Ashangedere
Senior Member
- Aug 9, 2010
- 119
- 31
:nono:hehehehehe kweli ndoa zina mambo hapoa naona dalili za infidelity zinaanza ..Bi dada ukishaanza mawasiliano na huyo mwanaume atakupa lugha ya mahaba na kwa vilea najua una matatizo na mmeo ..mama utajikuta unamuomba mje mle tundi ..thatha basi vunja ukimya na mmeo muondoe tofauti..:nono:
:nono:hehehehehe kweli ndoa zina mambo hapoa naona dalili za infidelity zinaanza ..Bi dada ukishaanza mawasiliano na huyo mwanaume atakupa lugha ya mahaba na kwa vilea najua una matatizo na mmeo ..mama utajikuta unamuomba mje mle tundi ..thatha basi vunja ukimya na mmeo muondoe tofauti..:nono:
Mkuu, umenichekesha ajabu!FL1 hebu kaa pembeni kidogo....naona unaniharibia taimingi..
FL1 hebu kaa pembeni kidogo....naona unaniharibia taimingi..
heheheeeeeee first lady kama ulikuwepo na mimi nimemwambia exactly the same thing kaja kuniomba afanyaje ampate huyo wa kuwasiliana naye nikamwambia dont do it akaanza ooooohh unajuaaa nikamwambia OOOkkkkkkeeeeeyyyy ngoja niweke JF sasa nadhani zangu za JF akichanganya na za kwake atapata jibu sahihi then akiamua kuchakachua atajipanga. thanks
Na kwa kumpa maneno ya mahaba atakompaset nafasi ya mumewe tayari infidelity,maskini anasahau kuwa no miss/mr perfect.Muhimu tu aongee na mwenzie waelezane tofauti zao.
roy unataka kufanyaje?????
ole wako nakwambia
jaribu uone km sjaku.k.e.k.e.t.............mayra ya pili!
tatizo la uku aujalimaliza unataka kwenda wap tena????ebu rud uko haraka saaaaaana kaz iyo mwachie FINEST AU GENERATION Y!!!!
Na kwa kumpa maneno ya mahaba atakompaset nafasi ya mumewe tayari infidelity,maskini anasahau kuwa no miss/mr perfect.Muhimu tu aongee na mwenzie waelezane tofauti zao.
:nono:hehehehehe kweli ndoa zina mambo hapoa naona dalili za infidelity zinaanza ..Bi dada ukishaanza mawasiliano na huyo mwanaume atakupa lugha ya mahaba na kwa vilea najua una matatizo na mmeo ..mama utajikuta unamuomba mje mle tundi ..thatha basi vunja ukimya na mmeo muondoe tofauti..:nono:
Mnhh..mbona mail delivery failed...hebu check vizuri hiyo mail address ulotuwekea maana mail haziendi.....