Hiyo timu iliyoshinda ni ya UVCCM mzee acha kuwachulia
Shafii ni nani hapa nchini?Shafii yupo kwenye hafla hiyo
Sasa kama humpendi kwanini unamfuatilia na ndondo cup yake.The brain behind Ndondo Cup.
Umpende au umchukie, hakuna Ndondo Cup bila yeye. Tuwe realistic. Binafsi simpendi lakini huo ndiyo ukweli.
Wewe unaichukia CCM pia unamchukia Shafii ambaye ni mwanzilishi wa Ndondo Cup. Sasa hivi vitu viwili ambavyo hupendi vimekutana lazima upate kigugumizi.Difficult question to answer. Kwanza wewe umeleta kujadili mtu badala ya issue.
Naipenda sana dhana ya Ndondo. Sipendi unafiki na udumila kutafuta wa Shafii.Wewe unaichukia CCM pia unamchukia Shafii ambaye ni mwanzilishi wa Ndondo Cup. Sasa hivi vitu viwili ambavyo hupendi vimekutana lazima upate kigugumizi.
Katibu wa wauza maandaziShafii ni nani hapa nchini?
Kumbe anatembea na maandazi.Katibu wa wauza maandazi
Basi sifa na ziende kwa Awamu ya Tano chini ya uongozi wa Mwenyekiti wa CCM Kwa kuiwezesha UVCCM kuchukua Ndondo Cup kwa mara ya kwanza tangu CCM iumbwe.Hiyo timu iliyoshinda ni ya UVCCM mzee acha kuwachulia
Mashindano yanaitwa Sports extra ndondo cup..sports extra ni kipindi cha michezo Cloud's Fm,unasemaje Shaffih sio mwanzilishi??kwanza Shaffi sio mwanzilishi wa ndondo alichofanya yeye ni kufanya promotion tu ndondo cup ilikuwepo kipindi kirefu, timu iliyoshinda ni ya uvccm kwa mazingira yetu ya siasa yalivyo ni lazima wangefanya hivyo kwani hata taifa stars ilipofanya vizuri tulielezwa ni utekelezaji mzuri wa sera za chama ili kuwaziba kelele ningeshauri bavicha nao waanzishe timu yao
ndio maana nakwambia wao wamefanya promotion walioanza kufatilia mpira muda mrefu wanajua ndondo zilianza lini kwa kifupi ndondo ni mashindano ya mpira ya mtaani ambayo timu huwa zinakodisha hadi wachezaji wanaocheza ligi daraja la juu toka enzi za kina Kipese, Ramadhani Lenny ambao timu ya marehemu lenny ilikuwa temeke rangers sasa sijui kipindi hicho kama kipindi cha sport extra kilikuwa kimeanzishwaMashindano yanaitwa Sports extra ndondo cup..sports extra ni kipindi cha michezo Cloud's Fm,unasemaje Shaffih sio mwanzilishi??
Hayo mashindano na mitaani yapo mengi..ishu ni kuwa Clouds wamekuja na kuanzisha ya kwao na kuyasimamia..ukisema wanayapromote unakua unasema uongo au unakuwa hujui unachokizungumza..Hao kina Shaffih ndo wasimamizi wakuu kuanzia kutafuta sponsors,kusimamia taratibu za mashindano,taratibu ambazo wameziweka wao,,kutoa zawadi,,..kimsingi wanasimamia kila kitu maana ni mashindano yao..unasemaje wanafanya tu promotion??..unajua maana ya kufanya tu promotion??ndio maana nakwambia wao wamefanya promotion walioanza kufatilia mpira muda mrefu wanajua ndondo zilianza lini kwa kifupi ndondo ni mashindano ya mpira ya mtaani ambayo timu huwa zinakodisha hadi wachezaji wanaocheza ligi daraja la juu toka enzi za kina Kipese, Ramadhani Lenny ambao timu ya marehemu lenny ilikuwa temeke rangers sasa sijui kipindi hicho kama kipindi cha sport extra kilikuwa kimeanzishwa