NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,206
- 12,735
NALIA NGWENA nilikua ni mmoja Kati ya watu tuliokuwa tunashuhudia diamond platnaumz akisheheresha kufunguliwa kwa uwanja mpya baada ya kufanyiwa marekebisho uwanja wa Abeid Amani karume.
Kwa Hilo Raisi Dr Mwinyi anastahili pongezi kwa juhudi zake za kupigania ukuaji wa mpira hapa Nampa hecko (Big Yes).
Sasa Kilichobaki ni kulipa thamani kombe la Mapinduzi Cup japokuwa kwa Sasa inasemekana limefika thamani ya mil 100 kwa mshindi wa kwanza na mshindi wa wapili atalamba mil 80.
Kwa akili ya kawaida tu hizo mil 100 ni mishahara mitatu au minne ya Wachezaji wa Yanga Sc, Simba sc na Azam Fc, na ndiyo maana kombe la Mapinduzi linadharaulika sana kutokana na thamani yake.
Kama tumeboresha uwanja kwa nini tushindwe kuboresha thamani ya kombe!? hakuna wadhamini?!
Hii imenikumbusha watani zangu wazaramo na walugulu wapo Radhi kwenye sherehe akodi mziki mkubwa, mavazi ya gharama kwenye sherehe ili mradi tu na yeye aonekane Bora lakini nyuma ya Pazia watoto wanalala NJAA na ukitazama Nyumba anayoishi unasema si Bora ngewalisha watoto au angerekebisha nyumba??
Huu ni Muda Sasa Mapinduzi Cup ipande thamani ili tushuhudie mpira mzuri na wenye kuvutia siyo hiki tunachokiona Sasa timu nyingi zinapuuza haziweki wachezaji wake muhimu kwa kuogopa majeraha/thamani ya kombe lenyewe ni ndogo.
Kama tunaweza kumuweka diamond akatumbuiza basi tunaweza kuongeza thamani ya kombe la Mapinduzi.
Hatuwezi kuwa na nyumba (uwanja) wakati watoto wanalia NJAA.
Kwa Hilo Raisi Dr Mwinyi anastahili pongezi kwa juhudi zake za kupigania ukuaji wa mpira hapa Nampa hecko (Big Yes).
Sasa Kilichobaki ni kulipa thamani kombe la Mapinduzi Cup japokuwa kwa Sasa inasemekana limefika thamani ya mil 100 kwa mshindi wa kwanza na mshindi wa wapili atalamba mil 80.
Kwa akili ya kawaida tu hizo mil 100 ni mishahara mitatu au minne ya Wachezaji wa Yanga Sc, Simba sc na Azam Fc, na ndiyo maana kombe la Mapinduzi linadharaulika sana kutokana na thamani yake.
Kama tumeboresha uwanja kwa nini tushindwe kuboresha thamani ya kombe!? hakuna wadhamini?!
Hii imenikumbusha watani zangu wazaramo na walugulu wapo Radhi kwenye sherehe akodi mziki mkubwa, mavazi ya gharama kwenye sherehe ili mradi tu na yeye aonekane Bora lakini nyuma ya Pazia watoto wanalala NJAA na ukitazama Nyumba anayoishi unasema si Bora ngewalisha watoto au angerekebisha nyumba??
Huu ni Muda Sasa Mapinduzi Cup ipande thamani ili tushuhudie mpira mzuri na wenye kuvutia siyo hiki tunachokiona Sasa timu nyingi zinapuuza haziweki wachezaji wake muhimu kwa kuogopa majeraha/thamani ya kombe lenyewe ni ndogo.
Kama tunaweza kumuweka diamond akatumbuiza basi tunaweza kuongeza thamani ya kombe la Mapinduzi.
Hatuwezi kuwa na nyumba (uwanja) wakati watoto wanalia NJAA.