna Siku arubain au kuna arubain endapo wafiwa wakiwa na Wasiwasi na kifo ukutaa kufunya arubain inasemekana kuwa watu walio muua watashindwa kukamilisha lengo la kuwa ndondocha kuna ukweli wowote